Meseji imenishtua usiku huu

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,444
Lazizi wangu kanitumia meseji ikiwa imepambwa kistadi kweli huku akigani mashairi akinitakia usiku mwema mwishoni inasomeka "usiku mwema na ndoto njema mama ninakupenda na ninakuahidi kukupenda milele" hapa amepaste au david cameroun? Mia
 
Kasema "sweet nilijua tu utasema mm ndio nimeandika mama ili useme neno" nimechoka khaaa.mia
 
Angalia vizuri usikute sio yeye ni mkameruni huyo ametumia namba ya shemeji
 
"ukisusa sie twala" usimpe huyo fedhuli free ride, unatakiwa uongeze dozi mkuu asipate muda wa kukipeleka huko nje
 
Hapo kai-foward tu vilevile kama ilivyokuja kwake,
Stuka unaibiwa mkuu!!!
 
Sitisha tu huduma, huyo mwenye kumsaidia ku-compose gudnait meseji unadhani hawezi kukuwakilisha? Ungesitisha miezi 3 ili kama ikiingia mimba asikuchakachue,lol
Nimemchenjia nasitisha huduma kwa mwezi mmoja kama adhabu.
 
hahahahaaa!!! Mpwa ukiona manyoya...............!

Afadhali uchukue manyoya na kamnyama kako utambae, manyoya utashonea kivazi cha kuchezea ngoma, kamnyama kako utaendelea kukatafuna.

Ukizira, watakula kila kitu. si unajua wamepewa ruhusa na Cameroon na Obama?
 
Lazizi wangu kanitumia meseji ikiwa imepambwa kistadi kweli huku akigani mashairi akinitakia usiku mwema mwishoni inasomeka "usiku mwema na ndoto njema mama ninakupenda na ninakuahidi kukupenda milele" hapa amepaste au david cameroun? Mia

Hiyo atakuwa alitumia na njemba nyingine katika kui-edit ili akutumie akasahau kufuta baadhi ya maneno
 
Sitisha tu huduma, huyo mwenye kumsaidia ku-compose gudnait meseji unadhani hawezi kukuwakilisha? Ungesitisha miezi 3 ili kama ikiingia mimba asikuchakachue,lol

Nikiona hajutii kosa nampa life ban
 
hahahahaaa!!! Mpwa ukiona manyoya...............!

Afadhali uchukue manyoya na kamnyama kako utambae, manyoya utashonea kivazi cha kuchezea ngoma, kamnyama kako utaendelea kukatafuna.

Ukizira, watakula kila kitu. si unajua wamepewa ruhusa na Cameroon na Obama?

Mpwa inauma sana ukisikia unamegewa na njemba flani inauma sana kheri kutojua kuliko kujua unatafuniwa dah meseji ya usiku nimeamini sipo peke yangu bora nijivue gamba tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom