Message kwa waafrika wanaoishi Israel

Message kwa waafrika wanaoishi Israel

Angalia jinsi ulivyo mpumbavu ni nani hapa duniani mwenye haki ya kumbagua binadamu yeyote yule eti kwa vile huyo mbaguzi ni ardhi yake na anayebaguliwa si ardhi yake!!! Fungua akili yako ya kitaahira ujue utumwa na ubaguzi unapigwa vita kila mahali duniani. Huu ni mwaka 2015 na siyo karne ya 15 ambapo utumwa na ubaguzi ulishamiri duniani kwa sababu tu ya tabaka fulani kwa watu kujiona ni bora kuliko matabaka mengine kutokana tu na ngozi yao. Uwe unasoma mabandiko hapa ili uelewe uchangiaji wa wanachama mbali mbali baadaya kukurupuka na kuandika uozo usiokuwa na ukweli wowote ule. Mstaarabu utakuwa wewe ambaye unaona Waafrika wenzako wanabaguliwa na wewe unadai eti huwezi kuwa kwenye nchi ya watu halafu uwapangie namna ya kuishi!!! Wewe kweli ni juha wa mwisho ukiwa nchi za watu hata ukiambiwa utembee uchi barabarani basi utafanya hivyo kwa sababu tu uko nchi ya watu huwezi kuwaamulia mfumo wa maisha hata kama mfumo huo umejaa ubaguzi na unyanyasaji wa hali ya juu. Acha akili za kushikiwa fungua akili yako iliyojaa utaahira ili uweze kuchanganua mambo kwa kina na si kwa kutumia elimu MULUGO division 5.

Kwani wao hawaui watu tena wanachinja kabisa vipi wewe

swissme
 
I don't believe in a religion or follow any religion. I am Christian and Christianity is not a religion. You are still confused.

Thank you Mr Christian, and continue to believe in whatever it fits you and I respect you. I choose to believe in myself not jesus, I take responsibility for my actions and when I am in peril I turn to myself not god because he wont do anything.
 
Na kwa taarifa yako kupinga ubaguzi popote pale duniani those are not BAK's values those are the values of so many people around the World who would like to see all human beings are treated equally all over the World.


Wewe ndiye inabidi uache kuwa mpumbavu na kuanza ku-impose your values on others.Huwezi kumlazimisha mtu aishi unavyotaka tena kwenye ardhi yake.Yakikushinda rudi kwenu,ebo!Kumbe unajua kuwa mnaua albino,hujamaliza ku-settle issues zako kwenu,unaanza kuvamia mambo ya wanaume?
Halafu unadhani kila mtu anakujua hapa jf,vipi mkuu mbona una fikra za kipimbi wewe?Nadhani unataka matusi badala ya kujadiliana hoja kistaarabu.Haya njoo tuendelee mkuu!
 
Kuna hii general tendency ya sisi waafrika kulaumu wengine hasa wazungu kwa ubaguzi,ilhali wenyewe ni wabaguzi wa kutupwa.Kama mtu hakutaki kwake kwanini ung'ang'anie?Tuanze sisi wenyewe kutobaguana kwanza;tuache ubinafsi na ufisadi,tujenge uchumi wetu vizuri,tuboreshe huduma za kijamii ili nao waje kwetu kutafuta maisha.
Wewe unashangaa hayo ya wanawake,lakini ushangai mauaji ya albino hapa yasiyo na mwisho,kina mama kufa kila kukicha wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora za afya na vifo vingine vingi vya kinyama ambavyo vingeweza kuzuilika?..acha hizo wewe!

Sasa mfano kma wakina Balotelli, lil wayne nao waende wapi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hajitambui huyu! Anakurupuka na kuandika pumba bila kutafakari yeye kwa dhana yake kila mweusi ambaye anaishi nje ya Afrika basi ana kwao Afrika. Mpuuzi sana huyu jamaa.

Sasa mfano kma wakina Balotelli, lil wayne nao waende wapi?
 
Angalia jinsi ulivyo mpumbavu ni nani hapa duniani mwenye haki ya kumbagua binadamu yeyote yule eti kwa vile huyo mbaguzi ni ardhi yake na anayebaguliwa si ardhi yake!!! Fungua akili yako ya kitaahira ujue utumwa na ubaguzi unapigwa vita kila mahali duniani. Huu ni mwaka 2015 na siyo karne ya 15 ambapo utumwa na ubaguzi ulishamiri duniani kwa sababu tu ya tabaka fulani kwa watu kujiona ni bora kuliko matabaka mengine kutokana tu na ngozi yao. Uwe unasoma mabandiko hapa ili uelewe uchangiaji wa wanachama mbali mbali baadaya kukurupuka na kuandika uozo usiokuwa na ukweli wowote ule. Mstaarabu utakuwa wewe ambaye unaona Waafrika wenzako wanabaguliwa na wewe unadai eti huwezi kuwa kwenye nchi ya watu halafu uwapangie namna ya kuishi!!! Wewe kweli ni juha wa mwisho ukiwa nchi za watu hata ukiambiwa utembee uchi barabarani basi utafanya hivyo kwa sababu tu uko nchi ya watu huwezi kuwaamulia mfumo wa maisha hata kama mfumo huo umejaa ubaguzi na unyanyasaji wa hali ya juu. Acha akili za kushikiwa fungua akili yako iliyojaa utaahira ili uweze kuchanganua mambo kwa kina na si kwa kutumia elimu MULUGO division 5.

Wewe pimbi endelea kutoka povu tu,lakini ukweli ni kwamba hii dunia ni mbwa kala mbwa,mwenye kisu ndiye anakula nyama.Hakuna fairness na haitatokea.Kama kwako tu hakuna khaki,usitegemee kelele zako za kwenye mitandao ndiyo zitaleta haki Israel.

Unaacha kukabiliana na uhalisia wa maisha through practical experience unaendekeza ujuaji tena wa kukariri vitabu vilivyoandikwa na haohao unaojifanya kuwakosoa.Hao Waisrael wameikalia Palestine hapo kwa madai kuwa ni nchi yao ya ahadi,ilhali mataifa kama Marekani na Australia hayajamaliza hata karne tatu na hakuna mtu ananyoosha kidole kusema muondoke siyo kwenu hapa.

sasa we choko eti unajifanya ni human rights watchdog kwenye viwanja vya watu,pumbaf kabisa
 
Sasa mfano kma wakina Balotelli, lil wayne nao waende wapi?

Issue hapa ni kulaumu wengine ni wabaguzi kuliko wewe.Kila mtu ni mbaguzi hapa duniani kwa maana pana ya ubaguzi.Tuache kwanza kubaguana wenyewe kwa wenyewe kabla ya kuanza kushambulia wengine kuwa ni wabaguzi kwenye nchi zao.

Baloteli na Lil Wayne wanaweza kuwa wabaguzi kwa waafrika wenzao kuliko hata hao wazungu na hata pengine kwa umaarufu na pesa zao kama wangekubalika na wasingekuwa wanabaguliwa na wazungu,kwa hulka ya Muafrika apatapo mafanikio;basi wao ndiyo wangekuwa wa kwanza kuonyesha ubaguzi hadharani kwa Waafrika wenzao wasio na mafanikio kama wao
 
Mimi sijui nikoje, mbona naona poa tu. Kwani mimi nikikataa watu fulani kuja nyumbani kwangu ni kosa? Sasa inakueje wa israel,wazungu wengine wanapokataa mataifa mengine waje kulowea kwao iwe issue. Wewe kama mtanzania au msomali una haki gani ya kudai ukae huko kama sio mkimbizi?
Kwenu mharibu halaf muende kwa wenzenu mdai haki ya kukaa huko. Its ridiculous na mimi sielewi kabisa naomba kujulishwa.

Mkuu, yaani imetoa points za ukweli tu, wabheja sana nkoi!
 
Unaendeleza tena kuandika upuuzi wako, kuwepo na watu wenye akili finyu kama wewe punguani kudai kwamba ni haki ya wenye nchi kuwabagua wasio wenye nchi kamwe ubaguzi hautaisha duniani. Kwa taarifa yako hata Wazungu wengi nchi mbali mbali duniani wanakemea ubaguzi kwa nguvu zote. Mfano wa Mandela ambaye nchi nyingi za magharibi walimuona ni gaidi na kumbagua kwa kila hali lakini kutokana na watu wengi wa kawaida kumpigania Mandela wengi wakaanza kumwelewa na kumuunga mkono kwenye mapambano yake na hatimaye hata zile nchi ambazo zilimuona Mandela ni gaidi zikamkubali na kumuona shujaa, lakini dunia hii ingekuwa imejaa mapunguani kama wewe Mandela angeendelea kuonekana gaidi mpaka kufa kwako. Jitambue jithamini ili uweze kusimamia haki yako na haki ya wanadamu wenzio popote pale duniani badala ya kuonyesha utaahira wako kwamba kwa sababu "hawa ndio wenye ardhi" basi wana haki ya kufanya ubaguzi wa aina yoyote. Akili yako inaonyesha jinsi ilivyojaa kamasi na hivyo kuandika uozo uliopitiliza.

Wewe pimbi endelea kutoka povu tu,lakini ukweli ni kwamba hii dunia ni mbwa kala mbwa,mwenye kisu ndiye anakula nyama.Hakuna fairness na haitatokea.Kama kwako tu hakuna khaki,usitegemee kelele zako za kwenye mitandao ndiyo zitaleta haki Israel.

Unaacha kukabiliana na uhalisia wa maisha through practical experience unaendekeza ujuaji tena wa kukariri vitabu vilivyoandikwa na haohao unaojifanya kuwakosoa.Hao Waisrael wameikalia Palestine hapo kwa madai kuwa ni nchi yao ya ahadi,ilhali mataifa kama Marekani na Australia hayajamaliza hata karne tatu na hakuna mtu ananyoosha kidole kusema muondoke siyo kwenu hapa.

sasa we choko eti unajifanya ni human rights watchdog kwenye viwanja vya watu,pumbaf kabisa
 
Baba yako na mama yako ndio machoko. Mpumbavu mkubwa wewe mxciuuuuuuu

Wewe pimbi endelea kutoka povu tu,lakini ukweli ni kwamba hii dunia ni mbwa kala mbwa,mwenye kisu ndiye anakula nyama.Hakuna fairness na haitatokea.Kama kwako tu hakuna khaki,usitegemee kelele zako za kwenye mitandao ndiyo zitaleta haki Israel.

Unaacha kukabiliana na uhalisia wa maisha through practical experience unaendekeza ujuaji tena wa kukariri vitabu vilivyoandikwa na haohao unaojifanya kuwakosoa.Hao Waisrael wameikalia Palestine hapo kwa madai kuwa ni nchi yao ya ahadi,ilhali mataifa kama Marekani na Australia hayajamaliza hata karne tatu na hakuna mtu ananyoosha kidole kusema muondoke siyo kwenu hapa.

sasa we choko eti unajifanya ni human rights watchdog kwenye viwanja vya watu,pumbaf kabisa
 
Top 12 Most Racist Countries in the World

As humans, we have come a long way and we have overcome a lot of great difficulties. Be it war, disease, natural calamities, man-made disasters, you name it and we have crossed it. But over all these years, we seem to have missed the point that all the tragedies that we come to face with are making. It is us humans and the hate we broil so passionately within ourselves, that causes most of the destruction. All though the international community is doing its best to spread the message of love, it seems to be falling on deaf ears – rape, murders, racism, homophobia, war crimes are everyday events even today. And out of these, racism is something that no one deserves to endure. Racism is basically prejudice and discrimination against the people of a certain race. Although we have gotten over the radical racism, it still prevails in many parts of the world Here are some of the most racist countries in the world –
12. South Africa


A country can only do so much to end racism and it is a rather sad and a heart-breaking fact that racism in South Africa has out-lived Mandela, who tried so hard all his life to end racism in the country. Thanks to the Anti-Apartheid movement, the legal framework of the nation has been changed and now racism is illegal but it is still a fact of life. People in South Africa are known to be racists and in some places, rates of products and good are decided depending on the race of a person. Recently, a group of people who were inciting violence against White were caught in SA. It just goes to show that a thing like racism is something beyond a legal framework.
11. Saudi Arabia


Being a rich country, Saudi Arabia has some obvious advantages over the poor and the developing nations. But Saudi Arabia exploits these benefits to reap it all for itself. Saudi Arabia has been known to have laborers from developing countries like Bangladesh, India, Pakistan etc, and these people are treated and are living in sub-human conditions. Apart from this, the Saudi nationals are racist towards the poorer Arab countries and recently, after the Syrian revolution, many Syrians have taken refuge in Saudi and are treated very badly. The sad part is that these victims can go nowhere with their grievances.
10. United States of America


The land of the free and the land of the brave also happens to be the land of some of the most racist people in the world. Although the picture we see of USA is through a rose-tinted glass and it all seems flowers and butterflies, the actual case is quite different. In the Deep South and Mid-West regions like Arizona, Missouri, Mississippi etc, racism is an everyday thing. Be it against Asians, Africans, South Americans or even the actual people of USA – the Native Americans. Cases of hate and hate due to color of skin are ever-increasing and unless we change the mentality of the people, no law is going to change anything.
9. United Kingdom


We guess they probably still have superiority complex given that at one point of time in history, the British almost ruled the entire world. UK is one of the most racist countries in the world even today, especially racist towards what they call "Desi" people. This includes people hailing from the Indian subcontinent. Apart from that, they show hatred towards Americans, whom they spitefully call ‘Yankees' and towards French, Romanians, and Bulgarians etc. Shockingly, even today, the propaganda of a political party in the UK is based on the lines of whether a person would want immigrants as their neighbors which leads to hate towards people and towards racism.
8. Australia


Australia doesn't seem like a country that can be racist but no one knows the bitter side better than Indians. Most of the people who live in Australia have migrated there from other countries. And yet, they feel that any new person who migrates or moves to Australia to make a living should return to their home countries. In 2009, there were many cases in Australia wherein Indians were targeted and harassed. Almost 100 cases were filed and in 23 cases, there were racial undertones. The laws were made stricter and the situation has gotten much better now. But such incidences only go on to show how selfish us human beings can become to satisfy our own needs while harming others.
7. Rwanda



The Rwanda genocide of 1994 is a mark of shame in the human history. It was a ghastly time where two ethnic races of Rwanda were at loggerheads and this conflict resulted in the outright and blatant slaughtering of over 800,000 people in Rwanda. The two tribes, Tutsi and Hutu were the ones involved where the Tutsi tribe was the victims and the Hutu tribe was the perpetrators. Tensions exist between the two even today and even a small spark can ignite the fore of blood and hate in the country.
6. Japan


Japan today is a very well developed first world country. But the fact that it still suffers from xenophobia sets it back by many years. Although according to Japanese laws and regulation, racism and discrimination is not allowed, but the government itself practices what is called "positive discrimination". It has very low tolerance for refugees and people from other countries. It is also a known fact that Japan tries its best to not allow entry to Muslims in their country as they think that Islam is not compatible with their culture. Such blatant cases of discrimination are prevalent in the country and nothing is being done about it.
5. Germany


If you sow hate, you will only reap hate and Germany stands as the living example of what influencing people's mind with hate can do. Today, long after the reign of Hitler, Germany remains one of the most racist countries in the world. They have a sense of hatred towards all foreigners and still believe in German supremacy. The neo-Nazis still exist even today and openly talk of anti-Semitic ideas. The believes of these Neo-Nazis can come as a rude awakening to those who think that Germany's racist tendencies died with Hitler. The German Government and the UN are both doing their best to retain these underground activities.
4. Israel


Israel has been in the midst of controversy for many many years now. And it has been so because of the crimes committed against the people of Palestine and the Israeli Arabs. After the World War 2, a new state was carved for the Jews and the original inhabitants of the land were forced to become refugees in their own land. Thus began the ongoing conflict between Israel and Palestine. But today, we can very well see how Israel has been ill-treating the people and discrimination on any grounds.
3. Russia


In Russia, a lot of Xenophobia and ‘nationalist' feelings still prevail. Even today, Russians are racist towards the people whom they feel are not ethnically and truly Russians. Apart from that, they are racist towards Africans, Far Asians, Caucasians, Chinese etc. It culminates with hate and later develops into gross crimes against humanity. The Russian government, along with UN have tried to do their best to stop such incidences of racism but they still continue to take place in not only the remote places but also big cities.
2. Pakistan


Pakistan is an Islamic majority country and even then, there are many conflicts that take place there between the two sects of Shia and Sunni. There have been crimes between the two sects for ages and nothing is being done about it. Apart from that, the long war with the neighbor India is something that is known to all the world. There have been incidences of racism between Indians and Pakistanis. Apart from that, other races like Africans and Latin Americans are also discriminated against.
1. India



A land of so much diversity is also the most racist country in the world. Indians are the most racist people in the world and even today, a child born in the Indian family is taught to worship anyone with white skin and look down upon anyone with dark skin. And thus was born the Indian racism against Africans and other dark skinned people. A fair skinned foreigner gets treated like a god and a dark skinned one is treated very badly.Among Indians themselves too there are conflicts between castes and people from different regions like the problem between Marathi Manoos and Biharis. And yet, Indians won't accept this fact and boast about the culture and diversity and acceptance. It is high time we open our eyes to what the situation truly is and take the saying "Athithi Devo Bhava" (Guest is God) in a positive manner.
Such a list can only show us that no matter what laws and rules exist, no paper can change us. We have to change ourselves and our mentality for a better tomorrow and to ensure that no lives are further harmed for the selfishness of for the egotism of some.


Related posts:


source.Top 12 Most Racist Countries in the World - Listovative

 
BAK
Wewe ni mpumbavu,vile hujui na hujui kuwa hujui huku ukijifanya unajua.Kuandika kwako hapa jf hakutamaliza ubaguzi,ubaguzi ulikuwepo tangia BCE huko hata kabla ya Yesu kuja ulimwenguni,upo na utaendelea kuwepo sehemu zote duniani hapa mpaka mwisho wa dunia hii(kama kweli kuna mwisho)

Halafu ulivyokuwa bwe-ge eti unadhani mzungu akishika bango kupinga muafrika kubaguliwa na mzungu mwenzake basi kweli anamaanisha hapendi ubaguzi na anakupenda kweli wewe muafrika.Hujui kwamba wazungu wengi ni wanafikh tu,atakuwa rafiki yako kama kuna maslahi atapata kutoka kwako.

Umerudia tena kuweka uharo kwa kutumia mfano wa Mandela.Unaamini kabisa wazungu wanamuona hero kwavile alikuwa anapinga ubaguzi wa rangi Afrika Kusini?We kweli mwehu na vile western media ilivyoku brainwash,unaeza kuwa choko kweli wewe

Kaza buti mazee acha kulialia duniani hapa,utakuja olewa na wanamuwe,we shauri yako tu!
 
Last edited by a moderator:
Akili nyingine za kitaahira hivi unadhani kuna formula ya kuweza kuumaliza ubaguzi duniani!? Ingekuwa hivyo basi Mandela angeendelea kuonekana gaidi.

Taahira wewe hujui unenalo unabwabwaja povu tu. Siyo kila mzungu ni mbaguzi kama udhaniavyo wewe vinginevyo nchi nyingi za za Wazungu Mandela angekuwa bado gaidi.

Baba yako kwako alikuoa basi unadhani hiyo ni kawaida kwa kuwa baba yako alikuwa anakutunza nyumbani kwake alivyoamua kukuoa na wewe hukuona ni kitu cha ajabu ukakubali kushughulikiwa!

Pole zako ndiyo matatizo ya kutaka dezo mpaka ukubwani. Baba sasa kaamua kukufanya bwabwa na wewe kimya eti hapa ni nyumbani kwa baba mie sina sauti ana haki ya kufanya atakalo.Dah!Kweli wewe punguani wa kutupa.
NgumiJiwe
 
Last edited by a moderator:
Mbona mimi mwenyewe sitaki kuwaona wazungu hapa Tanzania??? basi na mimi ni mbaguzi
 
Back
Top Bottom