Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,800
Huyu ndo mama etu mdogo
Tofauti ipo moja Mengi anaongoza kwa Mafanikio Makubwa Biashara zake huku mkuu hali ya uchumi ni dhofli taa bani
Mwenye moyo wa imani hatoi kwa kujitangaza.Dr, MENGI ana mengi ya kujifunza na kuiga, Natamani kuwa na moyo wa Imani alionao Mzee Mengi wa kujitoa kwa wengine. Utofauti na Kikwete Dr Mengi Husimamia anachoamini, anaongoza na kujenga uzalendo wa kujituma na kwamba kila mtu ana weza na Siku zote anaamini kufanya kazi kwa bidii na Maarifa utafanikiwa tena hatoi RUSHWA na HAPOKEI RUSHWA, MENGI ni alama ya WAZAWA waliofanikiwa bila upendeleo wa watawala wetu. GLORY TO GOD & BE BLESSED MENGI
Huyu ndo mama etu mdogo
Dr, MENGI ana mengi ya kujifunza na kuiga, Natamani kuwa na moyo wa Imani alionao Mzee Mengi wa kujitoa kwa wengine. Utofauti na Kikwete Dr Mengi Husimamia anachoamini, anaongoza na kujenga uzalendo wa kujituma na kwamba kila mtu ana weza na Siku zote anaamini kufanya kazi kwa bidii na Maarifa utafanikiwa tena hatoi RUSHWA na HAPOKEI RUSHWA, MENGI ni alama ya WAZAWA waliofanikiwa bila upendeleo wa watawala wetu. GLORY TO GOD & BE BLESSED MENGI