twatwatwa
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 2,066
- 421
Habari imetoka kwenye moja ya vyombo vyake vya habari,kwani yeye ndio aliyeitoa? Huyo sheikh hana tofauti na kipozeo.
kipozeo shujaa wangu mzee wa mizigo aunausikaje na hili
Habari imetoka kwenye moja ya vyombo vyake vya habari,kwani yeye ndio aliyeitoa? Huyo sheikh hana tofauti na kipozeo.
ha ha ha ha ha ha
ha ha ha ha ha ha
Mengi kaaga kwao moshi
halafu kusema Mengi amemchafua ni kutafuta kick kupitia kwa Mengi kwani Mengi si mwandishi wa habari na sijui huo ulozi anamfanyia nani
all in all kwanini utumie ushirikina kudai chako ??
Mil 49 ni nyingi labda hana
Chanzo cha habari yako ni kipi??
Hata hivyo kwenye uislam HAKUNA KITU KINACHOITWA ALBADILI AU DUA YA ALBADILI
ETI UMSOMEEE MTU AGEUKE CHIZI AU AFE,,HUO NI UHUNI NA USHIRIKINA KAMA ULIVYO USHIRIKINA MWINGINE TUH
UISLAM NI DINI SAFI ISIYOAMIN NGUVU YA UCHAWI WALA MASHETANI
Habari imetoka kwenye moja ya vyombo vyake vya habari,kwani yeye ndio aliyeitoa? Huyo sheikh hana tofauti na kipozeo.
Kama unataka kuelimika na unataka kuelewa na kufahamu usilolijuwa fungulia nyuzi na wenye jazba wawache na jazba zao. Hakugusi mtu humu.
mil 49! si mchezo kama ni kweli hiyo pesa ni halali kumdai basi dua itajibu lakini kama kuna mazingira ya dhuluma, uongo na chembechembe za kujinufaisha. potezea shekhe!
Kwa nini anataka amroge Mengi tu, lakini wanahisa wengine hawarogi?... Amesema, madai ya fedha dhidi ya Reginald Mengi yanafuatia kumalizika kwa kesi ya kashfa dhidi ya chombo cha habari kinachomilikiwa na moja ya makampuni ambayo Mengi ana hisa...
Huyo "mungu"(?) anayedhuru ni wa ajabu kweli, na hicho kitabu cha kusoma na kudhuru ni cha shetani
ha ha ha ha ha ha
ha ha ha ha ha ha
Mengi kaaga kwao moshi
halafu kusema Mengi amemchafua ni kutafuta kick kupitia kwa Mengi kwani Mengi si mwandishi wa habari na sijui huo ulozi anamfanyia nani
all in all kwanini utumie ushirikina kudai chako ??
Mil 49 ni nyingi labda hana
Hata mimi sijaamini, Sheikh Basaleh si mtu wa vitisho kama ninavyoviona katika taarifa hii isiyo na chanzo chochote.
Na vipi kuhusu hili suala la Al Badir, ni kweli liko kwenye dini, au ni shirki tu kama nyingine? Shukrani sana.
Ova
pia hili nishawahi sikia albadili haisemwi unaenda kusoma moja kwa moja
ila swali ni je hicho kitu kipo?????UKIACHANA NA STORY YA MLETA MADA AMBAE YAWEZEKANA KAAMBIWA
JE ALBADILI IPO NA INAFANYA VIPI KAZI?
Amekashfiwa ....
Kwenye chombo cha habari....
Kwa maana nyingine kuna mwandishi aliyeandika...
Pia kuna mhariri................................................................
Kuna kampuni inayochapisha na wanahisa wengine..........
Ameonekana MENGI TU.?!,,
Albadiri ni faraja kwa wajinga tu.
Labda mseme mtamlipua kwa suicide bomber.
Kama albadiri inafanya kazi wanisomee mimi niliyesema mungu hayupo.
Huyo "mungu"(?) anayedhuru ni wa ajabu kweli, na hicho kitabu cha kusoma na kudhuru ni cha shetani
bila kumsahau Bw. Salman Rushdie, hakuna cha albadir wala nini, huyo ndg asema atamfanyia uchawi Mr.Mengi basi. Ila asimsingizie Mungu muumba wa Mbingu na Nchi na vyote vilivyomo. Mpaka fatwa ziliwahi somwa na hao jamaa lakini mpaka leo watu bado wanakula sembe kiulaini. ACHENI UCHAWI HAUJENGI TAIFAWaarabu wangeisomea Marekani na W. Bush. Hakuna kitu inaitwa Albadili. Ni uchawi na ushirikina.