Mengi kusomewa albadiri Dar es Salaam

Mengi kusomewa albadiri Dar es Salaam

Ngojea tumuite Native Doctor Bill Cosby atoe maelezo zaidi... maana yule mwenzake ( Native) Dr kahtaan simuoni...
 
Last edited by a moderator:
Huyo mpuuzi Si Aende Akasome Kama Huo Uchawi Wake Haujamrudia, Anamtisha Nani? et Kakashifiwa Kwa Hadhi Gani Aliyonayo?
 
Albadiri ni moja ya majini katili yanayopatikana kwenye lango la kuzimu la Bagamoyo

Mbulula wewe, ujinga wenu ndio umaskini wenu, mlidanganywa kuhusu al badili mkaaminishwa ujinga na kwa sababu mnaogopa sana kufa mmekuwa watumwa wa al badili, katika uislam hakuna kitu kinaitwa al badiri, neno al badiri katika uislam limekuja katika vita vitakatifu vya Badr ndipo lilipatikana neno al badir, Sasa kwa akili yako mtu atafanya nini akudhuru kwa hiyo al badir? Hii kitu haipo kabisa huo unaitwa ushirikina kama ushirikina mwingine
 
Mbulula wewe, ujinga wenu ndio umaskini wenu, mlidanganywa kuhusu al badili mkaaminishwa ujinga na kwa sababu mnaogopa sana kufa mmekuwa watumwa wa al badili, katika uislam hakuna kitu kinaitwa al badiri, neno al badiri katika uislam limekuja katika vita vitakatifu vya Badr ndipo lilipatikana neno al badir, Sasa kwa akili yako mtu atafanya nini akudhuru kwa hiyo al badir? Hii kitu haipo kabisa huo unaitwa ushirikina kama ushirikina mwingine

kwa hiyo mkuu katika ushirikina wa albadir kitabu wala aya zake wala jina la mtume halitausishwa ?
 
kwa hiyo mkuu katika ushirikina wa albadir kitabu wala aya zake wala jina la mtume halitausishwa ?

never! ni sawa na hawa maaskofu wanaowapa watu utajiri huku wameshika bible na kuwapa mistari lakini kumbe huwa wanafanya yao
 
kwa hiyo mkuu katika ushirikina wa albadir kitabu wala aya zake wala jina la mtume halitausishwa ?

Wale wachungaji ambao huwa wanatumia jina la yesu kuwatapeli makanisani kwa hiyo yesu anahusika na huo wizi?
Nyinyi mnatapeliwa na waganga njaa wanaotumia kila njia kujipatia wanachotaka haijalishi jina la nani, hakuna sehem mtume kafundisha kuhusu kusoma al badir
 
Albadiri ni faraja kwa wajinga tu.

Labda mseme mtamlipua kwa suicide bomber.

Kama albadiri inafanya kazi wanisomee mimi niliyesema mungu hayupo.



Kila nikiangalia mijadala unayoiendesha humu jf nakuvulia kofia.
 
Huyo shehe si asome hiyo albadiri ili awe tajiri kumzidi mengi, kwani nani anapenda umaskini?
 
Mmmmm, imani hizi!,.. Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Mtu akikupiga kofi shavu la kulia mgeuzie na shavu la kushoto na mtu akikunyang'anya mshipi mvulie na kanzu mpe. Mungu atakusaidia baba...
 
Si wanasema Mengi mwenyewe pia ni muumini wa ile dini ya pale opposite ba Kepinsk kwa nyuma kabla ta bot karibu na transfoma za Tanesco. Ajaribu akute jamaa kabobea huko na vyeo kibao amle nyama saa nusu.
 
Wale wachungaji ambao huwa wanatumia jina la yesu kuwatapeli makanisani kwa hiyo yesu anahusika na huo wizi?
Nyinyi mnatapeliwa na waganga njaa wanaotumia kila njia kujipatia wanachotaka haijalishi jina la nani, hakuna sehem mtume kafundisha kuhusu kusoma al badir

Point taken
 
THE BIG SHOW unajua maana ya chanzo au umesikia mtu kauliza hilo swali nawe unalirukia tu?

Angeandika mm shehe fulani bin fulani akaendelea na mtiririko wake huo tusingekuwa na haja ya kuuliza chanzo cha habari,hii habari imeletwa na mtu mwingine
 
FaizaFoxy yaruhusiwa hii?

Caliber ya Sheikh Basaleh hawezi kuongea upuuzi, source hakuna katika hiyo habari, sehemu inayoonekana kunukuliwa Sheikh Basaleh ni moja tu, nayo ni hii "Nilimtumia Wakili Profesa Saffari, nikafungua madai, tukashinda kesi, chombo hicho na mmiliki wake wametakiwa kunilipa fidia ya shilingi Milioni 49", ameeleza Sheikh.

Katika andiko zima sijaona sehemu nyingine yenye nukuu ya Basaleh, kwa hiyo ni wazi kabisa ni porojo za mleta mada.
 
Huyo shehe si asome hiyo albadiri ili awe tajiri kumzidi mengi, kwani nani anapenda umaskini?

hapo ndo utajua hayo maneno ni ya kutunga na kupaka matope dini flani
 
Ngojea tumuite Native Doctor Bill Cosby atoe maelezo zaidi... maana yule mwenzake ( Native) Dr kahtaan simuoni...

Unataka Ufafanuzi wa Nini?
Umeskia Mi Mganga wa Loliondo?

Muulizenu Yule mchaga Kwanini kala cha Mtu?

Na kama kala Jasho la Mtu basi Akisomewa hio Utashangaa mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom