mi nafikiri hawa wapumbavu huo usalama wa taifa wanao-refer ni marungu, mawe, magobore yatakayo piga hodi hadi ikulu.wanahofia watu watawatoa macho waliofanya biashara wakiwa madarakani.. huo ndio usalama pekee wanaofikiria washenzi hawa... yaaani nina hasira kuliko maelezo.. mzee ndiyo maana sitaki siasa naweza kumtoa mtu roho.