Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
- Thread starter
- #601
Ukatoliki UnakiriKUWA UNAWAPELEKA WATU JEHANUMNimekuuliza Yesu anajificha kwenye chumba mbinguni ili kumkimbia nani...???
Kwa kuwa unabii wa Danieli ulitabiri kwamba Upapa unge"azimu" kubadili "majira
na sheria" hebu na tuulize kama ulihusika na badiliko hilo la Sabato. Tunataka
kufanya haki kwa kila mmoja, na kupata ushuhuda wa kweli kutoka kwa wote.
Madondoo kadhaa yafuatayo yamechukuliwa kutoka kwa mamlaka zinazoaminika za
Kikatoliki ambazo zinaeleza kwa wazi madai ya Upapa kuhusu jaribio hilo
lililofanyika.
Kutoka katika CATHOLIC ENCYCLOPEDIA, Gombo la IV, ukurasa153,
"Kanisa... baada ya kuibadili siku ya mapumziko kutoka Sabato ya Wayahudi, au
siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza, likaifanya amri ya tatu kumaanisha
Jumapili kuwa ndiyo siku itakayotakaswa kama Siku ya Bwana."
YHWH IS GOOD