Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Si ni baada ya kuporwa na watawala au . ...Ulimwengu hakuzaliwa Ngara Tanzania. Uraia wa nchi hii aliuomba na akafanikiwa kupewa na idara ya uhamiaji
Si ni baada ya kuporwa na watawala au . ...Ulimwengu hakuzaliwa Ngara Tanzania. Uraia wa nchi hii aliuomba na akafanikiwa kupewa na idara ya uhamiaji
Wacha ujinga, meze ulimwengu hakuwa raia kwa sababu babaake hakuwa raia ulimwengu alipozaliwa na mzee ulimwengu bila ya kujuwa alipofikisha umri wa miaka 18 hakuomba uraia wa TANZANIA kwa hivyo ni technical issue tu.Ulikuwepo??
Hata wiki iliyopita mjumbe wa Nec wa CCM huko Mwz amesema yule mbunge anaeitwa Musukuma uraia wake una utata/sio raiaUsisahau pia kuwa aliwahi kuzushiwa kuwa sio raia wa Tanzania
Wkt aliyempora Mwenyewe(Lodi lofa) alishasema 70% ya ndugu zake wako upande wa Msumbiji.Si ni baada ya kuporwa na watawala au . ...
😄😄😄 Utake usitakeeeeeeemazuzu mpenanic baada ya Ulimwengu kuelezea unafiki wetu.
Wewe ni raia au mwarabu?Wacha ujinga, meze ulimwengu hakuwa raia kwa sababu babaake hakuwa raia ulimwengu alipozaliwa na mzee ulimwengu bila ya kujuwa alipofikisha umri wa miaka 18 hakuomba uraia wa TANZANIA kwa hivyo ni technical issue tu.
Tuwekee na za "supika" Job Ndungai , wetu tufanye komparizoni.
Wewe umelishwa chuki za kichawi.Ulimwengu li-CCM zoefu lilishoshindwa kufikia ndoto zake za juu baada ya kutumikia ubunge, udc na ujumbe wa kamati kuu hata baada ya mfumo wa mageuzi kuja. Likabaki na hate ya aina yake kwa Mkapa na baadae kwa Magu
huyo alisoma chuo cha maliasili (wanyama) tu basi. sitaki kuendelea asije kuniongelea bungeni kesho. ingekuwa ndio kisomo cha siku hizi tungeita alisoma "musoma utalii".Tuwekee na za "supika" Job Ndungai , wetu tufanye komparizoni.
tangu huyu jamaa aingie bugeni kama spika, nikilinganisha na mama makinda, najisemea mwenyewe sijui lini tutapata spika kama yule. huyu hata alipokuwa anakaimu uspika alikuwa anavurunda mno, ajabu yake akaja kuupata wenyewe na tumeishi naye miaka yote hii. too bad.Ndugai kiburi cha madaraka kimempanda mpaka anafikiri yuko sawa na Rais. Kwa maneno yake ya hivi karibuni kuhusu wanawake wenye madaraka ameonekana kusema Rais kiaina. Sijui ana malengo gani au anajiamini kiasi gani..!!?
Una sonona kama ulimwengu?Wewe umelishwa chuki za kichawi.
mazuzu mmepanic baada ya Ulimwengu kuelezea unafiki wenu.
Itungwe sheria kiongozi wa mhimili wowote atengenezewe wasifu kabla ya kufa kuliko kusifiana mtu akifa au kumsema vibaya akifa.Tuwekee na za "supika" Job Ndungai , wetu tufanye komparizoni.
Hivi mazuzu mna hoja yoyote ya maana zaidi ya kusema "ndiyoooooooooo" ??Kamanda upo?povu la nini badala ya hoja?
mhhh huu ugoro labda umdangaye beki tatu wa dada yako hapo kwa shemeji yako.Huyu mzee amebaki na gubu na kisirani baada ya kuachwa na serikali. Ni vizuri unapomaliza uongozi ubaki kuwa mshauri mzuri sio kubaki na chuki na hila kwa waliobaki kuwa viongozi.
Chadema twende na generali ulimwengu 2025
mhhh huu ugoro labda umdangaye beki tatu wa dada yako hapo kwa shemeji yako.
Yani Jenerali ulimwengu atolee macho nafasi z
Wanyangara wengi ni warundi, wanya rwanda!! Lkn Nyakato shule yangu ile! Migomo kma kawa!! km kweli alisoma pale anipe habari za ''Nyamshengoma!'' Anapajua? Hamgembe! kasusura . Kaihyoza, Milambo, shamba la Magindu analijua huyu?? Siku ya Gulio katerelo karbu na Muheza anapajua huyu? haya yapo, mpaka kesho!Mkapa huyo,baada ya kuuza nchi kuliko mangungo,ulinwengu akimwandika saana,Akaona amnyang'anye uraia