Hiii ni baadhi tu kwa wale wa makabila, wanaweza kutuletea zaidi zinazofanana hapa. Hii kitu inaitwa Kumbikumbi, KAMA ILIVYO senene kule kanda ya ziwa, inapatikana katika msimu fulani tu wa majira ya mwaka.
hiyo menyu ya wakusini ni kiboko sana yaani si mchezo mahindi ya kuchemsha na samaki mchanga kweli mlo thabiti
mwenzenu nilipokuwa mdogo nillikuwa nawakamata kumbikumbi na kuwatumbukiza mdomoni yaani walikuwa watamu sana si mchezo
mpaka mate yalikuwa yanadondoka katikati ................. si mchezo mwana lete menyu ya wachaga basi