King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,778
- 94,829
Sanhaa leku baba wawili.
Ni kweli hakuna mahali popote palipoandikwa christian slaughter method waislam ndio wachinjaji, ie Jatka slaughter metho, halal method, na shehitta method. Zote hizi mchinjaji ni mwislam.... mimi ni mkristo na nakubaliana na hili.
Swala la kuiva ama kutokuiva ni la mpishi. Ila uchinjaji unahusisha imani nayo ni ya uislam
Kanzu + baraghashia bila ndevu kama za OBL au SS Hamadi wala haipendezi![]()
Yesu (AS) likuwa na ndevu na kanzu pia alivaa au umesahau,, Yesu (AS)hajawahi vaa suti amini nakwambia ni mama mama yake Maria na Hijab
HATA SHETANI NAYE ANA NDEVU MAANA NA YEYE NI MWISLAM.
wakristo tumeachana na kanzu baada ya MUHAMMAD KUMSILIMISHA SHETANI, MAANA SHETANI NAYE ANAVAA KANZU MAANA NI MUISLAM.
NA HAYO NI MAVAZI YA KONDOO YAMETEKWA NA MBWA MWITU.
Shetani nayeye anasilimu anakuwa Muislam. Jifunze kutoka vitabu vyenu . -
Sahih Muslim Vol 4. Hadithi Na.2815 - Hadithi ilioyopokelewa na Bibi Aisha (R.A)na iliyotolewa na Muslim, kasema Hakika alitoka kwangu Mtume S.A.W usiku,nikamwonea wivu,akaja (Mtume S.A.W) akaniona ninavyofanya,akasema una nini ewe Aisha,una wivu?nikamjibu,na vipi asione wivu mfano wangu kwa mfano wako?Mtume S.A.W akasema amekujia shetani wako?Nikasema :Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! je,mimi nina shetani?akajibu,ndiyoNikasema :Na kila mtu anaye shetani?akajibu Ndiyonikasema :Na wewe unaye ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? akajibu,Ndiyolakini mola wangu kanisaidia naye mpaka kasilimu. -
Ndio maana mwisho wa nyie ni kule Jehannam. Mmesha pigwa mihuri nyoyoni mwenu. - - - Ibn Ishaq 132-133 - Kama huyu shetani (jinni) ambaye amekupagaa wewe ni yule ambaye huwezi kumtoa, tutamtafuta mganga na tutatumia vyote tulivyonavyo kukutibu kwa kuwa mara kwa mara shetani (jinni) humpagaa mtu.
Lakini anaweza kuondolewa. Mtume alikuwa akisikiliza kwa makini -
Sahih Muslim Vol 4.Hadithi Na.2814 - Mtume S.A.W kasema katika hadithi iliyopokelewa na Abdallah Ibn Masoud (R.A) na iliyotolewa na Ahmad na Muslim Hakuna yeyote kati yenu ila amewakilishiwa rafiki yake wa kijini(shetani)na rafiki yake wa kimalaika wakasema:Na wewe pia ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu?Akasema, Na mimi pia,lakini Mwenyezi Mungu kanisaidia naye haniamrishi ila mambo ya kheri
TANGU LINI SHETANI AKAAMRISHA MAMBO YA KHERI?.
Ustaadh James!!Kanzu + baraghashia bila ndevu kama za OBL au SS Hamadi wala haipendezi![]()
Kanzu ni vazi kama mavazi mengine binafsi sioni cha ajabu hata kidogo
HATA SHETANI NAYE ANA NDEVU MAANA NA YEYE NI MWISLAM.
wakristo tumeachana na kanzu baada ya MUHAMMAD KUMSILIMISHA SHETANI, MAANA SHETANI NAYE ANAVAA KANZU MAANA NI MUISLAM.
KANZU NI MAVAZI YA KONDOO YAMETEKWA NA MBWA MWITU.
Tuwe tunaenda nayo ofisini basi..
Mbona watu wanaenda nayo maoficn,u ww huna unapofanyia kazi,tembelea maofic ya umma uone
mkuu umesahau hata mapadri na waongoza sala makanisani wanavaa kanzu tena ma.kofia
wewe uliyeelewa nilichoandika kwa nini ujaonyesha hicho ambacho mimi sijaelewa? badala yake umeonyesha kukerwa na ukweli na kuanza kunya kwa kutumia mdomo.Huelewi ulichoandika mfano wako wewe nikama kasuku anaigiza sauti bila kujua maana yaiyo sauti kwa maana hiyo wewe ni --------!!
kanzu ni mavazi ya kondoo mbwa mwitu wamenakili kuyavaa kutoka kwa mapadri
ili wafananefanane na kondoo.
Kabla ya uislam kuwepo mapadri na wayaudi walikuwa wakivaa kanzu, uislam umegushi kuanzia mavazi mpaka maandiko!
Au ujui kuwa uislam ni dini ya kugushi? kutoka dini zilizotangulia?.
KWA ASILI HAWA MAPADRI ULIOWATAJA NA WAYAUDI AMBAO UKUWATAJA NDIO WAVAA KANZU TANGU MWANZO, LAKINI PIA KANZU WANAZOVAA VIONGOZI WA KIKRISTO SIO SAWA NA HIZO ZA KUGUSHI WANAZOVAA WAISLAM!Cha mtemamoto mbona haeleweki hapa peramiho ma bruda padri ma father wote wanavaa kanzu hasa wakati wa wa kuendesha misa..na hawa nao wanaongoza waumini kumuabudi shetani kwa kuvaa haya mavazi??? Pope Benedict nae jeee kiongozi mkuu wa Roma??? Tuheshimu mavazi na kila kitu ambacho hakiko katika miliki yetu ili tupate amani na nafsi ya moyo huko tuendako kwenye giza la kaburini ndipo tutakutana na hatima zetu kama uongofu ama upotevu wa kile tulichokifanya hapa duniani..