Mentor utaoa lini...

Mentor utaoa lini...

aiseeeeeeeeeeeeeeeee... Kweli dunia ina mambo
huwa nawaombea sana nyie wadogo zangu mpate wadada wanaomjua Mungu....
My only brother hajaoa, na bahati mbaya alishajiweka vizuri sana kimaisha. Nafurahia sana mafanikio yake maana nilikuwa nampigia kelele mno afike hapo, lakini namwonea huruma sana.
Sitaki kumwingilia maisha yake, ila angenipa chance ningemtafutia mdada mrembo anayemcha Mungu. kwa sasa naishia kumwombea tu
 
duuuh! kama ni mimi bila shaka navunja mkatabata bila kupoteza muda maana nachukia sana mambo hayo. Vuta pumzi kaka maana mke mwema hutoka kwa Mungu na mume mwema pia hutoka kwa Mungu na sio kwa mganga.
 
huwa nawaombea sana nyie wadogo zangu mpate wadada wanaomjua Mungu....
My only brother hajaoa, na bahati mbaya alishajiweka vizuri sana kimaisha. Nafurahia sana mafanikio yake maana nilikuwa nampigia kelele mno afike hapo, lakini namwonea huruma sana.
Sitaki kumwingilia maisha yake, ila angenipa chance ningemtafutia mdada mrembo anayemcha Mungu. kwa sasa naishia kumwombea tu

Kwa hali ilivyofikia sasa hivi inahitaji uwepo wa Mungu na hekima nyingi katika kuchagua mwenza wa Maisha.... Usisahau kuniombea na mimi ili nipate Mke Mwema..

Cc: gfsonwin snowhite.
 
Last edited by a moderator:
Mentor kumbe walikuwa wanakuboost,
Duh umenifanya niwe scared duh hawa wanawake wengi wao wanaboost
 
Is it to get a man? or it depends with the man?
isit about those girls or its about some guys with some kind of attractions?

What are you insinuating brother?


Sure Ngauti mimi ningejitahidi kumpeleka walau akafanyiwe maombi kwa imani ya dini yake ili aachane na hayo mambo ya ushirikina, na inaonekana yule dada yake ndo amemuharibu. Nisingekubali kumuona anaendelea kupotea dhambini.... kama angekataa hilo ningemtafutia wataalamu wa saikolojia wampe ushauri wa kisaikolojia ili aweze kujiamini zaidi kuwa anaweza kumpata yeyote bila hata kutumia ushirikina kutokana na jinsi alivyo...Tatizo lake kubwa hapo ni Kutojiamini na Kutojitambua... Ni case ambazo unaweza kuzi solve kisha mkaendelea na uhusiano wenu kama kawaida kama upo serious lakini.. Baada ya kuwa fit kisaikolojia na kujitambua ndipo sasa ningeanza zoezi la kumshawishi aombe Toba kwa Mungu ili asamehewe yote pia avunje maagano na mambo yote ya kishirikina....

Ngauti, please, najua unasema hayo koz hayajakutokea.

BTW, did I say, dada wa huyo binti alikuwa anaishi na mumewe kwa kumuweka kwenye chupa?
Walikuwa wanawasiliana na mganga wao na kupewa masharti ya kishirikina...

Halafu uniambie mambo ya kurudiana naye eti kama nipo serious? I swear i would not get married if all ladies wangekuwa washirikina.
 
What are you insinuating brother?



Ngauti, please, najua unasema hayo koz hayajakutokea.

BTW, did I say, dada wa huyo binti alikuwa anaishi na mumewe kwa kumuweka kwenye chupa?
Walikuwa wanawasiliana na mganga wao na kupewa masharti ya kishirikina...

Halafu uniambie mambo ya kurudiana naye eti kama nipo serious? I swear i would not get married if all ladies wangekuwa washirikina.

Ngauti Do you believe in changes? Je hauamini kuwa unaweza kum badilisha na kumuweka kwenye mstari ulioonyooka? Si unajua kuwa no one is perfect? Sasa huyo mdada hayuko perfect ndo maana imekuwa easy yeye kushawishika kwenda kwa waganga... Tatizo lake kubwa ni
Kutojiamini na Kutojitambua....Ilitakiwa umjengee kujiamini na kujitambua... Nina uhakika kuwa amefanya yote hayo under pressure ya huyo dada yake. so ni rahisi sana kumrejesha katika hali yake ya kawaida kama ungeamua...
 
huwa nawaombea sana nyie wadogo zangu mpate wadada wanaomjua Mungu....
My only brother hajaoa, na bahati mbaya alishajiweka vizuri sana kimaisha. Nafurahia sana mafanikio yake maana nilikuwa nampigia kelele mno afike hapo, lakini namwonea huruma sana.
Sitaki kumwingilia maisha yake, ila angenipa chance ningemtafutia mdada mrembo anayemcha Mungu. kwa sasa naishia kumwombea tu

Dada FP ndo maana mimi nimeamua kula sahani moja na Nivea anipe mdogo wake!
Nonetheless, don't forget me in your prayers!!!

Mentor kumbe walikuwa wanakuboost,
Duh umenifanya niwe scared duh hawa wanawake wengi wao wanaboost

Daaamn..they call it BOOSTING!?? How pathetic...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mento ile story yako haijatoka ku-mukichwa yakwenda kupima!!VIJANA TUMURUDIE Muumba wetu!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hali ilivyofikia sasa hivi inahitaji uwepo wa Mungu na hekima nyingi katika kuchagua mwenza wa Maisha.... Usisahau kuniombea na mimi ili nipate Mke Mwema..

Cc: gfsonwin snowhite.
Shaka ondoa mdogo wangu, nitakuombea....
Ila na nyie wenyewe msisahau kujiombea, ni muhimu sana kwa kutafuta mwenza wa kuishi naye.
wewe Nicas (kama sijakosea) kuna sala ya kupata mchumba mwema, huwa unaisali mara ngapi kwa mwezi? tafuta chuo kidogo cha sala, (kama nimekosea naomba unisamehe, ila unaweza sali kwa kadiri Mungu atakavyokujalia)
 
Mkuu Mento ile story yako haijatoka ku-mukichwa yakwenda kupima!!VIJANA TUMURUDIE Muumba wetu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mento ile story yako haijatoka ku-mukichwa yakwenda kupima!!VIJANA TUMURUDIE Muumba wetu!
 
Last edited by a moderator:
Dada FP ndo maana mimi nimeamua kula sahani moja na Nivea anipe mdogo wake!
Nonetheless, don't forget me in your prayers!!!
Usikatishwe tamaa na huyo mmoja mdogo wangu
kuna wadada wengi tu huko nje wanamjua Mungu na wanafaa sana kuwa wake wema.
Mwambie Mungu matakwa ya moyo wako, atakujalia. Mimi nitakuombea pia.
 
huwa nawaombea sana nyie wadogo zangu mpate wadada wanaomjua Mungu....
My only brother hajaoa, na bahati mbaya alishajiweka vizuri sana kimaisha. Nafurahia sana mafanikio yake maana nilikuwa nampigia kelele mno afike hapo, lakini namwonea huruma sana.
Sitaki kumwingilia maisha yake, ila angenipa chance ningemtafutia mdada mrembo anayemcha Mungu. kwa sasa naishia kumwombea tu

We endelea kumuombea Mungu tu si unajua kumchagulia mtu mke/mume sio vizuri.
Inaweza kuja kukucost mbeleni mambo yakiharibika, lawama zitakuangukia.
 
Shaka ondoa mdogo wangu, nitakuombea....
Ila na nyie wenyewe msisahau kujiombea, ni muhimu sana kwa kutafuta mwenza wa kuishi naye.
wewe Nicas (kama sijakosea) kuna sala ya kupata mchumba mwema, huwa unaisali mara ngapi kwa mwezi? tafuta chuo kidogo cha sala, (kama nimekosea naomba unisamehe, ila unaweza sali kwa kadiri Mungu atakavyokujalia)

Hilo ni suala ambalo lipo kinywani mwangu katika kila muda ambao nakuwa mbele za Mungu{Maombi}... Ki ukweli wengi wameshau kumwambia Mungu kuhusu aina ya wenza wanaowataka... Vijana wengi huwa wanaomba Mungu awape mafanikio ya kimaisha pekee..... Bado sijakata tamaa. Najua Mungu ameniandalia mke mwema. Ni suala la kusubiri wakati wake tu na sitaacha kumkumbusha.... Kuna hali inaitwa PUSH{Pray Until Something Happen}.. Na apply hiyo PUSH.....
 
Hilo ni suala ambalo lipo kinywani mwangu katika kila muda ambao nakuwa mbele za Mungu{Maombi}... Ki ukweli wengi wameshau kumwambia Mungu kuhusu aina ya wenza wanaowataka... Vijana wengi huwa wanaomba Mungu awape mafanikio ya kimaisha pekee..... Bado sijakata tamaa. Najua Mungu ameniandalia mke mwema. Ni suala la kusubiri wakati wake tu na sitaacha kumkumbusha.... Kuna hali inaitwa PUSH{Pray Until Something Happen}.. Na apply hiyo PUSH.....
safi sana mdogo wangu,
Mungu atakujalia matakwa ya moyo wako
 
Kama halijakukumba ama hata kusikia story kama hii unaweza kusema ni mchezo wa kuigiza, lakini ukweli hayo mambo yapo sana, wanawake lakini sio wote ni wepesi sana wa kudanganyika kwa mambo ya ajabu na ya kipuuzi sana kama hili.

Pole mkuu, piga moyo konde muombe Mungu wako, tafuta mke wapo wengi pia wazuri wasio na hizo element za kishirikina kama huyo upate kuwa na familia yako.

Sio vema kwa mwanaume kuishi peke yake hata mafundisho ya Mungu yanatuasa hivyo.

Kama wewe ni mkiristu kama alivyokuwa mchumba wako (nesi) angalia Mwanzo 2:21-25, 1 Wakorintho 7:1-5, na mengine kwenye signature yangu hapo chini.

Wapo wengi mkuu ambao wamekwazwa kwa namna moja ama nyingine na wapenzi/wenzi wao kama ilivyotokea kwako na kuamua maamuzi ambayo kwa kweli ni magumu kuyaishi na hasa ukitaka kuishi kulingalina na mapenzi ya Mungu inakuwa mzigo mkubwa.

Pole sana, ila pia endelea kumshukuru Mungu wako kwa kukuepusha na hilo janga ulilopitia, anakupenda sana, anahitaji siku moja umtumikie huenda katika wito huohuo wa ndoa lakini katika njia salama impendezayo yeye mwenyewe.

Usikikate tamaa, ni mapema sana.
 
Back
Top Bottom