Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,485
- 5,819
Tofautisha uchawi na tiba za miti shamba.Nilijua tu lazima Kuna mtu atajibu hivyo.
Hawa watu walitumia mizizi na majani tu kufanya yao.
Miti imeumbwa na Mungu alikuyekuumba wewe!!
Mzungu alivokuja alipuuza vitu vyetu vyote akasema vya kishenzi..Leo hi tunarudi kwenye ushenzi wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu aliviita vitu vyetu vya kishenzi ni kweli, badala ya ngoma za asili alileta dansi na disco, alileta utamaduni wake.
Lakini kabla ya ujio wa wazungu uchawi ulipingwa na jamii yote.