Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
- Thread starter
- #541
Mbona unalalamika ?Utaishia kuweka picha mpaka basi..
Nyingine hiyo hapo mnaabudu kinyago
YHWH IS GOOD
Mbona unalalamika ?Utaishia kuweka picha mpaka basi..
Nimeku-mention kwenye uzi kule....Mbona unapaniki ?
Unataka kukimbia mada?
Kuhusu jina YHWH unapotoka hilo lipo ktk tanakh ya kiyahudi acha kukurupuka usifananishe na neno Yahwe,
Rudi kwenye mada ,jitetee Je ROMA SIO KAHABA MKUU ?
Hahaaa unajitekenya na kuchekaCheza na Gematria hiyo..
Pinga kuwa siyo kweli
Pili, abishe kwamba gematria
E L L E N G O U L D W H I T E
0+50+50+0+0 + 0+ 0+5+50+500+10+0+1+0+0 = 666 si hesabu sawa.
Umeona mention yangu..Mbona unalalamika ?
Nyingine hiyo hapo mnaabudu kinyago
Njoo hapaNimeku-mention kwenye uzi kule....
Hivi umeona kuna sura za kukimbia uzi wa kipuuzi nama hii....yani zero kama wewe unayejua ku-copy na ku-paste unajiona unaweza kuleta mada ikakimbiwa..
Mbona nyie ndio mnakimbia mlichokuanzia...mito huu utawachoma nyie wenyewe
Nadhani unahitaji kupimwa akiliOfcorse Warumi waliwaua Wakatoliki wengi..akiwemo Petro...
Huwa sina historia ya kuondoka kwenye uzi...naona unanisoma vibaya..Malizana hapa , unanilazimisha , hahaaaaaaaaaa
NJOO HAPA HAPA UELEZE KUHUSU KAHABA MKUU ROMA
unataka kunipangia uzi za kupitia,
Umerudi..Kipi usichokiekewa hapoNadhani unahitaji kupimwa akili
Mimi mada huwa naijibu kwa madaHuwa sina historia ya kuondoka kwenye uzi...naona unanisoma vibaya..
Nipo...
Leo nimeamini hawa jamaa wamebanwa kwelikweli ila kwa kiburi chao hawataki kuukubali ukweli na kuufuata.Lini egw aliua watakatifu?
Utatia aibu ohooo
YHWH IS GOOD
Ndio wanazidi kujiaibisha na watu wanaiona nuru maana mimi nitawafanya ubao watu wawatambueLeo nimeamini hawa jamaa wamebanwa kwelikweli ila kwa kiburi chao hawataki kuukubali ukweli na kuufuata.
Walivyo na mtindio wa ubongo watakwambia hapo hawaabudu sanamu ila wanaziheshimu tu. Yaani ukisijudia sanamu akili yote inahama unakuwa kama zezeta tu.Mbona unalalamika ?
Nyingine hiyo hapo mnaabudu kinyago
YHWH IS GOOD
Wewe tumia akili usiwe kama mtoto asiyejitambua,kwa akili zako finyu unabii uliopo kwenye ufunuo sura ya 13 unaendana na ellen g white?Cheza na hesabu hii
Pili, abishe kwamba gematria
E L L E N G O U L D W H I T E
0+50+50+0+0 + 0+ 0+5+50+500+10+0+1+0+0 = 666 si hesabu sawa.
Yaani hawa jamaa ndio wanazidi kudhihirisha kuwa ni watupuWewe tumia akili usiwe kama mtoto asiyejitambua,kwa akili zako finyu unabii uliopo kwenye ufunuo sura ya 13 unaendana na ellen g white?
Unaelewa maana ya mnyama kutoka baharini?
Ni lini Ellen g white alifanya vita na watakatifu
Ni lini ellen g white alimtukana Mungu
Ni lini ellen g white alishurutisha mtu amsujudu
Ni lini ellen g white alilazimisha watu waiabudu sanamu(jumapili).
SIFA HIZO ZINAENDANA NA KANISA MAARUFU SANA HAPA DUNIANI AMBALO LILITESA NA KUUA WATUNZA SABATO KATIKA ZAMA ZA GIZA[538-1798] YAANI MIAKA 1260
LINGANISHA HISTORIA INAVYOSEMA NA MTU HUSIKA SIO KUPACHIKA MTU TU ASIYEKIDHI HATA CRITERIA MOJA,HAPO UNAONESHA HUFAHAMU HATA CHEMBE KUHUSU UNABII.
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Walivyo na mtindio wa ubongo watakwambia hapo hawaabudu sanamu ila wanaziheshimu tu. Yaani ukisijudia sanamu akili yote inahama unakuwa kama zeMbona unalalamika ?
Nyingine hiyo hapo mnaabudu kinyago
YHWH IS GOOD
Na kweli wanafaa sana kutumika kama ubao. Padri wao kawaingiza chaka wote wametumbukia.Yaani hawa jamaa ndio wanazidi kudhihirisha kuwa ni watupu
Sasa mimi nitwatumia kama ubao kufundishia wengine
YHWH IS GOOD
...Nimeshakeambia sina historia ya kuondoka kwrnye uzi..labda nipigwe banMimi mada huwa naijibu kwa mada
Sasa tulia hapa upuuz wako unajibiwa kwa hoja
YHWH IS GOOD
Ni lini Ellen g white alifanya vita na watakatifu
Ni lini ellen g white alimtukana Mungu
Ni lini ellen g white alishurutisha mtu amsujudu
Ni lini ellen g white alilazimisha watu
Umerudi huku...kule kugumu ehhh..Leo nimeamini hawa jamaa wamebanwa kwelikweli ila kwa kiburi chao hawataki kuukubali ukweli na kuufuata.
Ndio wanazidi kujiaibisha na watu wanaiona nuru maana mimi nitawafanya ubao watu wawatambue
Hata asiyeenda shule huwez kumdanganya uf 13 ni egw
YHWH IS GOOD