Mentality hii ndiyo iliyowakomboa wachaga kibiashara

Mentality hii ndiyo iliyowakomboa wachaga kibiashara

Kwahiyo serikali ijitoe kuwa support wachagga kufungua maduka??

Zamani ningefikiri uko zako kwenye bodaboda chini mti unajipostia baada ya kumaliza certificate ya hotel management na kukosa kazi,

Lakini kwa niliyoyashuhudia kwa macho yangu sijahadithiwa na mtu, wewe uliyetoa hii suggestion unaweza kuta una Masters ya Business kabisa tena kutoka Marekani na umeajiriwa wizara ya fedha.

I'm telling you!
We ndiyo umekuja kuthibitisha kabisa kwamba wabongo wengi tuna shida ya kuelewa maandishi.

Hii habari iliandikwa mwaka 1953 kabla ya uhuru. Wachagga wenyewe walikuwa wanafanya mipango yao ya kujiendeleza. Wakaona kuna kitu wanatakiwa kufanya upande wa biashara. Na wanavyosema serikali hawakumaanisha ya kikoloni au ya Tanganyika, walimaanisha ya Kilimanjaro. Na ndiyo maana utaona wanaita nchi ya Kilimanjaro.
 
We ndiyo umekuja kuthibitisha kabisa kwamba wabongo wengi tuna shida ya kuelewa maandishi.

Hii habari iliandikwa mwaka 1953 kabla ya uhuru. Wachagga wenyewe walikuwa wanafanya mipango yao ya kujiendeleza. Wakaona kuna kitu wanatakiwa kufanya upande wa biashara. Na wanavyosema serikali hawakumaanisha ya kikoloni au ya Tanganyika, walimaanisha ya Kilimanjaro. Na ndiyo maana utaona wanaita nchi ya Kilimanjaro.
I'll be honest hata sentensi ya kwanza sikuisoma coz I was already repulsed by the heading.
 
We ndiyo umekuja kuthibitisha kabisa kwamba wabongo wengi tuna shida ya kuelewa maandishi.

Hii habari iliandikwa mwaka 1953 kabla ya uhuru. Wachagga wenyewe walikuwa wanafanya mipango yao ya kujiendeleza. Wakaona kuna kitu wanatakiwa kufanya upande wa biashara. Na wanavyosema serikali hawakumaanisha ya kikoloni au ya Tanganyika, walimaanisha ya Kilimanjaro. Na ndiyo maana utaona wanaita nchi ya Kilimanjaro.
It just occurred to me, hiyo sentensi ya kwanza hata haikuwepo. Ume edit. Uongo?
 
Binafsi nimekimbilia comments .. lakini baada ya kusoma comments mbili na Kukumbuka jina la mtoa mada Lycaon Pictus.. nikarudi tena ..

African wild 🐕
 
Back
Top Bottom