Mengi ndani ya kanzu na bhagharashia

Mengi ndani ya kanzu na bhagharashia

Je waislamu wao watadhubutu kufanya kama akina Mengi itakapofika sikukuu ya wakristo?.
Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...
 
Ila huyu mzee anazidi kutakata. Kweli gari bovu linavutwa na gari zima. Hongera shosti kwa kumtunza shemeji.

yaani nlijua tu lazma utazungumza hivi... Mtambuzi ako wapi maana ana hasara apa
 
Last edited by a moderator:
Mengi alisema Wislamu ndio wenye haki ya Kuchinja wanyama na akawataka Wakristo wasichinje!!!!!!!!!!!!!

Ni kweli hakuna mahali popote palipoandikwa christian slaughter method waislam ndio wachinjaji, ie Jatka slaughter metho, halal method, na shehitta method. Zote hizi mchinjaji ni mwislam.... mimi ni mkristo na nakubaliana na hili.
 
Ni kweli hakuna mahali popote palipoandikwa christian slaughter method waislam ndio wachinjaji, ie Jatka slaughter metho, halal method, na shehitta method. Zote hizi mchinjaji ni mwislam.... mimi ni mkristo na nakubaliana na hili.

ulichoandika ni upumbavu tuu! Swala la kuchinja,na kutokuchinja au kunyonga au kula mzoga ni imani tu ya mtu. Hata juzi kama ulisikia BBC kuna jamaa huko afrika ya kati alimkamata muislam akamchoma moto akamla! Huwezi ukamlazimisha mtu afuate imani asiyoiamini. Ni swala la kuheshimiana tu... Kama we ni muislam ukiona nakula mzoga niheshimu tuu... Na kama wewe unachinja ki imani ni wewe... Hivyo nitakuheshimu tuu.
 

[TD="align: right"] Submit Cancel [/TD]







maulid.jpg
Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi (kushoto), Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik (kulia), wakiwa kwenye sherehe za Maulid kukumbuka kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam juzi usiku. Picha na Venance Nestory
 
Ni kweli hakuna mahali popote palipoandikwa christian slaughter method waislam ndio wachinjaji, ie Jatka slaughter metho, halal method, na shehitta method. Zote hizi mchinjaji ni mwislam.... mimi ni mkristo na nakubaliana na hili.

Kwani akichinja mkristo iyo nyama haiivi au?? Sababu hasa ni ipi?em nijuzen wataalam wa mambo
 
Kuvaa ni uhuru wa mtu na kanzu ni vazi tu kama mengine,haina shida kaamua kutokelezea ki ostadh zaidi
 

Hapo Mengi tayari ana abudu kama Muislamu!!!
Kwa kufanya hivyo ameukana Ukristo!!!
Ni sawa na Muislam anaingia Kanisana na kushiriki Meza ya Bwana!!!
Ni vigumu kuigiza mambo ya imani ili kupata public support ya biashara zako!!
 
ulichoandika ni upumbavu tuu! Swala la kuchinja,na kutokuchinja au kunyonga au kula mzoga ni imani tu ya mtu. Hata juzi kama ulisikia BBC kuna jamaa huko afrika ya kati alimkamata muislam akamchoma moto akamla! Huwezi ukamlazimisha mtu afuate imani asiyoiamini. Ni swala la kuheshimiana tu... Kama we ni muislam ukiona nakula mzoga niheshimu tuu... Na kama wewe unachinja ki imani ni wewe... Hivyo nitakuheshimu tuu.

#kinyoba kuheshimu imani ya mtu ni jambo la msingi sana, lakini imani pasipo mpangilio na taratibu ni fujo.
Tena upumbavu ulioandika wewe waweza kuwa ndani ya ngozi yako hata unawe na acid hautakuisha.
 
Back
Top Bottom