Hapo kwenye kitambaa cha plastic nimecheka sana
Kama mm,
Kitambaa cha plastic halaf leather tenaa?
Wabongo tunapigwa hv hv...
Baaabeki sofa ya pure leather Bongo hapa sidhan km hata ikulu zipo kwa bei yakee...
Kiatu tuu cha leather chini ya angalau 300k hupat...
Anyway
Aisee mm sidhan km kunguni hawa wadudu wanatokomezeka kbsa...
Nijuavyo unawapunguza tuu sio kuwamalizaa...
Nani anakumbuka skendo ya British Airline ya mwaka 2017-2018?
Abiria mmoja tuu kutoka ghana alipanda na kunguniii...
Unajua nini kilitokeaa?
Kwanza walianza kujaa ndege nzimaa,
Baada ya hapo wakashuka airport,
Then wakasambaa kwenye ndege nyingnee,
Kilichofuatia wakaanza kudakia abiria kuelekea majumbaniii....
Ni ndani ya miezi kazaa Wazee walisambaa london yote na miji ya karibuniii.
Wakajaribu kufukia fukia skendo ili ndege zao zisiharibu sokoo...
Wakafanikiwa kwa mdaa...
Inshu ikazinduka pale Abiria wao mmoja alipopanda ndege kwenda SA kwenye mapumzikoo,
Alooo anatua cape town amekula bites zaidi ya 120,
Na zile rangi zao ukimchek km fenesiii...
Waingereza walipambana sana bila mafanikioo,
Sidhan km mpk leo wamefanikiwaa.
Wale wadudu hawajui lolote zaidi ya kufyatuaaa watoto, hata umpasue hapa unaonaa...
Anakata roho huku anafyatua mayaiii
Wakitua kwako ni ndani ya week tuu wanaingia mpk masikionii.
Usijiulize ulimbebea wapi,
Usijiulize ulibeba wangapi,
Usijiulize Ulibeba dume au jike,
Usijiulize alikua na mimba au laa,
Kuna mtu hapo juu kaongea km utani lkn hawa jamaa kiutani utani hvyo hvyoo wanaweza wakufanye utoroke nyumb yako mwenyewe hv hv.
Wana roho ngumu sijapata onaa...
Nina experience kubwa sana naoo
advance hawa jamaa wametusumbua sanaa...
Mnaunda timu kbsaa kuwaangamiza,
Subr usiku uoneee.....
Kuna jamaa yetu waliingia mpk sikionii
mpo class anajipiga mabao kumtuliza kama kichaa..
BTW nawashukuru walinisaidia sana kutoboa lile li Comb,
Mpk tukahisi walimwagwa ili kutuamsha usiku kusoma kilazimaaa...
Maana ilikua ukiweza kulala masaa mawili Bila kushtuka wewe labda huna damu...
Piga ua utaamka kusoma bila kutakaaa..