Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Rais wa Zambia mheshimiwa Sata amesitisha shughuli zote za kusafirisha Shaba kutoka Nchini mwake, amesema mpaka hapo kanuni na utaratibu zilizowekwa kuangalia upya na Serikali yake.
Vipi hii stop kama JK angepiga maarufuku kusafirisha madini ya Tanzania, halafu akaagiza mikataba yote ichunguzwe upya haiwezekani??????????????
Nawasilisha.
Vipi hii stop kama JK angepiga maarufuku kusafirisha madini ya Tanzania, halafu akaagiza mikataba yote ichunguzwe upya haiwezekani??????????????
Nawasilisha.