muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 1,002
Na epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe
Wewe utakuwa Le Mtaalamuzz. Ha ha ha. Mwaga maujanja mengine basi best
Na epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe
Ndo maana sipendi kuchat
Professional uNa epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe
Kua uyaone...NAPATA KICHEFUCHEFU NIKISOMA STORY YA MTU ALIYEOLEWA ANAFANYWA NJE![]()
![]()
![]()
hivi hampati kinyaa? hamuoni aibu? uliona hakutoshelezi kwanini uolewe? ungebaki ukizungushe kama bongo movie!
hhahahahahaaaa ilikuwa inasemaje?Mi yng ilienda kwa mama mkwe!
cesilia tuonane.. Ni PMNa epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe
Kwa kupenda umbea hujambo.... HahahahaaTuambie
Umbea sunna, hahaaaKwa kupenda umbea hujambo.... Hahahahaa
Nahisi nawewe utakuwa ulishakamatwa kwenye hekaheka hizo hahaUmbea sunna, hahaaa
Hahahaaaa! Mimi badoNahisi nawewe utakuwa ulishakamatwa kwenye hekaheka hizo haha
Kuna kujisahau ndugu....ni vigumu sana kuwa makini kwa asilimia 100 kwa wakati wote.
Na ni rahisi sana kutuma ujumbe wa simu kwa mtu ambaye siye....
Hahahaaaa! Mimi bado
naogopa mimi sitaki kabisaaaaa
Mimi sichepukagi!Ha ha haaah! Mpendwa wewe umakini wako ni wa kiwango cha kutukuka eeh? Amazing....
Kwa content ya hy msg, hata bila jina utajua tu mchepuko is involvedNa epukaga saaana kutaja majina![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ili hata ikienda ndiko siko isishtukiwe