cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Hatareee( Kwa sauti ya Chidy Benzy)



hapana chezea kitu haina mfupa, ila inasimama dedeee, tena ngingingi.Woiiiiiih
Hatareee( Kwa sauti ya Chidy Benzy)



hapana chezea kitu haina mfupa, ila inasimama dedeee, tena ngingingi.Yaan alivyo chachuka na kushanduka, nehiiii hapana kwa kweliii.
Kikundi nchonchobo kisha muharibu baba wa watu. Had hurumaa yaan.
, afu hafananiii sasa.
Muambie wee alokuuliza, akitaka kukujua akupe vocha kwan.

hapana chezea kitu haina mfupa, ila inasimama dedeee, tena ngingingi.
Woiiiiiih

Kochoz crew ndo wamemuharibu?
Unamsingizia sio kweli



kwani mie nimesema nn? Usinilishe maneno.kwani mie nimesema nn? Usinilishe maneno.
But JF ni zaidi ya uijuavyo au uiaminivyo.

harusii ipoo.

Nitaenda km bi mkubwa,Sasa sisi tutaenda km ndugu wa kiumeni au kiumeni 2
Hapo sijaelewa dada Farida





Nitaenda km bi mkubwa,
Km Ex sitakiii, nataka status ya bi mkubwa.



Jamani hii imeenda
Bi mkubwa km bi mkubwa
Unaingia na benbat la nani?
Km nawaona machura wanavyokufagilia njia mama la mama!!
Mama mwenye mume wake halali!![]()




halali bila ndoa? Ila uchungu jamani!!halali bila ndoa? Ila uchungu jamani!!
Sa itakuajee??




Tatizo sio kuporwa, unaporwa na naniii?Inauma kumbe? Mi nilijua we sugu
Mume anauma sana, alafu akuache ghafla kwa kuporwa
Kunywa maji mengi!!
Ila ukewenza unao na umekufikia!
Hukuona dada ako alivyokua anapambana kuilinda status ya kuwa peke yake kwa mkantriweldi![]()







Tatizo sio kuporwa, unaporwa na naniii?
Toleo jipyaa kweliiii??
Nasemajeee nime surrender. Nacheka km mwehu hapa.



Toleo jipya ni shida
Ila imekuuma sana!!
Pole jikaze ndo maisha.
Ko jimbo liko wazi??
Njoo tupambane na mikopo ya kausha damu, mapenzi waachie kina Zamaradi na Shabani Madobe!!![]()





nimecheka km chizii wallah.nimecheka km chizii wallah.




lalaMapenzi yana wenyewe,
Sie wengine tuache shobo,
Tutazikwa wazima wazima,
![]()