Katika mkutano huo ngugu Shelali alijitolea kuwanunulia kadi za CHADEMA wananchi wote watakaotaka kujiunga na CHADEMA wilayani mpwapwa.
Nimefungua huu uzi kwa kasi ya ajabu kumfahamu huyo mfadhili wa CCM nilidhani Sabodo, kumbe jamaa wa Mpwapwa.
Du huyu mzee ana pesa, amekifadhili chama tangu mwaka wangu wa kuzaliwa? Sasa ataendelea kukifadhili na chadema? Tunamkaribisha kwa mikono miwili.
Unaongea pumba, Uamsho at work!!Lengo letu nchi hii iwe ya kikristo na bendera tutabadilisha tuweke msalaba tutafanikiwa tu bwana yesu yu pamoja nasi.
Makamanda jana Tulikuwa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea udiwani kata ya Mpwapwa kamanda Baharia.
Mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa sana watu. Shangwe, hoihoi na nderemo vililipuka pale mfadhili mkubwa wa CCM mkoani Dodoma ndugu Shelali alipoamua kujivua gamba na kujiunga na CHADEMA. Alipopewa nafasi ya kusema chochote kwa umati ule ndugu Shelali alisema amekuwa mfadhili wa CCM tangu mwaka 1983.
Katika kuthibitisha hilo alikuja na nakala za barua za kuombwa fedha na mzee Malechela pamoja na tuzo nyingi za heshima kutoka CCM. Mzee Shelali alisema ameamua mwenyewe kujiunga na CHADEMA kwani ndicho chama pekee kinachoonyesha nia ya dhati ya kuikomboa Tanzania na kuwaomba wananchi wa Mpwapwa kujiunga na Chadema.
Katika mkutano huo ngugu Shelali alijitolea kuwanunulia kadi za CHADEMA wananchi wote watakaotaka kujiunga na CHADEMA wilayani mpwapwa. Baada ya mkutano huo wananchi na viongozi wa CHADEMA walielekea nyumbani kwa shelali kushusha bendera ya CCM na kupandisha ya CHADEMA ambapo mzee Shelali alijitolea kuipa CHADEMA ofisi.
Katika mkutano huo wananchi wa Mpwapwa walichanga zaidi ya sh. laki tano kwa ajili ya kusaidia kampeni.
Kilichonifurahisha ni kitendo cha wananchi kuingia barabarani licha ya kuzuiwa na polisi waliojaribu kuzima maandamano yao.
Mkutano huo ulihutubiwa na Benson Kigaila, Diwani Ali Issa Biringi na Kamanda Nicholaus Ngowi.
Yale mambo ya vitisho kuwa ukiweka bendera ya shina yenye rangi ya kijani, ndiyo biashara yako itakunyookea, hizo propaganda zishapitwa na wakati, alianza Sabodo kufungua njia, na wengine wengi wanafuata nyayo, na biashara zao zinazidi kusonga mbele. M4C in full swing, magamba wanazidi kusambaratika!!huyo ajipange tu, tutafunga tubiashara twake sasa hivi, ngoja TRA waende kwanza kumfanyia tathmini ya kodi alizokuwa anakwepa
awaulize kina kishimba wa mwanza, mmliki wa kwanza wa rock beach, na kina imalaseko
tunakukaribisha katika umaskini
View attachment 68781Mzee Shelali akipewa bendera ya CHADEMAView attachment 68783Bendera ya CCM ikishushwa nyumbani kwakeView attachment 68784Watoto wakiichana bendera ya CCM iliyoshushwaView attachment 68779Baada ya kukabidhiwa kadi ya CHADEMA Makamanda jana Tulikuwa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea udiwani kata ya Mpwapwa kamanda Baharia.
Mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa sana watu. Shangwe, hoihoi na nderemo vililipuka pale mfadhili mkubwa wa CCM mkoani Dodoma ndugu Shelali alipoamua kujivua gamba na kujiunga na CHADEMA. Alipopewa nafasi ya kusema chochote kwa umati ule ndugu Shelali alisema amekuwa mfadhili wa CCM tangu mwaka 1983.
Katika kuthibitisha hilo alikuja na nakala za barua za kuombwa fedha na mzee Malechela pamoja na tuzo nyingi za heshima kutoka CCM. Mzee Shelali alisema ameamua mwenyewe kujiunga na CHADEMA kwani ndicho chama pekee kinachoonyesha nia ya dhati ya kuikomboa Tanzania na kuwaomba wananchi wa Mpwapwa kujiunga na Chadema.
Katika mkutano huo ngugu Shelali alijitolea kuwanunulia kadi za CHADEMA wananchi wote watakaotaka kujiunga na CHADEMA wilayani mpwapwa. Baada ya mkutano huo wananchi na viongozi wa CHADEMA walielekea nyumbani kwa shelali kushusha bendera ya CCM na kupandisha ya CHADEMA ambapo mzee Shelali alijitolea kuipa CHADEMA ofisi.
Katika mkutano huo wananchi wa Mpwapwa walichanga zaidi ya sh. laki tano kwa ajili ya kusaidia kampeni.
Kilichonifurahisha ni kitendo cha wananchi kuingia barabarani licha ya kuzuiwa na polisi waliojaribu kuzima maandamano yao.
Mkutano huo ulihutubiwa na Benson Kigaila, Diwani Ali Issa Biringi na Kamanda Nicholaus Ngowi.
Kumbe ukiwa mwanachama wa CCM unaruhusiwa kukwepa kodi? Mkuu usipende kuropoka kama Gaidi Ponda na mwenzake FaridiHuyu mzee akapimwe akili zake anajiunga chadema.Naona anataka afe na presha kwanza inaonekana halipi kodi huyu TRA fanyeni kazi yenu.