Mfahamu mtunzi mahiri was nyimbo za kikatoliki marehemu John Stephano Mgandu

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,121
27,128
John Mgandu alikuwa mtunzi hodari wa nyimbo za kikatoliki. Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo zilizotungwa na John Mgandu. Ifuatayo ni orodha ya midi za nyimbo zilizo tungwa na John Mgandu.

Songs by John Mgandu

----
SALUTE COMRADE
kwa wale wapenzi/walimu au wanafunzi wa Muziki wa kikatiliki baasi jina la JOHN MGANDU sio geni, kwa ufupi..
Alikua Mmoja kati ya watunzi ambao walijitahidi kutumia karama zao katika kuwasaidia waamini kusali vizuri kwa njia ya uimbaji ni Mwalimu John Stephano Mgandu.Yeye alizaliwa Oktoba 8, 1940 kijijini Busondo, katika Parokia ya Ndala-Nzega, mkoani Tabora.

Alipata elimu katika Shule ya Msingi Puge (1951-1953), kisha Seminari ya Lububu (1954 – 1955), baadaye Seminari ya Itaga (1956 – 1959) na Seminari ya Kipalapala 1964. Mwaka 1960 hadi 1970 alikuwa katika Chuo cha Ualimu cha Chang’ombe.
Elimu ya muziki aliipata katika Chuo Kikuu cha Toronto nchini Canada ambako alisomea Shahada ya Muziki (Bsc – Music) 1972 – 1976, na baadaye Chuo Kikuu cha Dar es salaam akisomea Shahada ya Uzamili (MA – Music) 1987.

Amewahi kufanya kazi katika maeneo mbalimbali pamoja na Benki ya NBC tawi la Masdo (1968), Shule ya Sekondari ya Kibasila (1970), Shule ya Sekondari ya Mirambo (1971), Shule ya Sekondari ya wavulana Tabora (1976 – 1978), Taasisi ya Elimu (1978 – 1980) na kisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam katika Idara ya Sanaa na maonyesho (Julai 1980 – Julai 2008)
Alifunga ndoa na Elizabeth Kulwa Binti Constatino Ngelegi, na kupata watoto wawili, wa kiume na wa kike. Licha ya kuwa mtunzi, Mwalimu Mgandu alikuwa mpiga kinanda, filimbi na ala nyingine nyingi. Pia alikuwa mwalimu na muongozaji wa muziki na kwaya mbalimbali.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2002 Mwalimu Mgandu alishinda tuzo ya kuwa Mpiga Kinanda Bora Tanzania (Tanzania Kilimanjaro Music Awards). Alifariki Julai 10 mwaka 2008.

Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa nguli huyu wa muziki mtakatifu, moja kati ya mengi ni taaluma ya muziki mtakatifu.

Mwalimu Mgandu alikuwa mwanamuziki aliye na taaluma hata kuwa na Shahada ya uzamili (Masters) ya muziki. Cha ajabu watunzi wengi siku hizi huridhika kujifunza muziki mtakatifu kwa kuunga unga. Hii hupelekea kuzorota kwa taaluma hii, kwani kilichobaki kwa sasa ni watu kurithishana na kufundishana kienyeji tu.

Hii itukumbushe pia umuhimu wa kufufua madarasa ya muziki Mtakatifu katika Seminari, nyumba za malezi, vyuo vikuu vya kanisa ili tupate wataalamu wa kutosha.

Lakini kubwa zaidi, pamoja na kuwa na elimu kubwa mwalimu Mgandu daima tungo zake zilizingatia liturujia na alitumia maandiko matakatifu kama rejea ya nyimbo zake. Sasa watunzi wa leo wanaotunga nyimbo kama ‘chenga ya mwili’, ‘gari la shetani’ nk, wamejifunza wapi mambo hayo.
mgandu-copy-jpg.950212



Kwa upande wangu!
Nimeanza kujifunza Elimu ya muziki yaani upangiliaji wa nota, sauti, funguo za muziki miaka mitano iliyopita japo sikuendelea sana kusoma kutokana na ubize wa shule ndipo nilipoanza kumwelewa huyu mtuu uwezo wake aliokua nao wa kutunga nyimbo,kupangilia nota vizuri (Actually am a former Catholic sgospel singer at BMM choir kigoma). kiukweli sijaona mwingine tena katika orodha ya watunzi/walimu bora wa nyimbo za kikatoliki hapa Tanzania akifuatiwa na Mwarabu

waliobaki ambao naona wanajitahidi sana kwa upande wangu ni..
Frolian E Nyanza- Mwanza
mwarabu
Makoye
B. Mukasa
Creddo Mbogoye Bmm kigma
Stephen mnyonge gungu kigoma
Pius Paul- kigoma
nk. nk

dscf3064-jpg.950241


The Catholic Diocese of Kigoma
https://www.google.com/url?sa=t&rct...hn-mgandu/94&usg=AOvVaw3hLAbt6F-U1qOuz9CUMYnd
credit: TEC
 
Mkuu ile midi ya utuhurumie ee bwana mbona siioni! kuna mwenye uwezo wa kuiweka asaidie!

binafsi nilikuwa namkubali sana john mgandu ! alale pema. Nikiwakumbuka wanamziki wengine kama Malema lui mwanampepo, amedeus kauki, FAN, Fidel Nyundo , mutajwaha, mujwahuki, Guido matui na kuwalinganisha na tulionao , naona utofauti mkubwa
 
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
 
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
 
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
John Mgandu alinifundisha Muziki nikiwa sekondari. Mara tu baada ya kutoka Kanada alikopatia Masters ya Muziki alipangiwa kufundisha shule yetu. Ni kwa bahati mbaya sikuendelea na mambo ya Muziki lakini hadi leo bado ninajua sana kutunga na kupanga muziki. Ingawa siyo fundi sana wa mashairi bado ninajua sana kupanga mdundo, mkong'osio na mwafaka katika kutoa Muzuki.

Ni kweli Mgandu alikuwa mtaalamu sana wa kutunga na kufundisha muziki; nasikia alishafariki. Nilikutana naye mara ya mwisho mwanaozni mwa miaka ya tisini akiwa anafundisha UDSM.
 
Mkuu kichuguu asante sana kwa taarifa na maelezo maridhawa ya huyu nguli wa muziki John mgandu
Mimi wakati nakua Mzee wangu alikuwa anajiita John Mgandu kwani naye alikuwa ni mwalimu wa kwaya lakini wa ngazi ya chini

aliwahi kuniambia kwamba John Mgandu alikuwa ni profesa wa muziki udsm! Je hili lina ukweli?
 
Mkuu kichuguu asante sana kwa taarifa na maelezo maridhawa ya huyu nguli wa muziki John mgandu
Mimi wakati nakua Mzee wangu alikuwa anajiita John Mgandu kwani naye alikuwa ni mwalimu wa kwaya lakini wa ngazi ya chini

aliwahi kuniambia kwamba John Mgandu alikuwa ni profesa wa muziki udsm! Je hili lina ukweli?
Sidhani kama alifikia ngazi ya Professor, lakini nadhani nilipokutana naye mwanzoni mwa miaka ya tisini alikuwa ni Senior Lecturer na tayali alishakuwa na Ph.D. ya Muziki. Huko Marekani niliwahi kukutana na profesa mmoja wa Muziki anaitwa Jack Cloos ambaye alikuwa anamtambua sana Mgandu katika nyanja hizo za Muziki.

Enzi hizo za sekondari Mgandu alikuwa anatutia hamasa sana wanafunzi wake kwa kiingereza chake; alikuwa akiongea kiingereza vizuri sana kuliko kiswahili.
 
Mkuu kichuguu asante sana kwa taarifa na maelezo maridhawa ya huyu nguli wa muziki John mgandu
Mimi wakati nakua Mzee wangu alikuwa anajiita John Mgandu kwani naye alikuwa ni mwalimu wa kwaya lakini wa ngazi ya chini

aliwahi kuniambia kwamba John Mgandu alikuwa ni profesa wa muziki udsm! Je hili lina ukweli?

John Mgandu aliwahi kuwa jirani yangu.

Wanawe walikuwa rafiki zangu na nimesoma nao shule ya msingi.

Ni kweli alikuwa anafundisha UDSM.

Lakini sina uhakika alikuwa au aliishia cheo gani.

Nampa heshima yake kwenye fani yake.
 
SALUTE COMRADE
kwa wale wapenzi/walimu au wanafunzi wa Muziki wa kikatiliki baasi jina la JOHN MGANDU sio geni, kwa ufupi..
Alikua Mmoja kati ya watunzi ambao walijitahidi kutumia karama zao katika kuwasaidia waamini kusali vizuri kwa njia ya uimbaji ni Mwalimu John Stephano Mgandu.Yeye alizaliwa Oktoba 8, 1940 kijijini Busondo, katika Parokia ya Ndala-Nzega, mkoani Tabora.
Alipata elimu katika Shule ya Msingi Puge (1951-1953), kisha Seminari ya Lububu (1954 – 1955), baadaye Seminari ya Itaga (1956 – 1959) na Seminari ya Kipalapala 1964. Mwaka 1960 hadi 1970 alikuwa katika Chuo cha Ualimu cha Chang’ombe.
Elimu ya muziki aliipata katika Chuo Kikuu cha Toronto nchini Canada ambako alisomea Shahada ya Muziki (Bsc – Music) 1972 – 1976, na baadaye Chuo Kikuu cha Dar es salaam akisomea Shahada ya Uzamili (MA – Music) 1987.
Amewahi kufanya kazi katika maeneo mbalimbali pamoja na Benki ya NBC tawi la Masdo (1968), Shule ya Sekondari ya Kibasila (1970), Shule ya Sekondari ya Mirambo (1971), Shule ya Sekondari ya wavulana Tabora (1976 – 1978), Taasisi ya Elimu (1978 – 1980) na kisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam katika Idara ya Sanaa na maonyesho (Julai 1980 – Julai 2008)
Alifunga ndoa na Elizabeth Kulwa Binti Constatino Ngelegi, na kupata watoto wawili, wa kiume na wa kike. Licha ya kuwa mtunzi, Mwalimu Mgandu alikuwa mpiga kinanda, filimbi na ala nyingine nyingi. Pia alikuwa mwalimu na muongozaji wa muziki na kwaya mbalimbali.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2002 Mwalimu Mgandu alishinda tuzo ya kuwa Mpiga Kinanda Bora Tanzania (Tanzania Kilimanjaro Music Awards). Alifariki Julai 10 mwaka 2008.
Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa nguli huyu wa muziki mtakatifu, moja kati ya mengi ni taaluma ya muziki mtakatifu. Mwalimu Mgandu alikuwa mwanamuziki aliye na taaluma hata kuwa na Shahada ya uzamili (Masters) ya muziki. Cha ajabu watunzi wengi siku hizi huridhika kujifunza muziki mtakatifu kwa kuunga unga. Hii hupelekea kuzorota kwa taaluma hii, kwani kilichobaki kwa sasa ni watu kurithishana na kufundishana kienyeji tu.
Hii itukumbushe pia umuhimu wa kufufua madarasa ya muziki Mtakatifu katika Seminari, nyumba za malezi, vyuo vikuu vya kanisa ili tupate wataalamu wa kutosha.
Lakini kubwa zaidi, pamoja na kuwa na elimu kubwa mwalimu Mgandu daima tungo zake zilizingatia liturujia na alitumia maandiko matakatifu kama rejea ya nyimbo zake. Sasa watunzi wa leo wanaotunga nyimbo kama ‘chenga ya mwili’, ‘gari la shetani’ nk, wamejifunza wapi mambo hayo.
MGANDU copy.jpg


Kwa upande wangu!
Nimeanza kujifunza Elimu ya muziki yaani upangiliaji wa nota, sauti, funguo za muziki miaka mitano iliyopita japo sikuendelea sana kusoma kutokana na ubize wa shule ndipo nilipoanza kumwelewa huyu mtuu uwezo wake aliokua nao wa kutunga nyimbo,kupangilia nota vizuri (Actually am a former Catholic sgospel singer at BMM choir kigoma). kiukweli sijaona mwingine tena katika orodha ya watunzi/walimu bora wa nyimbo za kikatoliki hapa Tanzania akifuatiwa na Mwarabu

waliobaki ambao naona wanajitahidi sana kwa upande wangu ni..
Frolian E Nyanza- Mwanza
mwarabu
Makoye
B. Mukasa
Creddo Mbogoye Bmm kigma
Stephen mnyonge gungu kigoma
Pius Paul- kigoma
nk. nk
DSCF3064.JPG

The Catholic Diocese of Kigoma
https://www.google.com/url?sa=t&rct...hn-mgandu/94&usg=AOvVaw3hLAbt6F-U1qOuz9CUMYnd
credit: TEC
 

Attachments

  • 04_04 SEMA NAO BWANA - Pius Paulo_KWAYA YA MT.SESILIA KIGANGO CHA TINDE - PAROKIA YA BUSANDA J...mp3
    14 MB · Views: 47
Florian au Florence Nyanza? Deo Kalolela
Huyo mwenye nyekundu mwondoe, katika list aliyoitaja na watunzi wanaotunga nyimbo zenye adabu na zinazofuata sheria na vipengele vyote vya muziki. Huyo na mpiga kinanda aitwaye mkude, waliibukia huko arusha kwa kuanza kutunga manyimbo na uimbaji wa staccato (matamshi ya kukatakata maneno) , nyimbo zisizo kamilika unakuta ni chord 3 au 2 zinajirudia , mapambio. Hawa waliungana na mpiga kinada aitwaye mkude ambaye ndiye mwanzilishi wa masebene katika kanisa, na baadaye mtunzi maarufu wa kizazi kipya aitwaye mukasa akajiunga na ndio ikawa turning point ya kuharibika na kupotea muziki wa akina mgandu na sasa huwaambii vijana kuhusu masebene, kila mpiga kinanda hana time na kujifunza bugert bali ni hizo chord 3 tuu, ........basi mengine nitaeleza siku nyingine
 
Huyo mwenye nyekundu mwondoe, katika list aliyoitaja na watunzi wanaotunga nyimbo zenye adabu na zinazofuata sheria na vipengele vyote vya muziki. Huyo na mpiga kinanda aitwaye mkude, waliibukia huko arusha kwa kuanza kutunga manyimbo na uimbaji wa staccato (matamshi ya kukatakata maneno) , nyimbo zisizo kamilika unakuta ni chord 3 au 2 zinajirudia , mapambio. Hawa waliungana na mpiga kinada aitwaye mkude ambaye ndiye mwanzilishi wa masebene katika kanisa, na baadaye mtunzi maarufu wa kizazi kipya aitwaye mukasa akajiunga na ndio ikawa turning point ya kuharibika na kupotea muziki wa akina mgandu na sasa huwaambii vijana kuhusu masebene, kila mpiga kinanda hana time na kujifunza bugert bali ni hizo chord 3 tuu, ........basi mengine nitaeleza siku nyingine
uko vizuri kwenye muziki mkuu hongera
 
John Mgandu alikuwa mtunzi hodari wa nyimbo za kikatoliki. Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo zilizotungwa na John Mgandu. Ifuatayo ni orodha ya midi za nyimbo zilizo tungwa na John Mgandu.

Songs by John Mgandu

----
SALUTE COMRADE
kwa wale wapenzi/walimu au wanafunzi wa Muziki wa kikatiliki baasi jina la JOHN MGANDU sio geni, kwa ufupi..
Alikua Mmoja kati ya watunzi ambao walijitahidi kutumia karama zao katika kuwasaidia waamini kusali vizuri kwa njia ya uimbaji ni Mwalimu John Stephano Mgandu.Yeye alizaliwa Oktoba 8, 1940 kijijini Busondo, katika Parokia ya Ndala-Nzega, mkoani Tabora.

Alipata elimu katika Shule ya Msingi Puge (1951-1953), kisha Seminari ya Lububu (1954 – 1955), baadaye Seminari ya Itaga (1956 – 1959) na Seminari ya Kipalapala 1964. Mwaka 1960 hadi 1970 alikuwa katika Chuo cha Ualimu cha Chang’ombe.
Elimu ya muziki aliipata katika Chuo Kikuu cha Toronto nchini Canada ambako alisomea Shahada ya Muziki (Bsc – Music) 1972 – 1976, na baadaye Chuo Kikuu cha Dar es salaam akisomea Shahada ya Uzamili (MA – Music) 1987.

Amewahi kufanya kazi katika maeneo mbalimbali pamoja na Benki ya NBC tawi la Masdo (1968), Shule ya Sekondari ya Kibasila (1970), Shule ya Sekondari ya Mirambo (1971), Shule ya Sekondari ya wavulana Tabora (1976 – 1978), Taasisi ya Elimu (1978 – 1980) na kisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam katika Idara ya Sanaa na maonyesho (Julai 1980 – Julai 2008)
Alifunga ndoa na Elizabeth Kulwa Binti Constatino Ngelegi, na kupata watoto wawili, wa kiume na wa kike. Licha ya kuwa mtunzi, Mwalimu Mgandu alikuwa mpiga kinanda, filimbi na ala nyingine nyingi. Pia alikuwa mwalimu na muongozaji wa muziki na kwaya mbalimbali.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2002 Mwalimu Mgandu alishinda tuzo ya kuwa Mpiga Kinanda Bora Tanzania (Tanzania Kilimanjaro Music Awards). Alifariki Julai 10 mwaka 2008.

Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa nguli huyu wa muziki mtakatifu, moja kati ya mengi ni taaluma ya muziki mtakatifu.

Mwalimu Mgandu alikuwa mwanamuziki aliye na taaluma hata kuwa na Shahada ya uzamili (Masters) ya muziki. Cha ajabu watunzi wengi siku hizi huridhika kujifunza muziki mtakatifu kwa kuunga unga. Hii hupelekea kuzorota kwa taaluma hii, kwani kilichobaki kwa sasa ni watu kurithishana na kufundishana kienyeji tu.

Hii itukumbushe pia umuhimu wa kufufua madarasa ya muziki Mtakatifu katika Seminari, nyumba za malezi, vyuo vikuu vya kanisa ili tupate wataalamu wa kutosha.

Lakini kubwa zaidi, pamoja na kuwa na elimu kubwa mwalimu Mgandu daima tungo zake zilizingatia liturujia na alitumia maandiko matakatifu kama rejea ya nyimbo zake. Sasa watunzi wa leo wanaotunga nyimbo kama ‘chenga ya mwili’, ‘gari la shetani’ nk, wamejifunza wapi mambo hayo.
mgandu-copy-jpg.950212



Kwa upande wangu!
Nimeanza kujifunza Elimu ya muziki yaani upangiliaji wa nota, sauti, funguo za muziki miaka mitano iliyopita japo sikuendelea sana kusoma kutokana na ubize wa shule ndipo nilipoanza kumwelewa huyu mtuu uwezo wake aliokua nao wa kutunga nyimbo,kupangilia nota vizuri (Actually am a former Catholic sgospel singer at BMM choir kigoma). kiukweli sijaona mwingine tena katika orodha ya watunzi/walimu bora wa nyimbo za kikatoliki hapa Tanzania akifuatiwa na Mwarabu

waliobaki ambao naona wanajitahidi sana kwa upande wangu ni..
Frolian E Nyanza- Mwanza
mwarabu
Makoye
B. Mukasa
Creddo Mbogoye Bmm kigma
Stephen mnyonge gungu kigoma
Pius Paul- kigoma
nk. nk

dscf3064-jpg.950241


The Catholic Diocese of Kigoma
https://www.google.com/url?sa=t&rct...hn-mgandu/94&usg=AOvVaw3hLAbt6F-U1qOuz9CUMYnd
credit: TEC
Dah nilitaka nimtaje Mwarabu nikaona kumbe umeshamtaja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom