Meneja wa TANROADS mkoa wa Tabora, Mhandisi Raphael Mlimaji, awajibishwe kwa kitendo chake cha kinyama cha kufyeka mahindi kwa kisingizio kwamba yamepandwa kwenye hifadhi ya barabara.
Kama kweli yuko makini alikuwa wapi siku zote mpaka mahindi yakakua kiasi kile. Halafu mahindi yanachukua muda gani kukomaa mpaka akashindwa hata kutumia busara?
Watu wenye roho mbaya kama huyu bwana hawatakiwi kwenye jamii yetu.
Kama kweli yuko makini alikuwa wapi siku zote mpaka mahindi yakakua kiasi kile. Halafu mahindi yanachukua muda gani kukomaa mpaka akashindwa hata kutumia busara?
Watu wenye roho mbaya kama huyu bwana hawatakiwi kwenye jamii yetu.