Meremeta & TANGOLD Revealed!


Pundit,
Nakubaliana na wewe kabisaa mkuu. Kwa kelele zilivyokuwa nyingi juu ya Meremeta n.k., mtu huwezi kuchukua ushauri mmoja au miwili na kuingia nayo bungeni unless uwe kihiyo. Lakini kwa mwanasheria ambaye sio tu ameshatumikia serikali kwa muda mrefu na kuelewa mapungufu ya watendaji wake, alitakiwa alielewe hilo na kuliepuka. Hapa nina uhakika kabisa ameshafahamu undani wa Meremeta na amekubaliana na wengine kuwa tu atuweke sawa.

Zitto, achana na urafiki wenu na Pinda. Fanya kazi tuliyokutuma wananchi bila kumuonea mtu aibu.
 

Sijamjibia kubwajinga ambae nimemwita kaka K. Nimemwambia asome upya post yako kwani kuna hoja kuhusiana na 'matusi' ya mmoja wetu hapa na kinachofuatia kutoka kwa wana JF.
 
Kwamba Zitto Hajatukanwa Mahali! Hii Ni Jf Na Ni Kijiwe Chetu Where We Dare To Speak? Mimi Pia Ni A Natural Born Politician! Niko Fine Tu.

On this mkuu Mushi, nilikuwa ninatetea haki yako ya kutoa maoni yako ambayo sasa inakubalika kuwa hayakuwa matusi ila maoni yako binafsi na Zitto mwenyewe amenielewa kwenye hilo,

mag3 FOR PRESIDENT..KWI KWI KWI.
Uncle si utani mi huzimia sana michango yako!

Mkuu hapa sasa umeniacha hoi, ninataka kuamini unajua nani yupo nyuma hapo, yaani sina la kusema ila kucheka saaana kwi! kwi! kwi!kwi!kwi!
 

Ndo maana nimesema Jumatatu jamani....... Nani kawaambia nina urafiki na Pinda? Pia mkumbuke sisi kwa sasa ni political class! In a context pls
 
Sijamjibia kubwajinga ambae nimemwita kaka K. Nimemwambia asome upya post yako kwani kuna hoja kuhusiana na 'matusi' ya mmoja wetu hapa na kinachofuatia kutoka kwa wana JF.

Naona mkulu ulijaribu kukata makali ya jina, lakini baadaye ukaamua kujimwaga mzimamzima maana akika Kaka K wako wengi..
 
Nani kawaambia nina urafiki na Pinda? Pia mkumbuke sisi kwa sasa ni political class!

Mkuu tunasubiria Jumatatu, naona mvua ya mawe itanyesha huko bungeni, safi sana ndivyo tunavyotaka hata wawe wajanja kiasi gani tunajua kuwa wanakosa usingizi tena sana,

maana juzi mmojawapo wa hao mafisadi alimbembeleza sana mama kilango, ampe masaa matatu ya kumuelezea jinsi asivyohusika na ufisadi ila anaonewa tu, it works ingawa sio kwa mwendo tunaoutaka
 
Haya...MOTO UWASHWE JUMATATU!
KILA LA KHERI.
 
Wabunge wengi tuliongea nao leo, wanasema pinda ni muoga period, kuna watu anawaogopa kwa sababu in private anasema one thing, halafu bungeni anasema mengine, another waste politician na wa ku-pay the price ni sisi wananchi!
 

It works......mmoja kanifuata kunieleza alivyoshiriki Import Support na kwamba sio fisadi. mwingine yeye ni ushiriki wa baba yake lakini inamsumbua sana maana wanashare jina na marehemu baba. Tunachofanya sasa kina matunda mema kwa nchi. Unadhani kutakuwa na EPA tena in the near future?

Tena nilisahau....... kuna ka EPA kapya.....kama bilioni 8 hivi, akaunti ile ile
 
Ala!
Haya..we'll wait and see!
As long as utaenda kufanya kazi yako huko bungeni!
Sijali mtakachonifanyia!
hakuna mtanzania asiyeujua ukweli!
 
Ndo maana nimesema Jumatatu jamani....... Nani kawaambia nina urafiki na Pinda? Pia mkumbuke sisi kwa sasa ni political class! In a context pls


Mkuu Zitto,
Kila nikiisoma ile hotuba yako ya kukubali uteuzi wake Pinda, haiachi kunionyesha dalili za wewe kukubaliana naye kiurahisi kwenye mambo anayofanya, hata baada ya kuwa PM. Mimi bado nampa Pinda nafasi ya kubadilisha alichosema, lakini ukiniambia kuwa amedanganywa hapo siwezi kukubaliana na wewe kabisaa.

Ushauri wangu ni kuwa; jaribu kwa kila uwezavyo u-muonyeshe kuwa imani yetu kwake Pinda, inatoweka kwa yeye kutupa majibu ya Lowassa wakati tulishamng'oa. Anything less than strong condemnation, itakuingiza na wewe kwenye kundi la waliolainishwa.
 
Huyu mkulu naye si inasemekana alikuwa na dili la kuuza mafuta ya jeshi Morogoro na yule muarabu(jina limenitoka)...Alivyostaafu akapewa kuongoza Meremeta, baada ya muda mfupi "ikafilisika"...kuna kazi hapa!!!

Duh! Mwaka huu mbona tutasikia mengi sana yaani pole pole yanakuja, mkuu Icadon lete dataz mwanangu!
 
Kwamba IDDI SIMBA NI FISADI LA EPA!
NA KWAMBA ALIKUWA NA.....KWENYE KAMATI YA MADINI!
 
Iddi Simba Akamatwe Asikamatwe?
Si Mnasema Hoja?
Mafisadi Wakamatwe Ama Wasikamatwe?
Nasubiri Jumatatu!
 

Nimekupata. Nilisema pale katika hotuba yangu nilivyofanya nae kazi kuhusu Kigoma. Mimi niseme wazi imani yangu kwa Pinda bado ipo. Sio mwizi. Sio fisadi - to the best of my knowledge. Hili la Meremeta halinipi shida. Atajifunza kuchukua ya kuambiwa na kuyasema, tena kusema 'with passion'. Siwezi kumlaani Pinda kwa suala la leo tu. Ngoja atasema nini Jumatatu
 

Bilioni nane dola, pound ama shilingi?

Hata kama zingekuwa ni 8 bilion Zimbabwean Dollars, responsible parties should be held accountable. No stone should be left unturned....
 

waangalieni hao huenda wana ka-strategy ka kuwadanganya maana mkulu kama ra masaa matatu akijieleza tu kuwa hana makosa wallahi it is working,

Ila nimefurahiswa na kauli ya mbunge mmoja kuwa unajua tunawasafishieni nchi yenu vijana wa kesho, lakini wakuu endeleeni kumkoma nyani huyo mpaka giladi, sisi wananchi tupo nyuma!
 
Na kama unakiheshimu hiki kijiwe...Then toa kauli yako sasa ili tuilinganishe na hiyo hotuba yako ya jumatatu!
Kwasababu hata mikamati yoye ya mshkaji wako Kikwete haijamsaidia mtu!

wewe si ulisema tumsubiri Rais kuhusu ripoti ya madini?
Sasa kauli mbiu za ZIMBABWE ZA KUMSAIDIA NANI NA SISI HATUKO HURU?
EBU NIPE MAANA SAHIHI YA NCHI KUUZWA!
NA PIA NATAKA UNIJIBU HILI...NCHI IMEUZWA AMA IKO HURU?
NO SPIN!
KWANI USHAIDI UKO NJE NJE!
 
unataka wewe nani umemwajiri hapa. Kama unaushahidi nenda kafungue kesi mahakamani.
 

Binadamu wana akili ya kufikiri hasa masuala ya wizi.

Unless kuwe na legal action kwa walioshiriki EPA ya sasa na kuadhibiwa vikali, EPA itajirudia tu maana bado kutakuja uchaguzi mwingine unaohitaji funds. Binadamu learns better through pain only.

Unafikiri pesa za kushindia uchaguzi mwingine zitatokea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…