Hongera mzee Mengi kwa wazo lenu la kuzima matangazo ya televisheni.Hakuna ubishi kwamba idadi kubwa ya watanzania hawaangalii matangazo ya tv pale dital system ilipoanza kufanya kazi.
Hivi kwa nn Tz tumekurupuka na hili? hivi Afrika Kusini na Tz wananchi gani uchumi uko poa? Mbn Afrika Kusini huu upuuzi wa digital bado haujawa wa lazima kwao?
Serikali iweke mkono kwenye vin'gamuzi watu wavipate kwa bei nafuu,neti watu wamegawiwa bure leo kin'gamuzi ndo atanunua kwa zaidi ya elfu sitini,si utani huu.Analogia irudi na iende sambamba na digital na anaetaka digital anunue kin'gamuzi asiye weza aendelee na analogia yake sio kubase kwenye kufanya biashara.
Wamehama kutoka kwenye SPEED GAVANA SASA WAMETULETEA VIN'GAMUZI MWISHO WA SIKU HATA HEWA YA MUNGU WATAKUJA KUTUUZIA.
Hivi kwa nn Tz tumekurupuka na hili? hivi Afrika Kusini na Tz wananchi gani uchumi uko poa? Mbn Afrika Kusini huu upuuzi wa digital bado haujawa wa lazima kwao?
Serikali iweke mkono kwenye vin'gamuzi watu wavipate kwa bei nafuu,neti watu wamegawiwa bure leo kin'gamuzi ndo atanunua kwa zaidi ya elfu sitini,si utani huu.Analogia irudi na iende sambamba na digital na anaetaka digital anunue kin'gamuzi asiye weza aendelee na analogia yake sio kubase kwenye kufanya biashara.
Wamehama kutoka kwenye SPEED GAVANA SASA WAMETULETEA VIN'GAMUZI MWISHO WA SIKU HATA HEWA YA MUNGU WATAKUJA KUTUUZIA.