Meya aagiza mabosi Moshi klabu kukamatwa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,007
9,873

Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza kukamatwa kwa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya kiwanja cha gofu cha klabu ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro na kuwekwa ndani kwa madai ya kutolipa Sh26 milioni za kodi ya ardhi tangu mwaka 2013.


Pia, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuingilia kati suala hilo ili wanachama wa klabu hiyo wapate haki zao.

Ameeleza hayo leo Alhamisi Aprili 29, 2021 katika kikao cha baraza la madiwani na kubainisha kuwa wanachama wamekuwa wakilipa kiingilio cha Sh100,000 kila mwaka.

"Nashangaa mpaka sasa mmiliki wa Moshi klabu hajakamatwa na kupelekwa mahakamani kwa kutolipa kodi ya ardhi kwa muda mrefu hadi kufikia Sh26 milioni," amesema Raibu.

Ameiomba Takukuru kuingilia kati na kuchunguza ada za wanachama zaidi ya 100 wanaotozwa Sh100,000 kwa kuwa hajui fedha hizo zinatumika katika jambo gani.

Ofisa ardhi manispaa ya Moshi, Jimson Msemwa amesema wanalifanyia kazi suala hilo kuhakikisha uongozi unafikishwa mahakamani.


MWANANCHI
 
Mama si kakataza kodi na mabunduki na mahakamani? Si amewaambia wawaite watu wakae mezani wadiskasi namna ya kulipa?

Kwanza huyu si ndio alifukuza watu kikaoni waliovaa barakoa?
 

Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza kukamatwa kwa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya kiwanja cha gofu cha klabu ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro na kuwekwa ndani kwa madai ya kutolipa Sh26 milioni za kodi ya ardhi tangu mwaka 2013.


Pia, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuingilia kati suala hilo ili wanachama wa klabu hiyo wapate haki zao.

Ameeleza hayo leo Alhamisi Aprili 29, 2021 katika kikao cha baraza la madiwani na kubainisha kuwa wanachama wamekuwa wakilipa kiingilio cha Sh100,000 kila mwaka.

"Nashangaa mpaka sasa mmiliki wa Moshi klabu hajakamatwa na kupelekwa mahakamani kwa kutolipa kodi ya ardhi kwa muda mrefu hadi kufikia Sh26 milioni," amesema Raibu.

Ameiomba Takukuru kuingilia kati na kuchunguza ada za wanachama zaidi ya 100 wanaotozwa Sh100,000 kwa kuwa hajui fedha hizo zinatumika katika jambo gani.

Ofisa ardhi manispaa ya Moshi, Jimson Msemwa amesema wanalifanyia kazi suala hilo kuhakikisha uongozi unafikishwa mahakamani.


MWANANCHI
Asante kwa taarifa
 

Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza kukamatwa kwa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya kiwanja cha gofu cha klabu ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro na kuwekwa ndani kwa madai ya kutolipa Sh26 milioni za kodi ya ardhi tangu mwaka 2013.


Pia, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuingilia kati suala hilo ili wanachama wa klabu hiyo wapate haki zao.

Ameeleza hayo leo Alhamisi Aprili 29, 2021 katika kikao cha baraza la madiwani na kubainisha kuwa wanachama wamekuwa wakilipa kiingilio cha Sh100,000 kila mwaka.

"Nashangaa mpaka sasa mmiliki wa Moshi klabu hajakamatwa na kupelekwa mahakamani kwa kutolipa kodi ya ardhi kwa muda mrefu hadi kufikia Sh26 milioni," amesema Raibu.

Ameiomba Takukuru kuingilia kati na kuchunguza ada za wanachama zaidi ya 100 wanaotozwa Sh100,000 kwa kuwa hajui fedha hizo zinatumika katika jambo gani.

Ofisa ardhi manispaa ya Moshi, Jimson Msemwa amesema wanalifanyia kazi suala hilo kuhakikisha uongozi unafikishwa mahakamani.


MWANANCHI
Tunasibiri kauli ya RC huko kilimanjaro
 

Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza kukamatwa kwa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya kiwanja cha gofu cha klabu ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro na kuwekwa ndani kwa madai ya kutolipa Sh26 milioni za kodi ya ardhi tangu mwaka 2013.


Pia, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuingilia kati suala hilo ili wanachama wa klabu hiyo wapate haki zao.

Ameeleza hayo leo Alhamisi Aprili 29, 2021 katika kikao cha baraza la madiwani na kubainisha kuwa wanachama wamekuwa wakilipa kiingilio cha Sh100,000 kila mwaka.

"Nashangaa mpaka sasa mmiliki wa Moshi klabu hajakamatwa na kupelekwa mahakamani kwa kutolipa kodi ya ardhi kwa muda mrefu hadi kufikia Sh26 milioni," amesema Raibu.

Ameiomba Takukuru kuingilia kati na kuchunguza ada za wanachama zaidi ya 100 wanaotozwa Sh100,000 kwa kuwa hajui fedha hizo zinatumika katika jambo gani.

Ofisa ardhi manispaa ya Moshi, Jimson Msemwa amesema wanalifanyia kazi suala hilo kuhakikisha uongozi unafikishwa mahakamani.


MWANANCHI
Meya mwenyewe jambazi kaiba 150m,atulize kalio tu
 

Moshi. Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza kukamatwa kwa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya kiwanja cha gofu cha klabu ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro na kuwekwa ndani kwa madai ya kutolipa Sh26 milioni za kodi ya ardhi tangu mwaka 2013.


Pia, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuingilia kati suala hilo ili wanachama wa klabu hiyo wapate haki zao.

Ameeleza hayo leo Alhamisi Aprili 29, 2021 katika kikao cha baraza la madiwani na kubainisha kuwa wanachama wamekuwa wakilipa kiingilio cha Sh100,000 kila mwaka.

"Nashangaa mpaka sasa mmiliki wa Moshi klabu hajakamatwa na kupelekwa mahakamani kwa kutolipa kodi ya ardhi kwa muda mrefu hadi kufikia Sh26 milioni," amesema Raibu.

Ameiomba Takukuru kuingilia kati na kuchunguza ada za wanachama zaidi ya 100 wanaotozwa Sh100,000 kwa kuwa hajui fedha hizo zinatumika katika jambo gani.

Ofisa ardhi manispaa ya Moshi, Jimson Msemwa amesema wanalifanyia kazi suala hilo kuhakikisha uongozi unafikishwa mahakamani.


MWANANCHI
Miaka mitano itaisha kwa taabu sana kwa Manispaa ya Moshi.

Huyu Meya HAWEZI kuwaza ktk level ya watu wa Moshi simply kwa sababu ya Elimu.

Hii Manispaa ina watu wenye level ya juu sana kimtizamo na mtu yeyote anayekalia Mji huu kwa maana ya kubuni Maendeleo ni lazima awe na Elimu, Exposure na mshikamano na Wadau wa Maendeleo wa ndani na nje.

Ubunifu mkubwa wenye tija.

Sasa Huyu kila kukicha anaibua scandal.. tena kwa sababu zake anazozijua mwenyewe!!

So cheap and hypocritical.

Nimshauri tu abadili mtizamo na akae na wadau kwa Adabu pamoja na Wakubwa zake kwa ajili ya kujenga Moshi.

Drive za kisiasa tena za Kule kuzimu Aache.

Watu wanataka kusikia drainage ya sewage ya Hapa Moshi inaelekea wapi,halafu itabadilishwa kuwa mbolea gani-Re cycling process at high level....
 
Back
Top Bottom