P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,195
- 621
Huyu jamaa anaitwa Peter sijawahi kujua kama ni mtoto wa Sospeter Muhongo,tulipotezana long time sana,ni mcheshi mtu wa kujichanganya sana hana majivuno ila sijui kama ule udhaifu wake kwa totoz ulikoma.Nahisi ni mtu wa usalama huyu jamaa siyo bure.