Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Nyaru-sare kasema kweli? hakuna binadamu anaweza kulala na wanawake 500 au 700 (Mfalme Daud)Hawajui vizuri Waarabu wewe, hawanywi pombe starehe yao kubwa ni kujenga nyumba nzuri, kuoa mke mzuri, kula vizuri na kujamiiana.
kinachofanyika Mfalme au huyoo mwanamume anayejiita rijali, anapenda kuonjaonja kila kipya na akishampitia ina maana mzunguko wake hata alale na wanawake wa2 kila siku atajamrudia baada ya mwaka mmoja, hao wanawake wanatembea na watoto wakubwa wa Mfalme na walinzi wao, mtoto akizaliwa ndani ya boma ni wa Mfalme na ukimuangalia mtoto hata DNA hahitajiki ni hawafanani kabisa.
Huku kwetu Bara kabila la wanyambwa tajiri ng'ombe huwa na wanawake zaidi ya 30, Baba hao wake zake anasaidiwa na watoto waliobalehe, wakati yeye akiwa kwenye mizunguko ya mama wengine
Nina ushahidi wa Majina ya matajiri hao na watoto wao