Methali na mahusiano yako

Methali na mahusiano yako

To yeye

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
19,175
Reaction score
34,344
Kuna mahusiano yapo kwenye methali isemayo "mvumilivu hula mbivu" but another time inageuka "ngojangoja huumiza matumbo"

"Waliochagua Nazi wakaishia koroma" wamebaki kupata na "usiache mbachao kwa msala upitao".

Mi kuna mchongo nausikilizia,tusikie kwenu Nyie mlio dimbani mahusiano yenu yapo kwenye methali gani?
 
Akinipenda mama inatosha..

Wazee mi uwa nakosa usingizi nikiwa na ishu tatu (3) tu: Kesho yake nikiwa na safari, Kesho yake kuna mchongo wa hela au Najua kabisa sahivi penzi jipya la demu wangu ndio linakolea moto.

Sitajinyonga ila aisee.. Naombea waachane hawa mbwa.
 
Mbwa hawaachanagi
Basi vinatane..

images (1).jpeg
 
Akinipenda mama inatosha..

Wazee mi uwa nakosa usingizi nikiwa na ishu tatu (3) tu: Kesho yake nikiwa na safari, Kesho yake kuna mchongo wa hela au Najua kabisa sahivi penzi jipya la demu wangu ndio linakolea moto.

Sitajinyonga ila aisee.. Naombea waachane hawa mbwa.
🤣🤣🤣 Akikupenda mama inatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom