mzee shelali mmiliki wa safari master bus service toka enzi za mwalimu (rip) baba wa taifa , mfadhili wa hawa magamba toke enzi ya mh said mtaki(rip) , na kabla ya hapo , hakuna mwana ccm wa mpwapwa ambaye atafurahi kupoteza mtu kama shelali , labda aulizwe mh lubeleje anajua umuhimu wa shelali kwa mustakabali wa siasa za mpwapwa , wazee maarufu wa mpwapwa wengi hivi sasa, wameshatangulia mbele ya haki, sasa inapo tokea mzee kama shelali kujivua gamba naona mabadiliko ya kweli yanakuja mpwapwa,
nawapongeza chadema kwa kumleta kamanda baharia , aje kuchukua kiti cha kwanza cha mabadilko ndani ya mji wa mpwapwa, magamba wamekosa mtu hadi wamlete yule mmiliki wa iliyo kuwa hazina stars football club iliyo kuwa na wachezaji wezi wote na wakabaji wa mpwapwa , na elimu yake isiyo na cheti ya msingi , mgombea wa magamba ndio atakuwa mgombea udiwani wa 1 kuchakachua cheti cha std 7, shukrani ziende kwa kaka ake (rip) aliye kuwa dereva wa ujenzi kwa kumrudisha mjini baada ya ile issue ya kampuni ya ujenzi wa barabara moro to dom , pale dumila,
shime wana mpwapwa, kikombo, nghambo, igovu, mwanakianga,ilolo,hazina ,vinghawe,kota, 1 way, majengo,mazae,kikombo road, mji mpya, fanyeni mabadiliko elimu ni muhimu kwa maendeleo ya mji wenu
n;b, hakimu wa mahakama ya mwanzo alikalia kiti cha ubunge alichowaletea ni nn au ndio ule mtaa pale manaseh walipo jenga wabunge woote mlio wachagua,ingawa kumbu kumbu zangu zinaonyesha eneo lile nila wazi na ushahidi kulikuwa na uwanja wa mpira ,kamanda baharia ukipata anza na hawa wavamizi wa eneo la wazi
nawapongeza chadema kwa kumleta kamanda baharia , aje kuchukua kiti cha kwanza cha mabadilko ndani ya mji wa mpwapwa, magamba wamekosa mtu hadi wamlete yule mmiliki wa iliyo kuwa hazina stars football club iliyo kuwa na wachezaji wezi wote na wakabaji wa mpwapwa , na elimu yake isiyo na cheti ya msingi , mgombea wa magamba ndio atakuwa mgombea udiwani wa 1 kuchakachua cheti cha std 7, shukrani ziende kwa kaka ake (rip) aliye kuwa dereva wa ujenzi kwa kumrudisha mjini baada ya ile issue ya kampuni ya ujenzi wa barabara moro to dom , pale dumila,
shime wana mpwapwa, kikombo, nghambo, igovu, mwanakianga,ilolo,hazina ,vinghawe,kota, 1 way, majengo,mazae,kikombo road, mji mpya, fanyeni mabadiliko elimu ni muhimu kwa maendeleo ya mji wenu
n;b, hakimu wa mahakama ya mwanzo alikalia kiti cha ubunge alichowaletea ni nn au ndio ule mtaa pale manaseh walipo jenga wabunge woote mlio wachagua,ingawa kumbu kumbu zangu zinaonyesha eneo lile nila wazi na ushahidi kulikuwa na uwanja wa mpira ,kamanda baharia ukipata anza na hawa wavamizi wa eneo la wazi