Message ya mchepuko yaenda kwa mume

Message ya mchepuko yaenda kwa mume

Yeah, hata kama mtu uwe makini vp..bado inaweza kutokea. Ni kujitahidi tu kuwa makini kwasababu umakini unachofanya ni kupunguza uwezekano wa kutokea, to the minimal level, lakini sio kuuondoa kabisa uwezekano. Ili kuondoa uwezekano wa aibu hiyo kwa 100% basi ni kuwa mkweli tu na kujiepusha na aina yoyote ile ya cheating...a nice challenge huh !!
 
Kuna kujisahau ndugu....ni vigumu sana kuwa makini kwa asilimia 100 kwa wakati wote.

Na ni rahisi sana kutuma ujumbe wa simu kwa mtu ambaye siye....

Ha ha ha, kuna jamaa alishakuja humu siku za nyuma akisema ametumia simu ya wife kulog in JF halafu baada ya kumaliza kutumia hakulog-off.

Jioni alikuta printouts za PM za michepuko, kila kitu kikawa cheupe.
 
ujumbe mfupi noma bora upige tuuuu maana msg zina ushahidi sana
 
Back
Top Bottom