Mfadhili wa CCM ajiunga na CHADEMA

Mfadhili wa CCM ajiunga na CHADEMA

Chadema kongwa na mpwapwa mkiweza nitaamini maana kwa kumbukumbu zangu za karibu inawezekana Ccm ndo chama maarufu ambacho ukiacha wabunge JK alipata over 90% ya kura zote. Ngoja tuone
Wala usijali Mjenda Chilo,Kongwa yote na vijiji vyake kama Mbande,Chamae,Hogoro,Banyibanyi,Songambele,Zoissa etc wameanza kuelewa nguvu ya CDM kwani mpaka 2014 utasikia mengi juu ya kukataliwa kwa Magamba
 
Waache Sisiem wapambane na vikundi vya waislam ambao wao wenyewe ndio wamewalea...Na CMD iendelee na mkakati wa kimapinduzi.

Hongereni makamanda!! Pamoja sana
 
Mkuu NGOWILE .. hebu Copy hizi Picha kubwa kwenye Main (1st) Post yako - maana angalau zinaonekana vizuri​

attachment.php
 
CHADEMA chama cha msimu lakini msimu mbona hauishi na kila kukicha wanazidi kuzoa wanachama kutoka vyama mbalimbali au kikwete aliimanisha nini?
 
Lengo letu nchi hii iwe ya kikristo na bendera tutabadilisha tuweke msalaba tutafanikiwa tu bwana yesu yu pamoja nasi.
Wenye akili timamu kama Shamban Simba kasha washitukia nyie ni wahuni mnalenu jambo, mnataka kuutumia uislam kama mwavuli tu...
 
Akaribie ila asiwe fisadi akatuharibia image ya chama.
 
Lengo letu nchi hii iwe ya kikristo na bendera tutabadilisha tuweke msalaba tutafanikiwa tu bwana yesu yu pamoja nasi.
acha uppzi wewe. unategemea nani atsadiki huu upuuzi wako??
kwahiyo akina sabodo na huyu shilaki nao wanasapot huu ujinga wako.
watu washaamka wewe,tafuta mbinunyingine ya kukichafua CHADEMA sio hii ya kipuuzi.
 
Duh! Halafu hao walikuwa ni cdm ngazi za chini kabisa. Naona sasa watu wanaanza kuona mbali, kuwa 2015 mambo siyo kabisa kwa ccm. Ccm wanaleta mambo ya undugu wa wazi kabisa katika siasa za nchi hii. Na uchaguzi ujao ccm ikishinda nahama nchi. Labda 'ishinde'.
 
Karibu kamanda katika harakati uamuzi wa busara.
 
Mwendo mdundo na M4C, na wengine waje
 
Back
Top Bottom