Mfahamu Salma Kikwete

Nilidhani katika mahojiano hayo aliuzwa kuhusu kina Nguza na wimbo wa "mama salma"

Kwasababu mengi huzungumzwa mtaani...nisaidieni kama huyu mama alishawahi kifunguka wakati wowote au popote.
 

Mkuu Miraji mama ake yupo hai..anaishi Dodoma..ni mjasiriamali..
 
Kwamba Mama Salma ni Mama bora.au una lako jengine.
Duh! Jamiiforums imepoteza mwelekeo! hata mambo ya nani alimtongoza nani na lini yamekuwa mada ya kujadiliwa hapa! Mods kazi imewashinda kabisa!
 
Kama Mwanaasha ndio huyo mtoto ambae anasema anasoma kidato cha sita basi hakupelekwa A-Level, kama ndie mwenyewe basi atakuwa ali-reseat kwa sababu aliomaliza nao kwa sasa tayari wapo chuo.

Kwa hiki kilichoandikwa nashindwa kuelewa MWANAASHA yupo eneo gani kati ya hawa wote waliotajwa kwani inaonyesha watoto wote wa Salma hakuna ambaye yupo chuo.

''Wamejaaliwa watoto watano kati yao wanne ni wa kiume na mmoja wa kike. Wote wanasoma, wa kwanza yuko kidato cha sita, wa pili cha nne, wa tatu cha pili, wa nne yuko darasa la tano na wa mwisho yuko darasa la tatu''.
 
Duh! Jamiiforums imepoteza mwelekeo! hata mambo ya nani alimtongoza nani na lini yamekuwa mada ya kujadiliwa hapa! Mods kazi imewashinda kabisa!

Kwa mtazamo wangu hautakiwi kuilaumu JF laumu kwanza huyo aliyekubali kuulizwa maswali kama hayo na kutoa majibu kwenye media halafu utafakari haina ya watu tunaoishi ndani ya nchi hii ukiwemo na wewe.
 
Unachosema ni kweli, family issues must stay with family members, sasa ukianza kutangaza mambo ya familia yako lazima watu wahoji na kukupa zile points ambazo pengine huzijui au umepitiwa kuzitaja. Kaweka mwenyewe kwa public consumption, and the public is consuming it, haya ni madhara ya kuanika mambo ya mapenzi na familiy issues.
 
naipenda nchi yangu! thats all i can say!
 
Je hii ni habari ya kisiasa? Acha umbumbumbu wewe!
 
nasikia na mama naye alikuwa na tunguri ila mzee akaita wataalam wa kumtolea manake ursino ilikuwa haikaliki
 
sina data hadi sasa,inawezekana ni uvumi tu ili wampake matope Mheshimiwa Raisi.

Wewe huna data hata kidogo kuhusu hiyo familia make imeshadhihirika umecopy na kupeste post ya zamani, kama hujacopy tuambia mwanaasha ni yupi kati ya wale watano?
 
Hii habari imekamilika kweli?
Mbona hatujatajiwa wake wenza alioolewa nao pamoja? Kama binti Zakia na binti Asas!
 
....kuna mambo meeengi umeyaacha...
 

Vipi habari za yule mtoto ambaye inasemekana anaitwa Too late kutokana na kuzaliwa mwaka huu nchini uingereza au ni imbeya wa watu?
 
Anaejua deni la kila mtanzania baada ya kugawanya deni la taifa kwa watz wote, nataka nikalipe deni langu ikulu
 


Wewe naona unaleta upuuzi. Utaandikaje historia ya mtu aliye hai utadhani ni marehemu: Marehemu tunaandika yaliyo mema tu lakini aliye hai tunaandika hata upuuzi wake. Huyu amekutuma?

Eleza vizuri bila kupotosha. Huyu alikutana na Prof J.K akiwa mwanafunzi wa sekondari. Mapenzi ya mapeeeema! Kwa ujumla hakuwa siriasi na masomo na matokeo yake yalikuwa hooooovyo!

Mara kadhaa amejaribu kujiendeleza na kushindwa (msingi mbovu). Uliza pale Kigurunyembe, Morogoro.

Ukitaka mengine sema tuseme zaidi ya hapa. Endelea zaidi hata kazi yake ya sasa na tutakueleza na jinsi anavyojilipa mshahara mkubwa kuliko wa mumewe kwa pesa za wizi. Eti first Lady!!!!!!!!!!!!!
 

Ni tatizo lililoanzia mbali. Kama ukisimamiwa kwa fimbo kusoma Mkwawa Shujaa ikashindikana, kweli utaweza sema historia nyingine kwa hiari na raha?

Lakini pia idadi inapokuwa kubwa kiasi hiki ni tatizo. Hata majina utayachanganya tuuu! Utaita shabani kumbe ni Hamis, mara Miraji..... Ni tatizo ambalo lilitosha kutueleza nani awe rais na nani asiwe! Kumbuka hata mume hataji wengine anaishia kusema Riz1 mwanangu mpendwa, wengine Je? wakivuta bangi ndo wasitajwe? Ndo wasipendwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…