Mfadhili wa CCM ajiunga na CHADEMA

NGOWILE

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
454
258
attachment.php
Mzee Shelali akipewa bendera ya CHADEMA
attachment.php
Bendera ya CCM ikishushwa nyumbani kwake
attachment.php
Watoto wakiichana bendera ya CCM iliyoshushwa
attachment.php
Baada ya kukabidhiwa kadi ya CHADEMA Makamanda jana Tulikuwa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea udiwani kata ya Mpwapwa kamanda Baharia.

Mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa sana watu. Shangwe, hoihoi na nderemo vililipuka pale mfadhili mkubwa wa CCM mkoani Dodoma ndugu Shelali alipoamua kujivua gamba na kujiunga na CHADEMA. Alipopewa nafasi ya kusema chochote kwa umati ule ndugu Shelali alisema amekuwa mfadhili wa CCM tangu mwaka 1983.

Katika kuthibitisha hilo alikuja na nakala za barua za kuombwa fedha na mzee Malechela pamoja na tuzo nyingi za heshima kutoka CCM. Mzee Shelali alisema ameamua mwenyewe kujiunga na CHADEMA kwani ndicho chama pekee kinachoonyesha nia ya dhati ya kuikomboa Tanzania na kuwaomba wananchi wa Mpwapwa kujiunga na Chadema.

Katika mkutano huo ngugu Shelali alijitolea kuwanunulia kadi za CHADEMA wananchi wote watakaotaka kujiunga na CHADEMA wilayani mpwapwa. Baada ya mkutano huo wananchi na viongozi wa CHADEMA walielekea nyumbani kwa shelali kushusha bendera ya CCM na kupandisha ya CHADEMA ambapo mzee Shelali alijitolea kuipa CHADEMA ofisi.

Katika mkutano huo wananchi wa Mpwapwa walichanga zaidi ya sh. laki tano kwa ajili ya kusaidia kampeni.

Kilichonifurahisha ni kitendo cha wananchi kuingia barabarani licha ya kuzuiwa na polisi waliojaribu kuzima maandamano yao.

Mkutano huo ulihutubiwa na Benson Kigaila, Diwani Ali Issa Biringi na Kamanda Nicholaus Ngowi.
 

Attachments

  • DSC01885.JPG
    DSC01885.JPG
    1 MB · Views: 1,806
  • DSC01886.JPG
    DSC01886.JPG
    917.8 KB · Views: 2,029
  • DSC01912.JPG
    DSC01912.JPG
    1.3 MB · Views: 2,444
  • DSC01915.JPG
    DSC01915.JPG
    1.1 MB · Views: 2,052
Hao ndio wanatakiwa kuimalisha uhai wa chama, si wale wanaokuja kwa kutaka kupewa vyeo. Big up DOM kwani mmelala sana wakati mkoa huo ndio kitovu cha SIASA.
 
chama kilizaliwa kimekua na sasa kinawajibika kwa ajiri ya jamii nzima ...al the best!
 
Hakuna kurudi nyuma makamanda...ningefuahi zaidi kama Mh. Sabodo angefanya hivi na yeye kwani keshaonesha kuchoshwa na magamba..M4C daima.
 
Makamanda jana Tulikuwa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea udiwani kata ya Mpwapwa kamanda Baharia.

Mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa sana watu. Shangwe, hoihoi na nderemo vililipuka pale mfadhili mkubwa wa CCM mkoani Dodoma ndugu Shelali alipoamua kujivua gamba na kujiunga na CHADEMA. Alipopewa nafasi ya kusema chochote kwa umati ule ndugu Shelali alisema amekuwa mfadhili wa CCM tangu mwaka 1983.

Katika kuthibitisha hilo alikuja na nakala za barua za kuombwa fedha na mzee Malechela pamoja na tuzo nyingi za heshima kutoka CCM. Mzee Shelali alisema ameamua mwenyewe kujiunga na CHADEMA kwani ndicho chama pekee kinachoonyesha nia ya dhati ya kuikomboa Tanzania na kuwaomba wananchi wa Mpwapwa kujiunga na Chadema.

Katika mkutano huo ngugu Shelali alijitolea kuwanunulia kadi za CHADEMA wananchi wote watakaotaka kujiunga na CHADEMA wilayani mpwapwa. Baada ya mkutano huo wananchi na viongozi wa CHADEMA walielekea nyumbani kwa shelali kushusha bendera ya CCM na kupandisha ya CHADEMA ambapo mzee Shelali alijitolea kuipa CHADEMA ofisi.

Katika mkutano huo wananchi wa Mpwapwa walichanga zaidi ya sh. laki tano kwa ajili ya kusaidia kampeni.

Kilichonifurahisha ni kitendo cha wananchi kuingia barabarani licha ya kuzuiwa na polisi waliojaribu kuzima maandamano yao.

Mkutano huo ulihutubiwa na Benson Kigaila, Diwani Ali Issa Biringi na Kamanda Nicholaus Ngowi.

Du huyu mzee ana pesa, amekifadhili chama tangu mwaka wangu wa kuzaliwa? Sasa ataendelea kukifadhili na chadema? Tunamkaribisha kwa mikono miwili.
 
safi sana makamanda mna onesha ni kwa jinsi gani mna ishambulia dodoma na ku teka wilaya za dodoma safi wana mpwapwa kwani walisha zoea ku ifanya wilaya hio kuwa pango la wala rushwa na sehemu ya wenyewe ku tajilika safi mzee wangu shelali kwa kuwa onesha njia wezio na kuwa toa wenzio uwoga wame baki waoga wachache apo mpwapwa ,!,
 
Kamanda tunaomba utupie picha!..Pipoz.....................hadi kieleweke
 
Chadema kongwa na mpwapwa mkiweza nitaamini maana kwa kumbukumbu zangu za karibu inawezekana Ccm ndo chama maarufu ambacho ukiacha wabunge JK alipata over 90% ya kura zote. Ngoja tuone
 
Ccm chama kikuu na makini by 2016 and forever!
ANGALIZO kwa wanachadema hawa makuhadi ,mafisadi na wezi wa ccm wakijipenyeza na kujiunga chadema kwa jinsi tunavyowashabikia itakuweje?
 
Makamanda jana Tulikuwa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea udiwani kata ya Mpwapwa kamanda Baharia.

Mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa sana watu. Shangwe, hoihoi na nderemo vililipuka pale mfadhili mkubwa wa CCM mkoani Dodoma ndugu Shelali alipoamua kujivua gamba na kujiunga na CHADEMA. Alipopewa nafasi ya kusema chochote kwa umati ule ndugu Shelali alisema amekuwa mfadhili wa CCM tangu mwaka 1983.

Katika kuthibitisha hilo alikuja na nakala za barua za kuombwa fedha na mzee Malechela pamoja na tuzo nyingi za heshima kutoka CCM. Mzee Shelali alisema ameamua mwenyewe kujiunga na CHADEMA kwani ndicho chama pekee kinachoonyesha nia ya dhati ya kuikomboa Tanzania na kuwaomba wananchi wa Mpwapwa kujiunga na Chadema.

Katika mkutano huo ngugu Shelali alijitolea kuwanunulia kadi za CHADEMA wananchi wote watakaotaka kujiunga na CHADEMA wilayani mpwapwa. Baada ya mkutano huo wananchi na viongozi wa CHADEMA walielekea nyumbani kwa shelali kushusha bendera ya CCM na kupandisha ya CHADEMA ambapo mzee Shelali alijitolea kuipa CHADEMA ofisi.

Katika mkutano huo wananchi wa Mpwapwa walichanga zaidi ya sh. laki tano kwa ajili ya kusaidia kampeni.

Kilichonifurahisha ni kitendo cha wananchi kuingia barabarani licha ya kuzuiwa na polisi waliojaribu kuzima maandamano yao.

Mkutano huo ulihutubiwa na Benson Kigaila, Diwani Ali Issa Biringi na Kamanda Nicholaus Ngowi.

nimekubali....peoplezzzzzzz!
 
Ni kweli jana pia nilikuwepo Mpwapwa Mkutano ulifanyika ktk uwanja wa mashujaa na ulifana sn. Pia CCM walikuwa na mkutano wao Eneo wanaita Kikombo na ulikuwa na watu wachache sn.
 
Back
Top Bottom