Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Wala mm sina time kabisa, tatizo kuna mambo unayakuta bila hata kujua imekuaje.

Kuna kipindi nikiingia insta naona story za aggrey kafanya hivi kafanya vile wakawa wanaweka na clip zake. Ni huzuni
 
Mbna alioa na ana mtoto, si kawaacha huko moshi, yeye kaja kuvegela Dar,

Jamani kumbe
Watu wamevurugwa aisee!!
Watu wa mikoani wasumbufu na ndio wenye hekaheka mjini!!

Ko kaona aje kusalamba town
 
Jamani kumbe
Watu wamevurugwa aisee!!
Watu wa mikoani wasumbufu na ndio wenye hekaheka mjini!!

Ko kaona aje kusalamba town
kaamua na aolewe mazimaa.
Uboo una hatariii, weka mbali kabisaa.
 
Mmeo mpana mwambie atume vocha kwanza
Yaan alivyo chachuka na kushanduka, nehiiii hapana kwa kweliii.
Kikundi nchonchobo kisha muharibu baba wa watu. Had hurumaa yaan.
, afu hafananiii sasa.


Muambie wee alokuuliza, akitaka kukujua akupe vocha kwan.
 
Back
Top Bottom