Message ya mchepuko yaenda kwa mume

Message ya mchepuko yaenda kwa mume

Mama huyo anasema alitamani message hiyo iwe kama mpira ili aione airukie na kuishika isiende maana ile ame-press send button ndo akagundua alikuwa anamtumia mume wake na si hawara yake kama alivyokusudia...

Msg ilikuwa inasema hvi: (majina si ya kweli haya) ''David nakupenda mno hata kushinda baba Jonii hadi imefikia wakati tunashiri tendo la ndoa na baba Jonii bila kuvuta hisia zako huwa sifikii juu ya mlima naomba ufanye hima utafute nafasi ingine weekend hii ili ukanifanyie kama siku ile, Nakupenda mno''...

Ni mtafaruko mkubwa unaoendelea sasa hivi katika familia moja hapa jirani kisa kikiwa ni kama nilivyoonyesha hapo juu...Tuwe makini sana wakati wakutuma msg zetu za aina yeyote usije ukatamani kurukia msg ili uirudishe ili hali msg hata haionekani inavyosafiri..Kama ilishawai kukutokea kutuma msg mbaya kwa mtu usiye kuwa unataka aione hiyo msg toa ushuhuda wako hapa...
Mama huyo anasema alitamani message hiyo iwe kama mpira ili aione airukie na kuishika isiende maana ile ame-press send button ndo akagundua alikuwa anamtumia mume wake na si hawara yake kama alivyokusudia...

Msg ilikuwa inasema hvi: (majina si ya kweli haya) ''David nakupenda mno hata kushinda baba Jonii hadi imefikia wakati tunashiri tendo la ndoa na baba Jonii bila kuvuta hisia zako huwa sifikii juu ya mlima naomba ufanye hima utafute nafasi ingine weekend hii ili ukanifanyie kama siku ile, Nakupenda mno''...

Ni mtafaruko mkubwa unaoendelea sasa hivi katika familia moja hapa jirani kisa kikiwa ni kama nilivyoonyesha hapo juu...Tuwe makini sana wakati wakutuma msg zetu za aina yeyote usije ukatamani kurukia msg ili uirudishe ili hali msg hata haionekani inavyosafiri..Kama ilishawai kukutokea kutuma msg mbaya kwa mtu usiye kuwa unataka aione hiyo msg toa ushuhuda wako hapa...
Yangu ilikuwa hivi,tulikuwa tumefunga shule sasa nilitaka nikirudi mtaani nisifike home siku hiyo,hivo nilipanga kuspend one night na dem wangu ambaye naye alikuwa amefunga tayari yupo home,sasa ule utoto wa kusave majina ,my love,my mum ngoma ikaenda kwa my mum,nilitetemeka hadi nywele.meseji ilikuwa hvi,nimekumis my sweet,ntafurahi sana pamoja na wewe usiku wa kesho,maana yumbani nimewaambia siji kesho,weee ili bid mpango yote iharibike
 
..sasa mama john huyo baba john unaishijeishije nae yaan mpaka wakati wakushiriki huna nae hisia hadi uvute hisia za david!!?..au pesa umempendea??..mama john jehanamu inakuhusu
 
NAPATA KICHEFUCHEFU NIKISOMA STORY YA MTU ALIYEOLEWA ANAFANYWA NJE hivi hampati kinyaa? hamuoni aibu? uliona hakutoshelezi kwanini uolewe? ungebaki ukizungushe kama bongo movie!
 
Ha haa haaa! Mi nilitumiwa msj na mdada nisiyemjua ila ilikuwa poa aisee ilikuwa hiv(nimepunguza ukali wa maneno) "T, tangu usafiri nimekutunzia nanilii yko, yaan ukirudi utakuta kitu taitiii afu cha motooo, nakusubiri mpenz" bahati mbay wife aliiona ile msj ikiingia na akasoma sura yang nilivyokuwa naisoma, akaomba cm nikampa alimaind aisee, ilibidi tumtafute mhusika ajieleza vizuri, na ikaonekan hatufahamian ndo nikapona, na akafuta msj ile na namba tulopiga ili nisimtafute tena. Dah yaan wife asingekuwepo....
 
Back
Top Bottom