secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,667
- 44,608
Messi akistaafu nami nastaafu kushabikia mpira wa miguu 😅Hahahahah 😆 ila we jamaa una damu ya Messi wewe
Messi akistaafu nami nastaafu kushabikia mpira wa miguu 😅Hahahahah 😆 ila we jamaa una damu ya Messi wewe
Nimekubali tu mkuu.Ronaldo 41
Mess ana 38
Kwa kigezo cha umri Ronaldo ni bora kuliko mess
Ndio tatizo la kuwa kwenye hii mijadala na watoto mlioanza kutazama mpira 2023Yamal ni kipaji kuliko messi
Siku hizi mmehamia kwenye umri? Kwanza kabisa Messi ana miaka 39Ronaldo 41
Mess ana 38
Kwa kigezo cha umri Ronaldo ni bora kuliko mess
Messi (miaka 38–39): Amekuwa na mchango mpana zaidi katika magoli, pasi za magoli, kutengeneza nafasi na kuiongoza timuRonaldo 41
Mess ana 38
Kwa kigezo cha umri Ronaldo ni bora kuliko mess
Kwa hiyo Spain akichukua lamine anakuwa goat?Theory
Ngoja jpili kikombe kinaenda Spain
Save hii comment
Shida ya kutumia majina bandia ndio haya mimi sio nimeishia kutazama bali nimecheza mpira ligi daraja la tatu boya weweNdio tatizo la kuwa kwenye hii mijadala na watoto mlioanza kutazama mpira 2023
Siumwi chechote ila nimesema ninachokijuaUnaumwa Nini !?
KaziiendeleeeeView attachment 3630580
View attachment 3630582
Messi and Yamal will meet again in the 2026 World Cup final. ⚽️
Their connection dates to a 2007 charity calendar shoot at Camp Nou. Photographer Joan Monfort captured 20-year-old Messi with five-month-old Yamal after the baby’s family was selected through a raffle in Mataró’s Roca Fonda neighborhood. Nineteen years later, they will compete for the World Cup on July 19 in New Jersey.
The matchup puts Argentina captain Lionel Messi against Spanish star Lamine Yamal.
Bro kaangalie kile kikosi cha Barca ambacho messi alikuwa na miaka 17-18 na hiki ambacho yamal anachezaMessi akiwa na miaka 17–18 alikuwa tayari anaonyesha kipaji cha kipekee, lakini bado hakuwa mchezaji wa kudumu kwenye kikosi cha kwanza cha Barcelona.
Lamine Yamal akiwa na miaka 17–18 tayari ni mchezaji muhimu wa Barcelona na Hispania, ameshinda ubingwa mkubwa akiwa na mchango mkubwa, na amevunja rekodi nyingi za umri mdogo.
Hii ni baada ya kutekenya vikali kiadrizi kinachofata ni kuruka kwa yale maji ya katerero kwa kikurya tunaita hydroxo 😁 usipokuwa makini yataruka hadi usoni
View attachment 3631488
Dogo nembe upo, ulidhani hatutakujua ukija kama haidrokso😁
Chizi Maarifa
secretarybird
Eli Cohen
loose Nut
Mbuzi wa kafara Daah 😂Umekitekenya hasa.... Naona hydroxo imetawanyika all over there
Consistency matters the most, haiwezekani mtu aliyebaki kwenye ubora ule ule kwa miaka 20 akachukua ballon dior 8 mbele ya strong rival CR7 eti afananishwe na kijana ambaye leo ndio kwanza anatimiza miaka 19, ulishwah kusikia messi akishindanishwa na maradona kipindi kile akiwa na miaka 19?Ukilinganisha umri ambayo mess yuko kwenye game na yamal kuwa mpinzani wa mess ni wazi Yamal ni bora kuliko mess