Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Nikifuatiliaga zile shuhuda za wanawake wa kule..nasemaga ndoa haipo kwa ajili yangu...asiee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu kakuta chupi kwenye suruali ya mume
Mwingine kaambiwa kwani we huna ex wako
Yani vituko mpaka nimewaza hivi kwanini wanaume wanaoa kama wanasumbua wanawake kiasi hicho
 
wasilina n mchepuko kwa land line tena ya kibandani tu.
 
Wanawake mnalia ndoa zimewashinda si muachike ya Nini kukomaa na ndoa ambayo haikupi Amani
Mnataka kufurahisha jamii..!

Sent using Jamii Forums mobile app

Inawezekana ndoa ikawa chungu ila haindoi kuwa bado nampenda mume wangu,ndoa sio happy moments tu,kuna magumu tena ambayo hukuwahi kuya tarajia kama bado una upendo kwa mwenza wako endelea kukomaa
Upendo ukiisha na timbwili bado zinaendelea ndio ushauri wako unafanya kazi
Hivyo hatuondoki kwasababu upendo kwa mume bado upo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu kakuta chupi kwenye suruali ya mume
Mwingine kaambiwa kwani we huna ex wako
Yani vituko mpaka nimewaza hivi kwanini wanaume wanaoa kama wanasumbua wanawake kiasi hicho
😂😂😂😂 Hatareee....juzi juzi alikuwa anaelezea Mambo ya soulmate ..kila anayepita kwenye comments anaandika" huyu ni Mimi kabisa na ndoa yangu"...🤣🤣🤣🤣 Inahuzunisha wakati mwingine ila Hakuna namna
 
Kabisa.
 

[emoji23][emoji23][emoji23]na inapoelekea wameanza kutaja majina ya michepuko kule
Kuna kitu wanaume wanaweza kujifunza kwa ile page,wanawake ni watu wa visasi usiamini eti kakusamehe

Kuna mmoja wameomba achongewe sanamu likae pale ubungo ni baada ya kugundua mmewe anatoka na ex na huyo ex kasha olewa yeye pia kaamua kutoka na mume wa ex wa mumewe
Havichekeshi lakini hivyo ndio mwanamke hureact akiona hawezi kupambana na mumewe kwa njia hii anatafuta nyingine mwishoni anae umia zaidi ni mwanaume
 
Uwiiii....hicho kisasi Cha ex kutoka na ex na Mume wa ex ni hatari Aisee....wanaume wangetulia yote yasingetokea
 
Imeandikwa: “ Aziniye na mwanamke hana akili kabisa “
Tena afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake, tena atapata fedheha na kuvunjiwa heshima”

Mithali 6: 32-33

Tafakarini [emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…