Mfahamu ‘plover bird’, mswaki wa mamba

Duuuh umekuja bongo kimya[emoji848][emoji848][emoji15][emoji15]

Hatutafutani? Haya buana

Mbona nasikia babu kavuuta asee, sema protocol zinazingatiwa ( mgawanyo mali[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Hahaha
Usijali ipo siku
Kuhusu mzee inawezekana ila habari zingekuwa nje maana kwa wanoko huku hatujambo [emoji23][emoji23]
 
Topic ilikuwa ni ya mamba (Nile Crocodile )
Africa hatuna Alligator, kubali haujui alafu fanya utafiti kuliko kubaki na ujinga milele. Kutokujua sio kosa ila kubaki hujui ndio shida.
Utumbo tu.
 
Kwa hiyo unajiona wewe ndio mwenye ufahamu kuliko wote sio
Halafu uwe na heshima kuita watu usiowajua waongo ok
Yaani Google crocs atokee alligator
Inaonekana unapenda ligi sana au una tatizo la akili
Let me ignore you
Kijana ni mjuaji balaa huyo, naona uliamua kusurrender yaishe. Amenifanya mpaka nimeingia google kumthibitishia.
 
Nonsense.
 
Mbung'o maumivu yake siyo Sana, ila kuna mkubwa wake anaitwa Ndorobo, huyu Mkuu ni hatari akiuma, fraction of second damu inayotoka utadhani umekatwa na kisu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…