Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Coca niache naomba niendelee kuwa samaki nina maji mdomoni!
Kuna vitu nitavisema hapa nikashangaza watu.

Tuhamie mada nyingine hii tuipotezee,
Eeh kwahiyo sare ya harusi tutavaa nini? Lace au tutavaa vijora?
Ni kukupanikisha tu, utamwaga kila kitu

Ngoja nitafute angle
 
ila shem wee mpana
Wala mm sina time kabisa, tatizo kuna mambo unayakuta bila hata kujua imekuaje.

Kuna kipindi nikiingia insta naona story za aggrey kafanya hivi kafanya vile wakawa wanaweka na clip zake. Ni huzuni
 
Back
Top Bottom