Inategemea mnatumia vigezo gani katika ku-rank nani ni zaidi ya mwingine lakini ukweli kwa maoni yangu Messi ni zaidi with ball control ya hali ya juu, chengazenye uhakika na confidence anapokuwa na mpira. Ronaldo anakuwa na papala sana kutaka kuanza mbio hata bila ya kuangalia anakimbilia wapi na ndio maana anaishia kukutana na MUNDA za mabeki kama akina Ashley Cole..