Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
- Thread starter
- #101
Pilau litakuwepo lazima mtajitokeza tuuhayakuhusu shughulikia na ya kwako!
Pilau litakuwepo lazima mtajitokeza tuuhayakuhusu shughulikia na ya kwako!
Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
my take
message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
Wewe unataka Liwe na kipengele cha dini Kama wanavyotaka wenzetu Waislamu ?Mimi ni mkristo na ninawaunga mkono hawa wanaogoma kuhesabiwa kwa sababu niano ushahidi kuwa tayaro matokeo ya sensa yameashachakachuliwa kwa faidi ya CCM katika uchaguzi ujao 2015 kama yalivyochakachuliwa kwa faidi ya CCM katika chagzui zilizopita ikiwemo ule wa 2010. Binafsi mimi sensa iliyopita sikuhesabiwa licha ya kukesa nyumbani kwa wiki nzima nikiwangoja haoa wanaohesabu. Maokeo idadi ya watu waliotangazwa kuwepo DSM ilikuwa kichekesho kitupu
Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
my take
message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
vyema unge comment kwa heshima bila ya kujumlisha waislam, hao waliotoa tamko hilo je wana ridhaa ya waislam wote? jitahidi kuwa na tafakuri zaidi kabla ya ku post madudu na kashfa kwa jamii nzima badala ya walengwa. ingekuwa wana ridhaa ya waislam wote wala kusingekuwa na mjadala kwa kuwa hata mh rais ni mwislam na angeiamuru tu hiyo tume ya sensa kuingiza hicho kipengele. pls kuwa makini zaidiWaislamu ni watu wa ajabu sana, Ok sensa imehesabu waislamu ni 87% what next? Barabara zitakuwa ni ten ways au mafuta yatashuka bei?
Wewe unataka Liwe na kipengele cha dini Kama wanavyotaka wenzetu Waislamu ?
Kaka msg umeisoma ukiwa na mtizamo hasi, na hili ni tatizo siyo kwako tu bali hata kwa wenzako wengi. Msg haichochei kitu isipokuwa ni taarifa ya kiimani inayowahusu waislam, wewe kama siyo muislam hiyo msg haikuhusu na wewe jipange kuendelea na sensa. madai ya waislam ni ya kimsingi na hakuna hoja ya kuyafanya yaonekane kama hivyo unavyodhani. acha msg serikali imesha pewa taarifa ya kimaandishi kuwa kama sensa haitoweka vipengele muhimu basi mhesabiane nyinyi wenyewe wengi wakristo. Ni aibu kubwa sana kwenu kwani mitandao yenu mnajitangaza mko wengi sasa mwahofia nini kwa kipengere cha dini kuwekwa? Mrudieni Mungu, otherwise mtapotea.
Ye yote anayemsingizia Mungu ndiye atapata malipo halali akhera!Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
my take
message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
muislam mwenye akili timam hawezi kutii meseji hyo iloyotolewa na watu wenye mawazo mgando na fikra finyu la kuleta mpasuko wa kidini nchini mwetu tuwakatae na mawazo hasi na yakupotosha.wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"waislam wote ni marufuku kushiriki ktk zoezi la sensa.atakayekiuka waraka huu atakiona cha moto mbele ya allah."
my take
message kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote
Nasikia wameshaanza kufanya sensa Yaomuislam mwenye akili timam hawezi kutii meseji hyo iloyotolewa na watu wenye mawazo mgando na fikra finyu la kuleta mpasuko wa kidini nchini mwetu tuwakatae na mawazo hasi na yakupotosha.
Yaani wewe ni mweupe kichwani sijapata kuona, si kila lisemwalo na waislam basi wewe upinge hata kama huna hoja.
soma hii sensa ya india iliyoweka na dini, soma matokeo yake kisha nambie je, hauhitaji kufanya intervention kwa baadhi ya maeneo, kielimu, kiafya, kiuchumi ili kuwainua wananchi wa taifa kiujumla?
http://censusindia.gov.in/Ad_Campaign/drop_in_articles/04-Distribution_by_Religion.pdf
Viongozi wa dini ya kiislam kuwashawishi waumini wao toshiriki sensa inaweza kuwa ni njia mojawapo ya kupata idadi ya waislam hata kama haitakuwa sahihi sana. Watatumia hesabu rahisi za projections na zile hesabu za sensa. Kama projections zinaonesha Watanzania tupo 44 milioni, halafu kutokana na sensa, waliohesabiwa wakawa 30 milioni, watajua kuwa waislam ni karibu 14 milioni. Kutoshiriki kwao kunaweza kuwasaidia kujua idadi yao (kwa usahihi wa kiwango fulani) kuliko wakishiriki sensa.
Mimi binafsi sioni shida kama serikali ikaamua kuwasikiliza viongozi wa waislam huku ikifahamika kuwa kumsikiliza mtu si lazima umkubalie. Wawasikilize, wapime hoja zao, na kubwa zaidi ni dhamira yao. Kama dhamira yao ni njema, wanaweza kuwakubalia kuongeza kipengere wanachotaka lakini kama nia yao ni kuleta chokochoko na migogoro ya kidini, siyo tu wasisikilizwe bali pia wadhibitiwe kwa kosa la kusudio la kuvunja umoja wa Taifa letu.
Waislam kutokuwa na mfumo wa ndani wa kujua waumini wao kama walivyo wenzao wakristo isiwe sababu ya kuwakatalia kila kitu. Wao nao ni sehemu ya Watanzania, kutokuwa na mfumo wa kuwatambua waumini wao bila ya kutegemea sensa za kitaifa kama ilivyo kwa wakristo, isiwe sababu ya kupuuza maombi yao. Maana ni ukweli usiopingika kuwa taasisi za kidini za kikristo nchini zimejengeka na kuimarika sana ukilinganisha na taasisi za kiislam. Jukumu letu kubwa kama Watanzania, sote tukiwa na dhamira njema ni kuhakikisha taasisi hizi zenye athira katika mstakabali wetu zinajengeka, zinatambulika na kuongozwa. Taasisi za kiislam zisipoimarika kama zile za wenzao wa kikristo, na zikaweza kuwa na miongozo thabiti, ni rahisi sana watu wenye nia mbaya kuingia na kuzitumia kwa dhamira mbaya. Ningependa viongozi wa dini ya kiislam wenye nia njema kuwa na mawasiliano mazuri na wenzao wa kikristo ili kujifunza namna ya kujenga mifumo ya ndani ambayo haihusiani na mambo ya kiimani. Waislam wakiweza kuwa na mifumo ya ndani iliyoimarika, hata malalamiko na maombi ya kufanyiwa kila kitu na serikali yatapungua.
Na kwa viongozi wa dini ya kiislam, unapoomba unastahili zaidi kujenga hoja ili maombi yako yakubaliwe. Huwezi kuomba kwa vitisho, huko ni kukosa hekima. Serikali ina wajibu wa kutambua idadi ya watu wake lakini hailazimiki kutambua watu kwa makundi yao kama vile dini, kabila au koo. Nimetumia zaidi neno la 'viongozi wa dini ya kiislam' kwa vile sina uhakika kama haya ni matakwa ya waislam wote.
Mkuu Mwakalinga, with due respect, nimeuliza kuna ubaya gani kujua Watindiga wamebaki wangapi?. Kwa taarifa tuu, hivi jee unajua hadi wanyama wetu wenyewe tumefanyiwa sensa na wazungu?. Jee unajua ni wazungu ndio walijua tembo, mamba, vifaru wako kwenye hati hati ya kutoweka?. Kama mnyama tuu anahesabiwa ili alindwe, itakuwa makabila?.
Naendelea kuuliza. kuna ubaya gani kujua?
Yaani wewe ni mweupe kichwani sijapata kuona, si kila lisemwalo na waislam basi wewe upinge hata kama huna hoja.
soma hii sensa ya india iliyoweka na dini, soma matokeo yake kisha nambie je, hauhitaji kufanya intervention kwa baadhi ya maeneo, kielimu, kiafya, kiuchumi ili kuwainua wananchi wa taifa kiujumla?
http://censusindia.gov.in/Ad_Campaign/drop_in_articles/04-Distribution_by_Religion.pdf
Ama sehemu niliyo bold ni kwamba uko sahihi kabisa kuwa wakristo wako fiti ktk mipango na hii usiione kama mshangao sana bali jua huo ni unyonyaji ambao ulipangwa na baadhi ya waumini wa kikristo waliokuwa na nafasi za juu serikalini za kuwawekea pekee wakristo MoU ambapo kila mwaka serikali inalazimika kuchota billions of money kuwapa wao wajiendeleze hali ya kuwa jamii nyingine inaachwa nyuma, hiyo ndiyo sababu kubwa. Pia kuhusu wakristo kufanya sensa ni sahihi inawezekana ila tatizo lilipo ni kwamba kwanini wanapo weka takwimu zao huweka pia na za waislam? ivi unaweza kuniambia lini waliwahesabu waislam? Mwisho napenda kusema kuwa uvunjifu wa amani unaweza kutengenezwa na serikali kwa kuachilia upande mmoja ukafanya vile wapendavyo na serikali ikafata na kuacha upande mwingine wa jamii ukinung'unika kwa kutokutendewa haki, suala la wakristo kutoa takwimu za watanzania kwa mujibu wa dini zao na serikali isitoe tamko juu ya hilo hakika ni kukosea. Kuna takwimu ambazo huwa ni image na Nation si sahihi kila mtu ajifanyie sensa kwani utakosa report iliyo sahihi.
Kuna mtu nilimuuliza kuhusu hicho kitu lakini sikupata majibu. Ni lini na kiongozi yupi wa Kanisa alitoa hizo takwimu? Tungependa kuziona hapa au kama hamnazo mtoe maelezo ya kueleweka.Kaka nimekusoma na nimekuelewa vyema, mimi binafsi nimekubaliana na ushauri wako kwa serikali, japo kwa upande wa viongozi wa kiislam umewaonea kwa kudhani kuwa wamewahi sana kutumia nguvu kitu ambacho si kweli, sema tatizo la media zetu huegemea upande mmoja katika kutoa taarifa zilizopo katika jamii, waislam walitoa mapendekezo yao na wakafata taratibu sitahiki na serikali ikapanga kikao cha kukutana na viongozi wa dini zote matokeo yake serikali hiyo hiyo ikawapiga chenga viongozi wa kiislam na ikafanya mkutano na viongozi wa kikristo pekee, viongozi wa kiislam walipohoji wasira akawajibu kwa dharau sana kuwa eti tuliwaita na nyie hamkuja, pamoja na hayo yote viongozi wetu hawakukata tamaa waliwasiliana na serikali kukawa na kikao kingine kilichofanyika dodoma na ndio wawakilishi wa serikali hawakutumia busara katika kujibu hoja zilizowasilishwa mbele yao.
Ama sehemu niliyo bold ni kwamba uko sahihi kabisa kuwa wakristo wako fiti ktk mipango na hii usiione kama mshangao sana bali jua huo ni unyonyaji ambao ulipangwa na baadhi ya waumini wa kikristo waliokuwa na nafasi za juu serikalini za kuwawekea pekee wakristo MoU ambapo kila mwaka serikali inalazimika kuchota billions of money kuwapa wao wajiendeleze hali ya kuwa jamii nyingine inaachwa nyuma, hiyo ndiyo sababu kubwa. Pia kuhusu wakristo kufanya sensa ni sahihi inawezekana ila tatizo lilipo ni kwamba kwanini wanapo weka takwimu zao huweka pia na za waislam? ivi unaweza kuniambia lini waliwahesabu waislam?Mwisho napenda kusema kuwa uvunjifu wa amani unaweza kutengenezwa na serikali kwa kuachilia upande mmoja ukafanya vile wapendavyo na serikali ikafata na kuacha upande mwingine wa jamii ukinung'unika kwa kutokutendewa haki, suala la wakristo kutoa takwimu za watanzania kwa mujibu wa dini zao na serikali isitoe tamko juu ya hilo hakika ni kukosea. Kuna takwimu ambazo huwa ni image na Nation si sahihi kila mtu ajifanyie sensa kwani utakosa report iliyo sahihi.
Aisee, kurani bwana, kumbe inakataza kuhesabiwa!! Mbona sensa nyingine walihesabiwa?... Msg haichochei kitu isipokuwa ni taarifa ya kiimani inayowahusu waislam, ...