Mjomba Malume
JF-Expert Member
- Apr 8, 2025
- 903
- 1,317
- Thread starter
- #21
Sasa mkuu, mtu akiulizia updates kwani kuna shida gani?Sasa mkuu post yako inamuhusu Messi ,lakini cha kushangaza Ronaldo lazima umtaje,inaonekana ni jinsi gani Uyo Ronaldo anakupa pressure kila siku uamkapo..
Nasikia hakufunga kwani alitolewa dakika ya ngapi au aliingia mwishoni?