Nilishakuwaga na dili moja la pesa na anko wangu....sasa kipindi nataka nimtumie mesej anko kumuambia kwamba huyo jamaa tunataka kumpiga hela kashtuka ile mesej nkaituma kwa jamaa tunaetaka kumpiga hela....mesej niliandika hivi...."hoya anko huyu jamaa naona kama kashtukia"....jamaa hakunitafuta tena na dili ikaisha
kwahiyo kuchepuka wameumbiwa wanaume tuAsante kwa elimu dear, nilikuwa sijui kama wanawake nao huchepuka!
Senkyu ticha.Mama John hakutakiwa kuwa na mchepuko full stop.
Niliisolve kiselaa... Acha tu.Hahahahah sipati picha ya hilo farangati hapo...Uliweza solve hiyo balaa...Maana hapo wanaume wengi tunaishiwaga hadi mate mdomoni mate yanakauka chap unabaki unajichekesha chekesha tu...
hujatulia weweNa epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe
hujatulia weweNa epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe
Uuiwiiiiiiiiiie yeuuuiwiiiiiiiiii, auwiiiiiiiiiiiii, jaman njooniii, uwiiiiiiiiiiiiiiiieeeeeeNilishakuwaga na dili moja la pesa na anko wangu....sasa kipindi nataka nimtumie mesej anko kumuambia kwamba huyo jamaa tunataka kumpiga hela kashtuka ile mesej nkaituma kwa jamaa tunaetaka kumpiga hela....mesej niliandika hivi...."hoya anko huyu jamaa naona kama kashtukia"....jamaa hakunitafuta tena na dili ikaisha
Kwanini iwe aibu?Nilimtumia SMS mchepuko ikaenda kwa binti yangu. Ilikuwa aibu ya kutosha
Daaah!!! You are sounding so sexy, Umenitamanisha nichepuke na wewe hadi udenda unanitoka!kwahiyo kuchepuka wameumbiwa wanaume tu
kiruu ng'astuka yaani ukiona mpaka mwanamke anachepuka kachoshwa haswaaa

Ni kama unaniita kuja kuchepuka na wewe vile!Ila huyo mwanamke naye aliandika sana hadi kumuongelea mumewe kwa mchepuko laaaaa, bora angejiongelea yeye tu na hamu yake.
Wanawake/wasichana mchepuke ila msiongelee wenu wa ndoa kiundani kiasi hicho hata mkiwa uso kwa uso...mwache apate ka wivu asijue unakuwaje naye kitandani...akikuuliza jisikie raha sema unampa haki yake kama kawaida sababu ni wako ila wewe unajua unalofanya ukiwanaye sio kubwabwaja ovyo. Uongo ni muhimu sana ukiwa mwanamke unachepuka...akifikiri wewe mjinga basi wewe enjoy kampani yake au mawasiliano...atajiju

Dah!! Wewe utakua na experience ya kuchepuka sana...Na epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe
Dododo kumbe na we jirani yangu unachepukaNa epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe