Siwaungi mkono waislamu kugoma bali naunga mkono kipengre cha dini kiwekwe maana leo nimeamua kugoggle nikapata namba tofauti sasa najiuliza wamepata wapi hizi kama serikali yenyewe haina data yoyote ya waislamu na waikristo pamoja na wapagani. Lingine ni kuwa CIA wanadata za Tz lakini wenyewe hatuna. Katika mtandao wao nimekutana na namba hizi:
Christian 30% Muslim 35 and indigenous beliefs 35%
Wanabodi kuna
message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI
MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA
CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
my take
message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi
linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
Wanabodi,
Data kuhusu Tanzania kwa mujibu wa CIA ni hizi
[TABLE="align: left"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Ethnic groups:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] mainland - African 99% (of which 95% are Bantu consisting of more than 130 tribes), other 1% (consisting of Asian, European, and Arab); Zanzibar - Arab, African, mixed Arab and African
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Languages:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] Kiswahili or Swahili (official), Kiunguja (name for Swahili in Zanzibar), English (official, primary language of commerce, administration, and higher education), Arabic (widely spoken in Zanzibar), many local languages note: Kiswahili (Swahili) is the mother tongue of the Bantu people living in Zanzibar and nearby coastal Tanzania; although Kiswahili is Bantu in structure and origin, its vocabulary draws on a variety of sources including Arabic and English; it has become the lingua franca of central and eastern Africa; the first language of most people is one of the local languages
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Religions:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Population:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 43,601,796 (July 2012 est.)
country comparison to the world: 30 note: estimates for this country explicitly take into account the effects of excess mortality due to AIDS; this can result in lower life expectancy, higher infant mortality, higher death rates, lower population growth rates, and changes in the distribution of population by age and sex than would otherwise be expected
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Age structure:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 0-14 years: 42% (male 9,003,152/female 8,949,061)
15-64 years: 55.1% (male 11,633,721/female 11,913,951)
65 years and over: 2.9% (male 538,290/female 708,445) (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Median age:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 18.5 years
male: 18.2 years
female: 18.7 years (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Population growth rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 1.96% (2011 est.)
country comparison to the world: 55 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Birth rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 31.81 births/1,000 population (2011 est.)
country comparison to the world: 38 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Death rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 11.92 deaths/1,000 population (July 2011 est.)
country comparison to the world: 31 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Net migration rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] -0.29 migrant(s)/1,000 population (2011 est.)
country comparison to the world: 127 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Urbanization:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] urban population: 26% of total population (2010)
rate of urbanization: 4.7% annual rate of change (2010-15 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Major cities - population:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] DAR ES SALAAM (capital) 3.207 million (2009)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Sex ratio:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] at birth: 1.03 male(s)/female
under 15 years: 1.01 male(s)/female
15-64 years: 0.98 male(s)/female
65 years and over: 0.75 male(s)/female
total population: 0.98 male(s)/female (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Maternal mortality rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 790 deaths/100,000 live births (2008)
country comparison to the world: 12 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Infant mortality rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 65.74 deaths/1,000 live births
country comparison to the world: 21 male: 72.42 deaths/1,000 live births
female: 58.87 deaths/1,000 live births (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Life expectancy at birth:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total population: 53.14 years
country comparison to the world: 205 male: 51.62 years
female: 54.7 years (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Total fertility rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 4.02 children born/woman (2011 est.)
country comparison to the world: 39 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Health expenditures:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 5.1% of GDP (2009)
country comparison to the world: 136 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Physicians density:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 0.008 physicians/1,000 population (2006)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Hospital bed density:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 1.1 beds/1,000 population (2006)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] HIV/AIDS - adult prevalence rate:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 5.6% (2009 est.)
country comparison to the world: 12 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] HIV/AIDS - people living with HIV/AIDS:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 1.4 million (2009 est.)
country comparison to the world: 6 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] HIV/AIDS - deaths:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 86,000 (2009 est.)
country comparison to the world: 4 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Major infectious diseases:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] degree of risk: very high
food or waterborne diseases: bacterial diarrhea, hepatitis A, and typhoid fever
vectorborne diseases: malaria and plague
water contact disease: schistosomiasis
animal contact disease: rabies (2009)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Children under the age of 5 years underweight:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 16.7% (2005)
country comparison to the world: 45 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Education expenditures:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 6.8% of GDP (2008)
country comparison to the world: 18 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Literacy:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] definition: age 15 and over can read and write Kiswahili (Swahili), English, or Arabic
total population: 69.4%
male: 77.5%
female: 62.2% (2002 census)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] School life expectancy (primary to tertiary education):
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 9 years
male: 9 years
female: 9 years (2007)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Unemployment, youth ages 15-24:
[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 8.8%
country comparison to the world: 111 male: 7.4%
female: 10.1% (2005)
Nyingi ni za kubuni tuu ila ndizo zilizoko openi. Mfano tulipopata uhuru, tulikuwa na makabila 120, sasa wao wanasema tuna makabila 130, inamaana kuna makabila 10 yameongezeka, jee kuna yoyote mwenye kuyajua angalau majina ya hayo makabila 130?. Tunataka sensa iyajibu maswali haya!.
Data zao zinaonyesha kuwa Tanzania ndio nchi ya 6 duniani kwa Ukimwi?.
Tusiwategemee wazungu kutulisha kila kitu tena haya majasusi mabeberu ndio kabisa!, wana malengo yao!, sensa yetu ituletee kitu kitu!.
Pasco, CIA wanaweka data wanazohitahiji wao. Wana sababu ya kujua/kubuni idadi ya makabila au waumini wa dini mbalimbali. Sioni faida yoyote kwa serikali ya Tanzania kujua kabila au dini fulani ina watu wangapi? Data nyingine kama za HIV/AIDS hizi zinapatikana bila ya kuwa na sensa through a normal research process. Kwangu mimi ni afadhali kwenye sensa kukawa na swali linahusu nyumba za nyasi na mbavu za mbwa au watu/kaya wanapata mlo mara ngapi kwa siku.
Najua kuna watu wanataka sana kujua details za makabila na dini ili waweze kutengeza strategies za siasa. I know you know them!
Wanabodi,
Data kuhusu Tanzania kwa mujibu wa CIA ni hizi
[TABLE="align: left"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD]Ethnic groups:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]mainland - African 99% (of which 95% are Bantu consisting of more than 130 tribes), other 1% (consisting of Asian, European, and Arab); Zanzibar - Arab, African, mixed Arab and African
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Languages:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]Kiswahili or Swahili (official), Kiunguja (name for Swahili in Zanzibar), English (official, primary language of commerce, administration, and higher education), Arabic (widely spoken in Zanzibar), many local languages note: Kiswahili (Swahili) is the mother tongue of the Bantu people living in Zanzibar and nearby coastal Tanzania; although Kiswahili is Bantu in structure and origin, its vocabulary draws on a variety of sources including Arabic and English; it has become the lingua franca of central and eastern Africa; the first language of most people is one of the local languages
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Religions:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Population:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]43,601,796 (July 2012 est.)
country comparison to the world: 30 note: estimates for this country explicitly take into account the effects of excess mortality due to AIDS; this can result in lower life expectancy, higher infant mortality, higher death rates, lower population growth rates, and changes in the distribution of population by age and sex than would otherwise be expected
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Age structure:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]0-14 years: 42% (male 9,003,152/female 8,949,061)
15-64 years: 55.1% (male 11,633,721/female 11,913,951)
65 years and over: 2.9% (male 538,290/female 708,445) (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Median age:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]total: 18.5 years
male: 18.2 years
female: 18.7 years (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Population growth rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]1.96% (2011 est.)
country comparison to the world: 55
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Birth rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]31.81 births/1,000 population (2011 est.)
country comparison to the world: 38
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Death rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]11.92 deaths/1,000 population (July 2011 est.)
country comparison to the world: 31
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Net migration rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]-0.29 migrant(s)/1,000 population (2011 est.)
country comparison to the world: 127
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Urbanization:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]urban population: 26% of total population (2010)
rate of urbanization: 4.7% annual rate of change (2010-15 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Major cities - population:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]DAR ES SALAAM (capital) 3.207 million (2009)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Sex ratio:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]at birth: 1.03 male(s)/female
under 15 years: 1.01 male(s)/female
15-64 years: 0.98 male(s)/female
65 years and over: 0.75 male(s)/female
total population: 0.98 male(s)/female (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Maternal mortality rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]790 deaths/100,000 live births (2008)
country comparison to the world: 12
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Infant mortality rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]total: 65.74 deaths/1,000 live births
country comparison to the world: 21 male: 72.42 deaths/1,000 live births
female: 58.87 deaths/1,000 live births (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Life expectancy at birth:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]total population: 53.14 years
country comparison to the world: 205 male: 51.62 years
female: 54.7 years (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Total fertility rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]4.02 children born/woman (2011 est.)
country comparison to the world: 39
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Health expenditures:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]5.1% of GDP (2009)
country comparison to the world: 136
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Physicians density:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]0.008 physicians/1,000 population (2006)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Hospital bed density:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]1.1 beds/1,000 population (2006)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]HIV/AIDS - adult prevalence rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]5.6% (2009 est.)
country comparison to the world: 12
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]HIV/AIDS - people living with HIV/AIDS:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]1.4 million (2009 est.)
country comparison to the world: 6
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]HIV/AIDS - deaths:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]86,000 (2009 est.)
country comparison to the world: 4
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Major infectious diseases:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]degree of risk: very high
food or waterborne diseases: bacterial diarrhea, hepatitis A, and typhoid fever
vectorborne diseases: malaria and plague
water contact disease: schistosomiasis
animal contact disease: rabies (2009)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Children under the age of 5 years underweight:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]16.7% (2005)
country comparison to the world: 45
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Education expenditures:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]6.8% of GDP (2008)
country comparison to the world: 18
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Literacy:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]definition: age 15 and over can read and write Kiswahili (Swahili), English, or Arabic
total population: 69.4%
male: 77.5%
female: 62.2% (2002 census)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]School life expectancy (primary to tertiary education):
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]total: 9 years
male: 9 years
female: 9 years (2007)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"]Unemployment, youth ages 15-24:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]total: 8.8%
country comparison to the world: 111 male: 7.4%
female: 10.1% (2005)
Nyingi ni za kubuni tuu ila ndizo zilizoko openi. Mfano tulipopata uhuru, tulikuwa na makabila 120, sasa wao wanasema tuna makabila 130, inamaana kuna makabila 10 yameongezeka, jee kuna yoyote mwenye kuyajua angalau majina ya hayo makabila 130?. Tunataka sensa iyajibu maswali haya!.
Data zao zinaonyesha kuwa Tanzania ndio nchi ya 6 duniani kwa Ukimwi?.
Tusiwategemee wazungu kutulisha kila kitu tena haya majasusi mabeberu ndio kabisa!, wana malengo yao!, sensa yetu ituletee kitu kitu!.
Allah Promised the Land of Israel to the Jews My weekly guest, I.Q. Al Rassooli, is an Arab originally from Iraq. Today, he lives in the West, at an unknown location to protect himself. He is an expert on the Koran, and because of this, he is no longer a Muslim. Here is what he wrote me showing that Allah promised the Land of Israel to the Jews. ----------------------------------------------------------------------
Al Israa 17: 104And We said thereafter to the Children of Israel "Dwell securely in the land (of promise)": *** Allah, in very clear Arabic, asserts that he fulfilled his promise to reward the People of Israel with the Promised Land, the same land that the later conquering hordes of Muhammadan Arabs claim as exclusively theirs CONTRARY to their own Quran *** Al Baqara 2:40O Children of Israel! call to mind the (special) favor which I bestowed upon you and fulfill your covenant with Me as I fulfill My covenant with you and fear none but Me. Al Baqara 2:47O Children of Israel! call to mind the (special) favor which I bestowed upon You and that I preferred you above the whole world Al Baqara 2: 122O Children of Israel! call to mind the special favor which I bestowed upon you and that I preferred you above the whole world. Al Dukhan 44: 30We did deliver aforetime the Children of Israel from humiliating Punishment 31Inflicted by Pharaoh for he was arrogant (even) among inordinate transgressors. 32And We chose them aforetime above all the nations knowingly Al Jathiyah 45:16 We did aforetime grant to the Children of Israel the Book (Torah), the Power of Command and Prophethood; We gave them for Sustenance things good and pure; and We favored them above all the nations Believers & Unbelievers, please be aware, that the Quran, in verse after verse, repeatedly and unambiguously asserts, that it was Allah & ONLY Allah who did the Choosing, contrary to the Hatemongering declarations by anti Jews, that it is the RACIST & ARROGANT Israelites and Jews who declare themselves the Chosen People *** Al Sajda 32: 23We did indeed aforetime give the Book (Torah) to Moses: be not then in doubt of its reaching (thee): and We made it a guide to the Children of Israel. *** Allah is telling the followers of Muhammad that he gave the Torah ONLY to the People of Israel as a guide *** Al Mumin 40: 53We did aforetime give Moses the (Book of) Guidance and We gave the Book (Torah) in inheritance to the Children of Israel. *** We gave the Book (Torah) in inheritance tothe Children of Israel means to them & their generations AFTER them *** And the last (but not least) GEM: Al Maida 5: 21"O my people! enter the holy land which Allah hath assigned unto you and turn not back ignominiously for then will ye be overthrown to your own ruin." It is obvious that Muhammad did not realize that his loose-leaf notes had fully captured and preserved though somewhat scrambled up from the more ancient accounts - actually verifying with detailed accounts, that the Israelites and the Jews had lived many centuries before him, settled and made their homeland as a nation in the very state of modern Israel & territories that have since been restored. These are the very lands that his followers absurdly deny had ever previously belonged to anyone else but themselves? In conclusion, based upon all the above, it is crystal clear, that contrary to the untested beliefs of hundreds of millions of Muhammadan Muslims in the world today, their Quran in fact, fully supports and verifies the claims of the Jews for the land of Israel as their ancient and rightful home and nation. Thus in a nutshell, the Quran is Zionist. I REST my CASE!
Mkuu Mwakalinga, with due respect, nimeuliza kuna ubaya gani kujua Watindiga wamebaki wangapi?. Kwa taarifa tuu, hivi jee unajua hadi wanyama wetu wenyewe tumefanyiwa sensa na wazungu?. Jee unajua ni wazungu ndio walijua tembo, mamba, vifaru wako kwenye hati hati ya kutoweka?. Kama mnyama tuu anahesabiwa ili alindwe, itakuwa makabila?.
Nimeuliza na please lets be genuine, put aside religious sentiments, nieleze kuna ubaya gani kujua idadi ya watu wa dini na makabila?.
Kwenye variables kuna kitu kinaitwa majority na minority, hivi unayo taarifa mpaka leo Tanzania hii, kuna makabila, hawalimi, hawapiki, wanaishi kwenye mapango na chakula chao ni matunda, mizizi na nyama mbichi?, unajua mahitaji yao ni unique?!, utajuaje kama hujawahesabu, au mpaka tusubiri wazungu waje watuambie watu wa kabila fulani ni endangered species?!.
Mipango miji wakipanga, wakatenga aneo la miskiti kwenye maeneo yenye nil muslim, huo msikiti utejengwa na kina nani and what for?!. Hao hao mipango miji, wanapaswa kutambua Muslim dorminated areas ili wareserve nafasi zaidi za misikiti!.
Pasco, hakuna ubaya wowote, you have made the point quite clear to the extent of being understood by a kindergarten pupil. Tatizo ni kwamba watu wanapinga kwa sababu ya religious sentiments only, and not objective reasons.
Kaka msg umeisoma ukiwa na mtizamo hasi, na hili ni tatizo siyo kwako tu bali hata kwa wenzako wengi. Msg haichochei kitu isipokuwa ni taarifa ya kiimani inayowahusu waislam, wewe kama siyo muislam hiyo msg haikuhusu na wewe jipange kuendelea na sensa. madai ya waislam ni ya kimsingi na hakuna hoja ya kuyafanya yaonekane kama hivyo unavyodhani. acha msg serikali imesha pewa taarifa ya kimaandishi kuwa kama sensa haitoweka vipengele muhimu basi mhesabiane nyinyi wenyewe wengi wakristo. Ni aibu kubwa sana kwenu kwani mitandao yenu mnajitangaza mko wengi sasa mwahofia nini kwa kipengere cha dini kuwekwa? Mrudieni Mungu, otherwise mtapotea.
Viongozi wa dini ya kiislam kuwashawishi waumini wao toshiriki sensa inaweza kuwa ni njia mojawapo ya kupata idadi ya waislam hata kama haitakuwa sahihi sana. Watatumia hesabu rahisi za projections na zile hesabu za sensa. Kama projections zinaonesha Watanzania tupo 44 milioni, halafu kutokana na sensa, waliohesabiwa wakawa 30 milioni, watajua kuwa waislam ni karibu 14 milioni. Kutoshiriki kwao kunaweza kuwasaidia kujua idadi yao (kwa usahihi wa kiwango fulani) kuliko wakishiriki sensa.
Mimi binafsi sioni shida kama serikali ikaamua kuwasikiliza viongozi wa waislam huku ikifahamika kuwa kumsikiliza mtu si lazima umkubalie. Wawasikilize, wapime hoja zao, na kubwa zaidi ni dhamira yao. Kama dhamira yao ni njema, wanaweza kuwakubalia kuongeza kipengere wanachotaka lakini kama nia yao ni kuleta chokochoko na migogoro ya kidini, siyo tu wasisikilizwe bali pia wadhibitiwe kwa kosa la kusudio la kuvunja umoja wa Taifa letu.
Waislam kutokuwa na mfumo wa ndani wa kujua waumini wao kama walivyo wenzao wakristo isiwe sababu ya kuwakatalia kila kitu. Wao nao ni sehemu ya Watanzania, kutokuwa na mfumo wa kuwatambua waumini wao bila ya kutegemea sensa za kitaifa kama ilivyo kwa wakristo, isiwe sababu ya kupuuza maombi yao. Maana ni ukweli usiopingika kuwa taasisi za kidini za kikristo nchini zimejengeka na kuimarika sana ukilinganisha na taasisi za kiislam. Jukumu letu kubwa kama Watanzania, sote tukiwa na dhamira njema ni kuhakikisha taasisi hizi zenye athira katika mstakabali wetu zinajengeka, zinatambulika na kuongozwa. Taasisi za kiislam zisipoimarika kama zile za wenzao wa kikristo, na zikaweza kuwa na miongozo thabiti, ni rahisi sana watu wenye nia mbaya kuingia na kuzitumia kwa dhamira mbaya. Ningependa viongozi wa dini ya kiislam wenye nia njema kuwa na mawasiliano mazuri na wenzao wa kikristo ili kujifunza namna ya kujenga mifumo ya ndani ambayo haihusiani na mambo ya kiimani. Waislam wakiweza kuwa na mifumo ya ndani iliyoimarika, hata malalamiko na maombi ya kufanyiwa kila kitu na serikali yatapungua.
Na kwa viongozi wa dini ya kiislam, unapoomba unastahili zaidi kujenga hoja ili maombi yako yakubaliwe. Huwezi kuomba kwa vitisho, huko ni kukosa hekima. Serikali ina wajibu wa kutambua idadi ya watu wake lakini hailazimiki kutambua watu kwa makundi yao kama vile dini, kabila au koo. Nimetumia zaidi neno la 'viongozi wa dini ya kiislam' kwa vile sina uhakika kama haya ni matakwa ya waislam wote.
Pasco, hakuna ubaya wowote, you have made the point quite clear to the extent of being understood by a kindergarten pupil. Tatizo ni kwamba watu wanapinga kwa sababu ya religious sentiments only, and not objective reasons.
Ndiyo maana nasema, viongozi wa waislam wasikilizwe. Hakuna ubaya kabisa wa kujua idadi ya waumini wa dini mbalimbali au makundi mbalimbali katika jamii yetu. Ombi la viongozi wa waislam likataliwe endapo tu kuna uhakika wa kutaka kuzitumia takwimu za sensa kwa nia mbaya, na hata katika hilo ni lazima kupima kwa ulinganifu, yaani faida na hasara za kufanya au kutofanya sensa ya namna hiyo. Viongozi wa waislam wana hoja lakini wapunguze munkari na mashinikizo. Wanachokiomba siyo kitu cha ajabu.
Ukweli ni kwamba dodoso lilishatengenezwa limeshakuwa CODED na kuwa pre-tested (piloted), hivyo haliwezi kuongezwa wala kupunguzwa hata kipengele kimoja. Wale ambao mnafanya utafiti mnafahamu mchakato wa kutengeneza madodoso.
Kama hiyo kampeini ya waislamu itafanikiwa ninasubiri kwa hamu kuona ZNZ katika sensa 2012 itakuwa na watu wangapi? Yangu macho.
Ndiyo maana nasema, viongozi wa waislam wasikilizwe. Hakuna ubaya kabisa wa kujua idadi ya waumini wa dini mbalimbali au makundi mbalimbali katika jamii yetu. Ombi la viongozi wa waislam likataliwe endapo tu kuna uhakika wa kutaka kuzitumia takwimu za sensa kwa nia mbaya, na hata katika hilo ni lazima kupima kwa ulinganifu, yaani faida na hasara za kufanya au kutofanya sensa ya namna hiyo. Viongozi wa waislam wana hoja lakini wapunguze munkari na mashinikizo. Wanachokiomba siyo kitu cha ajabu.
Wameshasikilizwa na hoja zao zimekataliwa. Kama dini na yenyewe ingekuwa inatumika kwenye kupanga sera/mipango ya serikali ingekuwa ni sawa , lakini haitumiki.
Pasco, CIA wanaweka data wanazohitahiji wao. Wana sababu ya kujua/kubuni idadi ya makabila au waumini wa dini mbalimbali. Sioni faida yoyote kwa serikali ya Tanzania kujua kabila au dini fulani ina watu wangapi? Data nyingine kama za HIV/AIDS hizi zinapatikana bila ya kuwa na sensa through a normal research process. Kwangu mimi ni afadhali kwenye sensa kukawa na swali linahusu nyumba za nyasi na mbavu za mbwa au watu/kaya wanapata mlo mara ngapi kwa siku.
Najua kuna watu wanataka sana kujua details za makabila na dini ili waweze kutengeza strategies za siasa. I know you know them!
Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
my take
message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
Sasa naanza kuamini kuwa Allah huenda sio huyu Mungu wetu tunaye muabudu. Yaani Allah anasubiri kutoa cha moto kwa atakaye shiriki Sensa., kaazi kweli ndugu zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.