Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Tanzania, Hivi unaujua Kenya vizuri? Hapo kwa Nigeria nakubali.Slay q ni wanawake wanaoishi kwenye majiji makubwa bila kuwa na kazi rasmi mjini wakitegemea kuhongwa au kujiuza kwa barabarani au mitandaoni
Kiufupi ni wanawake wanaopenda maisha mazuri kwa namna yeyote ile hii ipo dunia nzima
Ila kwa Africa nigeria na tanzania zinaongoza
Sent using Jamii Forums mobile app
Slay q ni wanawake wanaoishi kwenye majiji makubwa bila kuwa na kazi rasmi mjini wakitegemea kuhongwa au kujiuza kwa barabarani au mitandaoni
Kiufupi ni wanawake wanaopenda maisha mazuri kwa namna yeyote ile hii ipo dunia nzima
Ila kwa Africa nigeria na tanzania zinaongoza
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf wapo wengi sana,utaona watu wanachat hapa kama utani vile mara utasikia afu mpwa wangu kale ka mzigo vipi tena,unaona kidume anavimba oooh ulisema ni kwny no. Ya Voda eeeh hahah.
Sent from my iPhone using JamiiForums

hawaombi pesa.....???
JF unajikuta unacheka tuwangekuwa washakufa

na maisha yanaendelea...JF unajikuta unacheka tu![]()