Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Okay kusoma sana sio issue, muhimu kufanya yale unapendaShem mie sijasoma bhana,![]()
Okay kusoma sana sio issue, muhimu kufanya yale unapendaShem mie sijasoma bhana,![]()
Ewaaaaah!! Shem hapo umenena.Okay kusoma sana sio issue, muhimu kufanya yale unapenda
Kwa kuwa ulipita hukoEnzi ya IDM kabla haijawa MU
Tufanye umeshinda![]()

, enzi hizo nakumbuka walikua wanasumbua na ile kozi yao ya BAF, sijui kama sasa ipo.Naamini ndio eneo unalipenda sana na kulimuduKwann kitandani? Kuna kitu utakuwa umekiwaza![]()

Yupo mbali sana, anazurura sana. Ukimuuliza anasema anatafuta maokotoWewe na huyo shem wako kuna kitu mnakitafuta
Mchukue muondoke kashaanza kulewa!!
Kwan mkewe yuko wapi?![]()
hebu sema kweli, ila chuo ni nyokoo.
Mwendo wa kutomb..na kila siku. Khaaaah

yaan niondoke nae, nimpeleke kwa uduguuu angu. Kashalewa huyuu

Kyuti ananipa stress sana, hizi safari zake sina amani kabisaHuyo mume wa kyuti ameanza kulewa asije kurusha chupa bure akanibonda nayo![]()

unajua nilishangaa imekuwaje hawa wana hizi tabia, dooh kumbe ndio basi tena
Huyu nae itakua kabakiza kipande kidogo sana kuaga rasmi mashindano

Vijoraa,Coca niache naomba niendelee kuwa samaki nina maji mdomoni!
Kuna vitu nitavisema hapa nikashangaza watu.
Tuhamie mada nyingine hii tuipotezee,
Eeh kwahiyo sare ya harusi tutavaa nini? Lace au tutavaa vijora?![]()





Kabisa nimpelekeee, kwan shem wangu si ana davoo wake, wee hujui?Ndio mchukue umsaidie kudrive umpeleke kwa mkewe![]()




Kwa kuwa ulipita huko, enzi hizo nakumbuka walikua wanasumbua na ile kozi yao ya BAF, sijui kama sasa ipo.






Crew ya kina aggrey hiishem umelewa wee, emu lala huko.
Kwann lakiniii??
Naamini ndio eneo unalipenda sana na kulimudu![]()

Itafikia kipindi hata hizi degree hazitakua tena na maana na watu wataachana nazo. Si unaona hata sasa watu washaanza kuachana na advanceEwaaaaah!! Shem hapo umenena.
Crew ya kina aggrey hii



Aggrey toka ajipatie pedeshee katulia mnoo.Yupo mbali sana, anazurura sana. Ukimuuliza anasema anatafuta maokoto

Ndo maana ake shemelaaa,Itafikia kipindi hata hizi degree hazitakua tena na maana na watu wataachana nazo. Si unaona hata sasa watu washaanza kuachana na advance




Akhu!! Me nimeishia chekechea
Kozi niliosomea MBA (Married But Available)
![]()



Kyuti ananipa stress sana, hizi safari zake sina amani kabisa![]()

