BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Acha upumbavu bana!!! Hivi hujaona Watanzania wanavyokemea kwa mfano mauaji dhidi ya albino!? Ubaguzi wowote ule popote pale duniani unastahili kukemewa. Mauaji ya albino nani aliyekwambia kwamba mimi siyakemei!? Acha kukurupuka na kuandika vitu ambavyo havina ukweli. Uliza kwanza kabla hujakurupuka mimi najihusisha sana na kupiga vita mauaji ya albino kwa hali na mali. Wewe kweli ni mropokaji maana unakurupuka tu na kuandika pumba ungewahi kusoma michango yangu hapa kuhusu upatikanaji wa huduma muhimu nchini ikiwemo matibabu usingeandika hizi pumba zako.
Kuna hii general tendency ya sisi waafrika kulaumu wengine hasa wazungu kwa ubaguzi,ilhali wenyewe ni wabaguzi wa kutupwa.Kama mtu hakutaki kwake kwanini ung'ang'anie?Tuanze sisi wenyewe kutobaguana kwanza;tuache ubinafsi na ufisadi,tujenge uchumi wetu vizuri,tuboreshe huduma za kijamii ili nao waje kwetu kutafuta maisha.
Wewe unashangaa hayo ya wanawake,lakini ushangai mauaji ya albino hapa yasiyo na mwisho,kina mama kufa kila kukicha wakati wa kujifungua kwa kukosa huduma bora za afya na vifo vingine vingi vya kinyama ambavyo vingeweza kuzuilika?..acha hizo wewe!