Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Messi better than Ronaldo - Cole


Chelsea's Joe Cole says Barcelona's Lionel Messi is ahead of Manchester United star Cristiano Ronaldo as the best player in the world.

Source: BBC Sport|Football

Mimi binafsi nakubaliana kabisa na maneno ya Joe Cole hapo juu, Messi anatisha!



 

hicho ni kizazi kipya cha soccer
 
hawa jamaa wote wanatandaza soka.ila tukija katika fair play,lionel mess ni zaidi.huyu jamaa ronaldo ana hasira sana,pia vimajivuno kwa mabli,ila huyu dogo mess yeye ni fair play tu.mess zaidi
 
For the TEAM PERFORMANCE RONALDO NI ZAIDI BUT KWA KUMILIKI MPIRA MESSI ZAIDI
Labda kwa kuwa bado mdogo MESSI anapenda kupiga chenga/kumiliki mpira badala ya kufunga au kutengeneza nafasi kwa wenzake
RONALDO-Ana kasi,anapiga freekick kali,anatengeneza nafasi nyingi kwa wenzie
 

Mkubwa UNANISIKITISHA sana unavyochukua mawazo ya CASHLEY na kuyakubali.
Cole amepewa shida sana na Ronaldo akiwa ARSENAL na alikuwa anampania sana Ronaldo ,sifikirii kama Cole anaweza kumkubali RONALDO
Watu kama MESSI,KAKA,SCOLARI,CAPELO,LIPI,TORES,CARVARLO wanamkubali RONALDO kwa wakati huu
 

Cashley Cole sio Joe Cole, ni Ashley Cole. Anyway, ninaposema Messi zaidi ni kwa mtazamo wangu, kila mtu anaweza kuwa na chaguo lake.
 
Najua uko GUNNERS so ni ngumu kumkubali RONALDO
 
ni sawa na kufananisha usingizi na kifo....messi ni maestro.
diego armando maradona hakuwa mjinga kusema messi ndo mrithi wangu katika soka.
sasa kama mnamkubali maradona basi myakubali na maneno yake.

un messi que club
 
tena ni dhambi kwa mungu kumfananisha ronaldo na messi...
baada ya mechi ya manchester na barca ile ya old trafold washabiki wa manchester waliingia uwanjani kwenda kumlaki messi kama masiya, je kwa nini hawakwenda kwa ronaldo?
 

Nakubaliana nawe mimi kama mchezaji enzi zangu ingawa bado mara moja moja hapa uwa nipo mchezoni tena,kuna mpira wa collective(teamwork) na individual skills.Katika individual skills both wako sawa katika kumiliki mpira ingawa ukiwachunguza sana utagundua kwamba Ronaldo ni muoga wa kuumia hivo yuko tayari muda wote kukuachia mpira kwa maana nyingine enzi yetu asingecheza kwani watu wanapiga tiktak kichwani kwako,Messi akubali kuachia mpira kiraisi na ndio waajentina walivo(usikubali kuachia mpira wako)lakini wareno ni usiniguse(dont touch me)ingawa wapo wareno waliokua wanang'ang'ania mpira kama Figo.
Katiaka collective(teamwork)hapa ndio Ronaldo anakua bora sasa,kwa sababu za uoga wake basi anakua anawahi kutoa mpira ili achukue nafasi nyingine asiyobana apige chenga adui akiwa mbali hivo anaonekana anashiriki katika majukumu pamoja ya kitimu.Here now,you can separate boys from men!Na ndio hicho kinachowatofautisha kati ya Messi na Ronaldo.Asanteni
 
Tunawalinganisha vipi...? I.e Wamezisaidia vipi timu zao both Clubs na National Teams...au mnaangalia nani anapiga chenga nyingi na kumiliki mpira?
 
hapa tunaangalia uwezo binafsi pindi wanapokuwa uwanjani,hilo suala la kufanikisha klabu au national timu kufanya vizuri mie naona mchango wake ni mdogo sana,mfano hata mchezaji aliyecheza mechi chache lkn kwa kuwa alikuwepo katika hiyo club au national team na ikafanikiwa kutwaa taji basi utaambiwa kuwa huyo mchezaji nae alisaidia hiyo timu kutwaa hilo taji.so what we discuss here ni uwezo binafsi.
 

Mfano mzuri angalia jinsi Ronaldo alivyoisaidia Manchester kufika hapa ilipo Season hii na season iliyopita...kati ya magoli yote timu iliyofunga season hii amefunga magoli 41...now huo ni mchango mdogo?
 
wote wana skills zinazo fanana na uwezo wao wa kupenya ngome unafanana, tofauti ni Ronaldo muoga na Messi ni shoka......si rahisi kumnyang'anya mpira Messi, as a team player Ronaldo anamzidi Messi
 
ebwana kana-naka-nsungu ebu nisaidie,huyu jamaa icadon ni mshabiki wa manchester au vipi?halafu yaonekana hajaelewa maelezo yangu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…