Usiombe yakukute, ilishawai kunitokea namtumia mseji mfanyakazi meenzangu msg ikaenda kwa Boss..nilikuwa namwambia upuuzi flani hivi kuhusu huyohuyo boss wetu alafu nimekaa nae jirani, ikafika akasoma, nakumbuka tulikuwa SUB SCANIA pale, BOSS akaniuliza ni mwarabu gani ana mambo ya kisenge? Umenitumia msg hapa inasema huyu mwarabu wako ana mambo ya kisenge ni yupi huyo? Nikajibu vya kuunga unga tuu nashukuru hakutilia mkazo sababu alikuwa na furaha zake na dill lake pale SCANIA vinginevyo kingenuka.