Abooga echambo chimo, tibeseleka!
(Those who bath in the same pond, can not hide the secret of their bodies)
(Hakuna siri ya watu wawili)
Kabila: Kizinza.
Yashinga mu minzi itelaga (Kisukuma)
To stay long in water does not make Iselamagazi clean.
Kukaa sana msikitini/kanisani hakumfanyi muumini kuwa safi.
Umwana wa mkeba yoilasa ,yoilasa kwihembe. (mtoto wa kabo akienda kuwinda bora mshale ulenge kwenye pembe)
hizi ni methali kidogo zenye roho mbaya , mtoto wa kabo asiwe mwenye mafanikio bali wako tu , ndiyo maana alenge pembe ambapo mnyama hawezi kufa badala yake ataondoka zake, KINGAZA
Mfiri wa kiti ukeri machendeni (kichaga, rombo).
Tafsiri: Siku ya mbwa iko miguuni.
Maana: Kipato au mafanikio yanakuja kwa kujishughulisha kwa uwezo/kipawa chako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.