Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,128
Aliyepata kuwa kocha wa Ronaldo pale Real Madrid na gwiji wa klabu hiyo, Zinedine Zidane amesema Ronaldo ni mchezaji mzuri sana na ni mmoja ya wachezaji bora kuwahi kutokea lakini hayupo katika level za Lionel Messi.
Zidane akaongeza, Ronaldo hayupo kwenye level za Messi kwa kuwa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
My take:
Najua CR7 atakuwa amenuna huko alipo lakini huu ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa mwenyezi mungu, au nasema uongo ndugu zangu?
Zidane akaongeza, Ronaldo hayupo kwenye level za Messi kwa kuwa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
My take:
Najua CR7 atakuwa amenuna huko alipo lakini huu ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa mwenyezi mungu, au nasema uongo ndugu zangu?